Jenseny
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 1,743
- 1,743
kwa bongo bado hakuna pikpik ilosambaa na inayoweza function kama boxer bm 150 nilitumia masaa 10 kumi tu kwa boxer bm mpyaaa kutoka sinza hadi Moshi nlisimama mkata Mombo na bwiko nlikua na project huko nimefika salama na plan niende Mwanza kwa boxer hiii hiii asubuh njema bandugu
note : c lazma ucomment
note : c lazma ucomment