Mee wa Mavituuzi
Member
- Aug 2, 2007
- 61
- 6
Ndugu wananchi, mimi nikiwa kama abiria kwenye ndege yetu ya AirTanzania, kulitokea vibwenga vya ajabu ambavyo watu wengi tulilalamika kuhusu tukio. Baada ya kujua chanzo, tulifurahi kile kilichotokea, "kushushwa abiria" kwenda sehemu ya kupumzikia. Tukio zima lilikuwa hivi: tulipopanda, abiria walishakaa muda, unaenda, tukaanza kulalamika. Nini kinaendelea hapa? Rubani alikuwa amechemsha kutotuambia mapema. Ghafla wafanyakazi wakaanza kupishana. Nikamuuliza mmoja wao nini kinaendelea, kuna abiria harusiwi kupanda AirTanzania? Tukauliza, nani kumbe ni Bwana Nyitti, yule mfanyabiashara wa madini Arusha? Tukalamika kwanini ashushwe, jamani. Ndipo dada mmoja akatueleza yafuatayo, na hili liwe fundisho kwa wafanyabiashara: pesa hainunui utu.
Bwana Nyiti siku moja akitokea Dar kwenda Arusha alipata kuwadhalilisha wafanyakazi wa ndege, akishirikiana na polisi mkuu wa kituo, ambaye yupo uwanjani hivi sasa. Akadai ameibiwa madini, wakachukuliwa na kusachiwa mpaka nguo za ndani, wote wakiondolewa na Defender ya polisi pale uwanjani. Hakuna aliyekutwa na kitu chochote. Wakaachiwa baada ya kupigiwa simu na mkuu wa mkoa, aliyeamuru waachiwe waende hotelini. Baada ya kuulizwa kwa undani, dada mmoja mfanyakazi wa ndege alipata kupendwa na Bwana Nyiti. Akatumia njia nyingi kumpata, ikiwemo kudanganywa na wafanyakazi wa ndani, watamsaidia na hivyo kugawa fedha ovyo kila safari. Baada ya kuona hakuna mafanikio, ndipo siku ya siku wakamkuta yuko ndani ya ndege na kuamua kumaliza matatizo yake. Huu ni uonevu wa hali ya juu, kama si unyanyasaji wa kijinsia. Tunasikitika na kulaani Gazeti la Majira.
Bwana Nyiti siku moja akitokea Dar kwenda Arusha alipata kuwadhalilisha wafanyakazi wa ndege, akishirikiana na polisi mkuu wa kituo, ambaye yupo uwanjani hivi sasa. Akadai ameibiwa madini, wakachukuliwa na kusachiwa mpaka nguo za ndani, wote wakiondolewa na Defender ya polisi pale uwanjani. Hakuna aliyekutwa na kitu chochote. Wakaachiwa baada ya kupigiwa simu na mkuu wa mkoa, aliyeamuru waachiwe waende hotelini. Baada ya kuulizwa kwa undani, dada mmoja mfanyakazi wa ndege alipata kupendwa na Bwana Nyiti. Akatumia njia nyingi kumpata, ikiwemo kudanganywa na wafanyakazi wa ndani, watamsaidia na hivyo kugawa fedha ovyo kila safari. Baada ya kuona hakuna mafanikio, ndipo siku ya siku wakamkuta yuko ndani ya ndege na kuamua kumaliza matatizo yake. Huu ni uonevu wa hali ya juu, kama si unyanyasaji wa kijinsia. Tunasikitika na kulaani Gazeti la Majira.