nyalubanja
Member
- Apr 2, 2012
- 37
- 4
loh umeonesha ukomavu kutoka tumboni kuelekea chini semakamawamevunja katiba,wamechakachua uchaguzi
Siamini lakini kama ni kweli basi kuna shida ya kutojichanganya!
kama wanafaa waache tu, ukiangalia kabila lazima ujue unamatatizo, sasa ungependa tumtoe nani? kama wamependelewa hapo ndiyo kuna weza kuwa tatizo, na unapoteza muda kuandika huu upuuzi, mimi sijui kabila langu lakini kinacho nivutia chadema ni ukabila. mwaka huu semeni kila upuuzi lakini magamba yanakufa... hiyo haina mjadala
Katika moja ya vitu ambavyo CHADEMA inatajwa sana ni juu ya upangaji wa safu zake za uongozi wa kukibeba na kukiendeleza chama hicho. Kama ilivyo kwa vyama vingine vya siasa hapa nchini CHADEMA nao wanapanga safu zao za uongozi katika sehemu mbalimbali nchini.,moja ya sehemu hizo ni uongozi katika matawi ya chama hicho katika vyuo mbalimbali vya Elimu ya Juu hapa nchini.
Hivi karibuni wamepanga safu za viongozi wao ambao watakisimamia chama hiko kwa kipindi cha miaka 5 ijayo. na safu ya Viongozi hao ni kama ifuatavyo;
(i) University of Dodoma maarufu kama UDOM ni ELISANTE MUSHI.,
(ii) Chuo Kishiriki cha MWENGE ni JAMES KIMARO.
ACHA UONGO,KAMANDA ANAYEONGOZA CHADEMA MWENGE NI LAYZER SIMON,SIJUI HUKO KWINGINE.KADHALIKA UONGOZI WA MATAWI YA CHADEMA HUPATIKANA KILA MWAKA NA SI MIAKA MITANO.YOU ARE A LAYER
mkuu TEMILUGODA asante kwa kumu umbua huyu pimbi naomba na wengine wanao jua ukweli wa vyuo vingine waliumbue hili ndumilakuwili...
naona uwezo wa kutoa michanganuo ni mdogo sana kwa baadhi ya watu,kama mtu unadiriki hata kudanganya hakika mungu atakuona,labda nikusaidie na majina ya viongozi wengine ambao huwafahamu..mwenyekiti wa CHADEMA SAUT TABORA NI ELIFURAHA JOHN na si mchaga na hapa wasema nini? tafuta hoja nyingine huje nayo hiyo imepanguliwa
kwanza nina uhakika watu hao hawapo. total mockery!!!
Jamaa ameamua kuwa mchekeshaji, nenda ze komedy.
TandaleOne
...hizo ndo hoja mwenyekiti wenu aliwambia mje kujibu?...usiwe na akili kama za samaki,nenda kachukue posho yako Lumumba na ujipange upya...
naona uwezo wa kutoa
michanganuo ni mdogo sana kwa baadhi ya watu,kama mtu unadiriki hata
kudanganya hakika mungu atakuona,labda nikusaidie na majina ya viongozi
wengine ambao huwafahamu..mwenyekiti wa CHADEMA SAUT TABORA NI ELIFURAHA
JOHN na si mchaga na hapa wasema nini? tafuta hoja nyingine huje nayo
hiyo imepanguliwa