Safari yangu ya kubadili uraia niwe Mzanzibari: Nimeambiwa nitoe pesa ili kufanikisha. Je, naenda kupigwa?

Zabby99

Member
Oct 26, 2021
5
16
Habarini ndugu zangu, ni matumaini yangu mpo fresh.

Mimi ni kijana mhitimu wa chuo ngazi ya degree.

Nimekuwa obsessed kuhusu kubadili uraia wangu kutoka ubara kwenda uzanzibar, Hii yote ni kwa sababu najionea wazi wazi warafiki zangu wazanzibar tuliofahamiana vyuo mbali mbali waliajiriwa muda mfupi baada ya kuhitimu na wengi wanafanyia kazi huku bara na wengine wapo katika taasisi za Zanzibar huko kwao, Nadhani hata waliopitia Jkt wanaelewa nachozungumzia.

Kwa lugha nyepesi, kuwa Mzanzibar ni tiketi nzuri sana hasa ukiwa na elimu bila kujali ulisoma chuo gani au ufaulu, maana nlipewa dokezo hta katika ajira za huku bara, kuna kipaumbele cha ajira asilimia 21 kwenda kwa wenzetu, na bado waombaji huwa hawafikii hio idadi maana wenzetu wanaohitimu vyu ni wachache na elimu bado ni haipewi sana kipaumbele huko kwao.

Sasa katika safari yangu hii nmekutana na mtu wa makamo kidogo kaniomba fedha taslimu ili anifanyie mchongo na mimi niwe na uraia wa Zanzibar.

Pesa niayo na nimeitafuta kwa jasho sana, ninahofia tu kama nitapigwa.

Naombeni mnishauri tafadhali, Miaka inaenda kwakweli, nimeona lau nikipata uraia wa Zanzibar itanirahishia kupata ajira na mimi nile mema.
 
Habarini ndugu zangu, ni matumaini yangu mpo fresh.

Mimi ni kijana mhitimu wa chuo ngazi ya degree.

Nimekuwa obsessed kuhusu kubadili uraia wangu kutoka ubara kwenda uzanzibar, Hii yote ni kwa sababu najionea wazi wazi warafiki zangu wazanzibar tuliofahamiana vyuo mbali mbali waliajiriwa muda mfupi baada ya kuhitimu na wengi wanafanyia kazi huku bara na wengine wapo katika taasisi za Zanzibar huko kwao, Nadhani hata waliopitia Jkt wanaelewa nachozungumzia.

Kwa lugha nyepesi, kuwa Mzanzibar ni tiketi nzuri sana hasa ukiwa na elimu bila kujali ulisoma chuo gani au ufaulu, maana nlipewa dokezo hta katika ajira za huku bara, kuna kipaumbele cha ajira asilimia 21 kwenda kwa wenzetu, na bado waombaji huwa hawafikii hio idadi maana wenzetu wanaohitimu vyu ni wachache na elimu bado ni haipewi sana kipaumbele huko kwao.

Sasa katika safari yangu hii nmekutana na mtu wa makamo kidogo kaniomba fedha taslimu ili anifanyie mchongo na mimi niwe na uraia wa Zanzibar.

Pesa niayo na nimeitafuta kwa jasho sana, ninahofia tu kama nitapigwa.

Naombeni mnishauri tafadhali, Miaka inaenda kwakweli, nimeona lau nikipata uraia wa Zanzibar itanirahishia kupata ajira na mimi nile mema.
Mimi nilikuwa Zanzibar kwanza unachosema sio kweli.

Kwa sheria za kule ukikaa tu kule miaka mitatu mfululizo unahaki ya kupata kitambulisho cha mzanzibari mkazi maana yke wewe teyari unasifa ya kuwa mzanzibari.

Kuhusu kazi ni kama huku au zaidi bila connection utasubiri Sana kule wanaishi kwa uami Ami wewe ni mtoto wa nani. pia kama unafanania au unaunasibu na upemba ajira sahau.

Ukijiajiri kule kama wewe ni mtu wa bara hupati wateja hadi mzigo utakuozea hapo wabara wengi kule ni wapo beach huko kwa wazungu au wafanyakazi hotel za kitali beach na wageni na wachache ni machinga mjini ..over!
 
Habarini ndugu zangu, ni matumaini yangu mpo fresh.

Mimi ni kijana mhitimu wa chuo ngazi ya degree.

Nimekuwa obsessed kuhusu kubadili uraia wangu kutoka ubara kwenda uzanzibar, Hii yote ni kwa sababu najionea wazi wazi warafiki zangu wazanzibar tuliofahamiana vyuo mbali mbali waliajiriwa muda mfupi baada ya kuhitimu na wengi wanafanyia kazi huku bara na wengine wapo katika taasisi za Zanzibar huko kwao, Nadhani hata waliopitia Jkt wanaelewa nachozungumzia.

Kwa lugha nyepesi, kuwa Mzanzibar ni tiketi nzuri sana hasa ukiwa na elimu bila kujali ulisoma chuo gani au ufaulu, maana nlipewa dokezo hta katika ajira za huku bara, kuna kipaumbele cha ajira asilimia 21 kwenda kwa wenzetu, na bado waombaji huwa hawafikii hio idadi maana wenzetu wanaohitimu vyu ni wachache na elimu bado ni haipewi sana kipaumbele huko kwao.

Sasa katika safari yangu hii nmekutana na mtu wa makamo kidogo kaniomba fedha taslimu ili anifanyie mchongo na mimi niwe na uraia wa Zanzibar.

Pesa niayo na nimeitafuta kwa jasho sana, ninahofia tu kama nitapigwa.

Naombeni mnishauri tafadhali, Miaka inaenda kwakweli, nimeona lau nikipata uraia wa Zanzibar itanirahishia kupata ajira na mimi nile mema.

Tsh ngapi kwa kuambia...!?
 
Mimi nilikuwa Zanzibar kwanza unachosema sio kweli.

Kwa sheria za kule ukikaa tu kule miaka mitatu mfululizo unahaki ya kupata kitambulisho cha mzanzibari mkazi maana yke wewe teyari unasifa ya kuwa mzanzibari.

Kuhusu kazi ni kama huku au zaidi bila connection utasubiri Sana kule wanaishi kwa uami Ami wewe ni mtoto wa nani. pia kama unafanania au unaunasibu na upemba ajira sahau.

Ukijiajiri kule kama wewe ni mtu wa bara hupati wateja hadi mzigo utakuozea hapo wabara wengi kule ni wapo beach huko kwa wazungu au wafanyakazi hotel za kitali beach na wageni na wachache ni machinga mjini ..over!

Mkuu ulichokiandika ni ukweli mtupu huk zanzibar kama hujulikani wew ni mtot wa nan utapata tabu sana kupata ajira serikalini…
 
Njoo mi nikupe uraia wangu unipe hiyo hela mi sina haja na huo uzanzibar wala utanzania aliyetayari aje tu.
 
Njoo mi nikupe uraia wangu unipe hiyo hela mi sina haja na huo uzanzibar wala utanzania aliyetayari aje tu.
Hicho kitu hakipo.Hamna sheria inayomruhusu raia wa TZ kugawa uraia wake kwa Watu wengine na yeye kujitafutia uraia wa nchi nyingine.
 
Habarini ndugu zangu, ni matumaini yangu mpo fresh.

Mimi ni kijana mhitimu wa chuo ngazi ya degree.

Nimekuwa obsessed kuhusu kubadili uraia wangu kutoka ubara kwenda uzanzibar, Hii yote ni kwa sababu najionea wazi wazi warafiki zangu wazanzibar tuliofahamiana vyuo mbali mbali waliajiriwa muda mfupi baada ya kuhitimu na wengi wanafanyia kazi huku bara na wengine wapo katika taasisi za Zanzibar huko kwao, Nadhani hata waliopitia Jkt wanaelewa nachozungumzia.

Kwa lugha nyepesi, kuwa Mzanzibar ni tiketi nzuri sana hasa ukiwa na elimu bila kujali ulisoma chuo gani au ufaulu, maana nlipewa dokezo hta katika ajira za huku bara, kuna kipaumbele cha ajira asilimia 21 kwenda kwa wenzetu, na bado waombaji huwa hawafikii hio idadi maana wenzetu wanaohitimu vyu ni wachache na elimu bado ni haipewi sana kipaumbele huko kwao.

Sasa katika safari yangu hii nmekutana na mtu wa makamo kidogo kaniomba fedha taslimu ili anifanyie mchongo na mimi niwe na uraia wa Zanzibar.

Pesa niayo na nimeitafuta kwa jasho sana, ninahofia tu kama nitapigwa.

Naombeni mnishauri tafadhali, Miaka inaenda kwakweli, nimeona lau nikipata uraia wa Zanzibar itanirahishia kupata ajira na mimi nile mema.
Uraia ? La kufanya ni kujichanganya huko na kujifanya wa kijani Ili upate ukaazi rasmi , utapata kitambulisho chao, na kile cha kupiga kura za visiwani ambapo utabadilishiwa chako cha kura za Muungano Ili uweze kuchagua huko.
Hilo la fedha , kuwa makini.
 
Kwa takwim za juz zilizotolewa inaonyesha Zenji mwanaume mwenzako anaweza kukuomba rushwa ya ngono

Hako ka-nchi ni kasodoma Mungu akikasirika bahari inaweza kufunga
 
Kwa takwim za juz zilizotolewa inaonyesha Zenji mwanaume mwenzako anaweza kukuomba rushwa ya ngono

Hako ka-nchi ni kasodoma Mungu akikasirika bahari inaweza kufunga
Haf wee dogo tukutia mabanzi mpakamukome!!! nani kasema zanzibar wanahusudu nyaaa??si liko nyma huko liacheni hukohuko!!
 
Akili za kuambiwa changanya na zako eti ubadiri uraia kwa ajiri ya ajira au una mambo yako mengine ww
 
Back
Top Bottom