Mkwanzania
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,132
- 4,303
Nini matumizi ya safe house? Na ni vipi 'mtu wa kawaida' anaweza kuijua safe house?
Kwa mujibu wa cia. Kila ubalozi wa marekani popote pale ulimwenguni una ma-agent wa cia wasiopungua wawili.Nini matumizi ya safe house? Na ni vipi 'mtu wa kawaida' anaweza kuijua safe house?
Unatambua kuwa jengo la kanisa linaweza kutumika kama safe house??Kwa mtanzania wa kawaida ni kama usiku wa giza. Safe house ni nyumba maalumu katika mji ambapo taasisi ya kijasusi ya marekani imeweka kambi. Kambi hizi zipo kila nchi duniani. Kwa hapa tanzania kambi ipo dar es salaam,
Unatambua kuwa jengo la kanisa linaweza kutumika kama safe house??
Nitarudi baadaye kwa maelezo ya kina!
Majibu yamekuwa mengi lakini swali lako halijitoshelezi, Funguka kwa undani ili upate jibu sahihi na kwaundani.Nini matumizi ya safe house? Na ni vipi 'mtu wa kawaida' anaweza kuijua safe house?
Kwa mujibu wa cia. Kila ubalozi wa marekani popote pale ulimwenguni una ma-agent wa cia wasiopungua wawili.
Nini matumizi ya safe house? Na ni vipi 'mtu wa kawaida' anaweza kuijua safe house?
Zipo nyingi tu lakini kwa kuwa hili ni very sensitive halina tija kulijadili na siwezi kukwambia safe house ziko vipi na ziko wapi mada nyingine si nzuri kubandikwa hapa. Kifupi ukisikia mtu katiwa kizuizini maana yake ndiyo hiyo.
Majibu yamekuwa mengi lakini swali lako halijitoshelezi, Funguka kwa undani ili upate jibu sahihi na kwaundani.
Intelijensia nayo ni taaluma kama taaluma zingine, ni kwamba tu ni taaluma nyeti kuliko taaluma zingine. Lakini hili halizuii kujua baadhi ya vitu vya 'kawaida' kuhusu taaluma hiyo. Sio usiri kwenye jambo kama hili kwenye zama kama hizi, kama wezentu wanatengeneza hadi filamu kuonesha baadhi ya sehemu nyeti ya ikulu zao, au unyeti wa vyombo vya usafiri wa viongozi wao wewe hapa kujadili safe house tu unaona shida?
Inawezekana Saa 8 yupo safe house?Zipo nyingi tu lakini kwa kuwa hili ni very sensitive halina tija kulijadili na siwezi kukwambia safe house ziko vipi na ziko wapi mada nyingine si nzuri kubandikwa hapa. Kifupi ukisikia mtu katiwa kizuizini maana yake ndiyo hiyo.
punguza mawenge bidada. toa ufafanuziWewe subiri muda wako ufike macho yako hayajakomaa kuchungilia chumbani wanakolala wazee.
Pesa yako tu mkuumimi nata niwe na safe house yangu na isiwe kwenye mipango mji yaani iwe kama hai exist.
iwe na milango ya siri vyumba vya siri na lift moja ya kunishusha chini ambayo ni ngumu kujua kama ipo kwenye jengo hilo kama kuna injinia anaweza hii kitu ani PM