Safari yangu ya uasi!

Safari yangu ya uasi!

Nimefanyiwa upasuaji wa internal castration.mimi ni muasi wa ndoa na mahusiano nayachukia sana. nimelipia Tzs 2,500,000 kukamilisha zoezi nafurahia sana maisha yangu mapya bila hisia za kupenda wala kutaman
Yaani wamekufanyia upasuaji wakanyofoa madude?
Au wamekata waya zinazopitisha umeme kutoka kwenye main switch?
 
Nimefanyiwa upasuaji wa internal castration.mimi ni muasi wa ndoa na mahusiano nayachukia sana. nimelipia Tzs 2,500,000 kukamilisha zoezi nafurahia sana maisha yangu mapya bila hisia za kupenda wala kutaman
Uliona tunafaidi sana kukupelekea moto!
Ngoja uanze kugeuka kuwa vampire ndiyo utajua hii dunia ni mbaya.
 
Nimefanyiwa upasuaji wa internal castration.mimi ni muasi wa ndoa na mahusiano nayachukia sana. nimelipia Tzs 2,500,000 kukamilisha zoezi nafurahia sana maisha yangu mapya bila hisia za kupenda wala kutaman
Nikupe number ya Dkt wa Mirembe?
 
Nimefanyiwa upasuaji wa internal castration.mimi ni muasi wa ndoa na mahusiano nayachukia sana. nimelipia Tzs 2,500,000 kukamilisha zoezi nafurahia sana maisha yangu mapya bila hisia za kupenda wala kutaman
nimelipia Tzs 2,500,000 kukamilisha zoezi nafurahia sana maisha yangu mapya bila hisia za kupenda wala kutaman🥺🤔🙇🏿‍♂
 
Eeh buda umefanya uamuzi mkubwa sana, heshima kwako kwa ujasiri wako. Lakini nikuambie ukweli, nguvu za kiume zinaweza kushuka kweli, hasa kama huna hormone replacement therapy. Mwili wako utabadilika taratibu, utaanza kubong'oa kwa miaka 2-3. Lakini kama wewe umefurahia na unahisi amani ndani yako, basi hilo ndilo jambo la msingi. Mahari sasa? Kwanza subiri mwili ujipange, usikimbilie maamuzi mengine. Umeanza safari mpya, bado iko changamoto lakini nakuombea uwe na amani ya moyo zaidi.
 
Nimefanyiwa upasuaji wa internal castration.mimi ni muasi wa ndoa na mahusiano nayachukia sana. nimelipia Tzs 2,500,000 kukamilisha zoezi nafurahia sana maisha yangu mapya bila hisia za kupenda wala kutaman
Hiyo haihusian na suala la la kuharibu mfumo wa fahamu matumaini yangu hapo ukishikwa Tako utajisikia unasisimuka mwisho UNAPIGWA BOMBA usingefanya hivyo wambie wakurudishie
 
Nimefanyiwa upasuaji wa internal castration.mimi ni muasi wa ndoa na mahusiano nayachukia sana. nimelipia Tzs 2,500,000 kukamilisha zoezi nafurahia sana maisha yangu mapya bila hisia za kupenda wala kutaman
Baada ya kuhasiwa Red-me ume amua ujiite kabisa Binti tz
Astaghafullah one man down ume ona madem wanafaidi kupigwa miti na ww umeona ukawe mpigwa miti na mizizi yake.
 
Back
Top Bottom