Safi Rubani Awashusha Mawaziri Kwenye Ndege

Aug 2, 2007
61
6
Ndugu wananchi,,mimi nikiwa kama abiria kwenye ndege yetu ya
AIRTANZANIA ,kulitokea vibwenga vya ajabu ambavyo watu wengi tulilalamika kuhusu tukio,,baada ya kujua source tulifurahi kilichotokea "KUSHUSHWA ABIRIA"kwenda sehemu ya kupumzikia
tukio zima lilikuwa hivi,,tulipopanda abiria wameshakaa muda unaenda tukaanza kulalmika,,nini kinaendelea hapa rubani alichemsha kutotuambia mapema,,gafla wafanyakazi wakawwa wanapishana,,nkamuuliza mmoja wao nini kinaendelea kuna abiria harusiwi kupanda airtanzania,,tukauliza nani kumbe ni BWANA NYITTI yule mfanyabiashara wa madini arusha,,tukalamika kwanini ashushwe jamani,,,ndipo dada mmoja akatueleza yafuatayo na hili liwe fundisho kwa wafanyabiashara pesa hainunui utu,,

Bwana nyiti siku moja akitokea dar kwenda arusha alipata kuwadhalilisha wafanyakazi wa ndege akishirikiana na police mkuu wa kituo ambae yupo airport hivi sasa,,akadai ameibiwa madini wakachukuliwa na kusachiwa mpaka nguo za ndani wote wakiondolewa na defender ya police pale uwanjani,,hakuna aliekutwa na kitu chochote,,wakaachiwa baada ya kupigiwa mkuu wa mkoa alieamuru waachiwe waende hotelini,,baada ya kuulizwa kwa undani dada mmoja mfanyakazi wa ndege alipata kupendwa na bwana nyitti,,akatumia njia nyingi kumpata ikiwepokudanganywa na wafanyakazi wa ndani watamsaidia na hivyo kugawa fedha ovyo kila safari,,baada ya kuona hakuna mafanikio ndipo siku ya siku jakamkuta yuko ndani ya ndege na kuamua kumaliza matatizo yake,,huu ni uonevu wa hali ya juu kama siunyanyasaji wa kijinsia,,tunasikitika na kulaani GAZETI LA MAJIRA
 
jamani haya magzeti inabidi wawe makini na wanachoandika maana kilichoandikwa jana hata uwezi amini
wanahabari msikubali kununulika,pesa ni makaratasi utu aununuliki wakubwa,,nyie ndie wakuelimisha jamii si kudanganya jamii
 
waliandika nini?manaake niko huku kijijini kwa sasa na siwezi kupata hilo majira
 
Toka Mkurugenzi wa Majira aukwae ubunge huko Mbeya, gazeti hilo linaboa kinoma. Limekuwa na mtizamo wa utawala kuliko hata gazeti lenyewe la serikali - Daily News.

Climax ni pale walipoweka habari ya Wanafyare kuikoromea ze Comedy front page! Habari yenyewe ilikuwa ya kufikirika na iliwekwa purposely kuziba zomea zomea ya Wanyakyusa pale Mbeya.
 
Liko Kwenye Gazeti Jumapili,,kwamba Rubani Awashusha Mawaziri,,kwa Hili Tunampongeza Kama Ameona Usalama Wake
Ni Mdogo Kwanini Asimshushe,,safety Kwanza,cha Kushangaza Alieshushwa Ni Hyu Bwana Nyitti,,majira Acheni Udaku,,baada Ya Kuona Jamaa Hataki Kushuka Ndipo Rubani Akatuomba Tushuke Tuelekee Kwenye Sehemu Ya Kupumzikia,,ndipo Jamaa Aliposhuka Tukaambiwa Wengine Turudi Wakiwemo Hao Mawaziri,,waache Kuandika Udaku Waulize Kwanza
 
breaking news,,nimetoka kuuliza kwanini awakumtoa na police,,mwema soma mambo ya wanao,,kumbe mabwana walienda kuombwa kumshusha walipofika ndani wakaonyeshwa wote wakasambaratika,,walipoulizwa vipi ati mpaka TOP mweneyewe
atupe go ahead,,mwema unayaju haya????mbona siku nilishuka na precis kulikuwa na mlevi ndani akaja police kumtoa kama mwizi kijana wa watu,,,jamaa ana noti wana mwogopa haya wandugu mnasemaje????
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom