guys kuna mtu anafahamu wapi wanauza safety boots hapa dsm .
Check pale Morogoro road opposite na Rainbow Hotel wanazo nzuri sana, pia kariakoo kwenye maduka ya vifaa vya ujenzi zipo za kumwaga.
Rainbow hotel ipo wapi mwana au karibu na wapi, watakua nazo za jumla mana nataka piece nyingi
iko karibu na makutano ya Samora na Morogoro road wanauza jumla mi huwa nanunua hapo wanazo nzuri sana na bei iko fresh, kama uko serious nikupe namba yao.
viatu vya usalama,vipo vingi mtafute mfanyakazi wa tanesco atakufanyia mpango.