msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,189
Haya mambo zamani hayakuwepo, naona baadae TZ itakuwa bonge lanchi.
Tatizo letu tunataka tuone mafanikio leo leo wakati nchi ilikuwa imefika pabaya, kiukweli kubadili system ilihitaji maamzi magumu na roho ya ujasri kama ya huyu baba mwenye nyumba.
Nimawazo yangu tu.