bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 757
- 1,020
Habari wanabodi!
Hivi karibuni nilisafiri na pikipiki Njombe to Mbeya. Safari ilinigharimu takribani masaa sita. Lengo la Safari Lilikuwa ni kutalii. Aina ya pikipiki Ni T-Better 150 toleo la 2013.
Nilichogundua pikipiki hizi si rafiki kwa Safari ndefu.
MCHANGANUO WA VITUO NILIVYOPUMZIKA NA MUDA NILIOTUMIA.
Nimeindoka njombe saa 12.30
Nimefika. Makambako Saa 1.27
Nimendoka saa 2.50
Nimefika igawa saa 4.10 asubh
Nimendoka. Saa 4.27 asbh
Nimefika igurusi saa 5.37
Nimendoka saa 5.50
Nimefika uyole saa 6:46 mchana
USHAURI
Pikipiki Ni hatari kwa afya kuwa makini ukiwa safarini
Tumia pikipiki zenye nguvu katika Safari ndefu.
Msimu wa kiangazi ni mzuri kwa Safari ndefu za pikipiki.
Nilitumia Lita 6
Average speed 60km/ 1hr
HITIMISHO:
Mungu anipe uzima mwaka 2021 ikipendeza nitasafiri kutoka Mbeya kwenda Arusha kupitia Dodoma. Nikiwa na Boxer BM 150.
View attachment 1663892
Hivi karibuni nilisafiri na pikipiki Njombe to Mbeya. Safari ilinigharimu takribani masaa sita. Lengo la Safari Lilikuwa ni kutalii. Aina ya pikipiki Ni T-Better 150 toleo la 2013.
Nilichogundua pikipiki hizi si rafiki kwa Safari ndefu.
MCHANGANUO WA VITUO NILIVYOPUMZIKA NA MUDA NILIOTUMIA.
Nimeindoka njombe saa 12.30
Nimefika. Makambako Saa 1.27
Nimendoka saa 2.50
Nimefika igawa saa 4.10 asubh
Nimendoka. Saa 4.27 asbh
Nimefika igurusi saa 5.37
Nimendoka saa 5.50
Nimefika uyole saa 6:46 mchana
USHAURI
Pikipiki Ni hatari kwa afya kuwa makini ukiwa safarini
Tumia pikipiki zenye nguvu katika Safari ndefu.
Msimu wa kiangazi ni mzuri kwa Safari ndefu za pikipiki.
Nilitumia Lita 6
Average speed 60km/ 1hr
HITIMISHO:
Mungu anipe uzima mwaka 2021 ikipendeza nitasafiri kutoka Mbeya kwenda Arusha kupitia Dodoma. Nikiwa na Boxer BM 150.