Safari yangu ya uasi!

Safari yangu ya uasi!

Nimefanyiwa upasuaji wa internal castration.mimi ni muasi wa ndoa na mahusiano nayachukia sana. nimelipia Tzs 2,500,000 kukamilisha zoezi nafurahia sana maisha yangu mapya bila hisia za kupenda wala kutaman
naona mrembo ushabadilisha hadi ID saizi unajiita binti, mtafute yule Dr Mariposa aje akuoe sasa
 
Nimefanyiwa upasuaji wa internal castration.mimi ni muasi wa ndoa na mahusiano nayachukia sana. nimelipia Tzs 2,500,000 kukamilisha zoezi nafurahia sana maisha yangu mapya bila hisia za kupenda wala kutaman
Diara kaenda kucheza penati
 
Kwa hiyo saiv wewe ni nyuki wa mashineni any way jiandae kunenepa makalio kama nguruwe
 
Eeh buda umefanya uamuzi mkubwa sana, heshima kwako kwa ujasiri wako. Lakini nikuambie ukweli, nguvu za kiume zinaweza kushuka kweli, hasa kama huna hormone replacement therapy. Mwili wako utabadilika taratibu, utaanza kubong'oa kwa miaka 2-3. Lakini kama wewe umefurahia na unahisi amani ndani yako, basi hilo ndilo jambo la msingi. Mahari sasa? Kwanza subiri mwili ujipange, usikimbilie maamuzi mengine. Umeanza safari mpya, bado iko changamoto lakini nakuombea uwe na amani ya moyo zaidi.
Man Down, Man Down, I repeat Man Down
 
Back
Top Bottom