Safari yangu katika jimbo la HAI (Jimbo la Mh Mbowe)

Mtashindana sana kuwa huyu kafanya hili yule hajafanya lile kama huyu hajafanya hili basi itabaki tu hajafanya hatuangalii ni mwenyekiti wa chama gani iwe chalinze iwe hai wote tutasema hawajafanya kazi
 
Zote hizi ni njaa watu hawataki kueelezwa ukweli na wapo humu kutetea matumbo yao. Mbowe hajafanya la maana hai, kuweni makini na disko joke!
 
sio rahisi kuwakuta wachaga wamekaa vijiweni bila kazi
ndio walivolelewa kujishughulisha.kupita mahali kwa saa chache na kuconclude watu wamechoka bado sio uhalisia
by the way watu wa jimbo la chalinze wana maisha mazuri sana eehh
kwa pinda watu wanakunywa maji yasio salama na hawana maji ni ya visima tena wanafuata mbali
 
i wish Tanzania kungekuwa na akina mbowe milioni moja tusingekuwa na tatizo ajira kama yeye mwenyewe ana wafanyakazi zaidi ya mia moja, nani tanzania hii angekuwa bila ajira. wako watanzania wenye pesa kuliko yeye lakini wamezificha uswis wazungu wanazitumia kuwekeza kwenye mashirika yao(private equity) na yanawafaidisha wao.

Ila siyo wafanyakazi wote wa Mbowe wanalipwa. waandishi wa Tanzania Daima ni mfano hai
 
Nikiwa nimepata likizo fupi, niliamua kwenda mkoani kilimanjaro kwa ajili ya kupanda mlima wetu maharufu wa kilimanjaro, nikiwa huko niliweza kupata fursa ya kutembelea majimbo ya mkoani kilimanjaro ila nilitaka kuona kwa macho yangu jimbo la HAI la MH MBOWE MWENYEKITI WA CDM TAIFA! kwakweli niliyoyaona huko hayaendani kabisa na mbwembwe za huyu jamaa anayetembea nchi nzima kuhubiri maendeleo na demokrasia, vijana wa pale machine tools wamekata tamaa na maisha, mbunge wao anashindwa kufanya yale aliyowahidi, wakazi wa kimashuku mnadani wanalia shida ya maji, wakazi wa uroki hali yao kiuchumi na kipato iko mbaya, wengi wao wanalia na wanajuta kumchagua Mbowe! wengi walisema kuwa Mbowe sio kiongozi mbaya ila ni kwamba yupo bize sana na mambo ya taifa na kuwasahau wapiga kura wake! walisema kama Mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti wa chadema, basi 2015 watachagua mtu mwengine atakayekuwa karibu nao

nilifika hotelini kwake AISHI-PROTEA HOTEL... kwakweli Mbowe ni Bepari kwa mtanzania wa kawaida kumiliki ile hoteli sidhani kama ni rahisi....wakazi wa maeneo ya pale hawawezi kwenda kuingia kwa ile hoteli, wengi niliyowaona ni wazungu na raia wengine wa kigeni, kulikuwa na umuhimu gani kujenga hoteli kubwa kule kijijini kwake ilhali wapiga kura wake hawawezi kwenda hata kununua soda au chai?
Hujajua hali ya jimbo la Hai ilivyokuwa kabla ya Chadema kulishika, kwa maana hiyo unalinganisha maendeleo ya sasa ya Hai na kitu ambacho hujakiona. Kama ungeliona hali ya jimbo la hai enzi zile za magamba ungekuwa katika nafasi nzuri kutoa tathmini yako. Kitu unachokifanya kwa sasa ni kutuba one-sided comparison kitu ambocho hakiwezi lileta mantiki hata kidogo labda kwa chama chenu cha magamba.
 
Nikiwa nimepata likizo fupi, niliamua kwenda mkoani kilimanjaro kwa ajili ya kupanda mlima wetu maharufu wa kilimanjaro, nikiwa huko niliweza kupata fursa ya kutembelea majimbo ya mkoani kilimanjaro ila nilitaka kuona kwa macho yangu jimbo la HAI la MH MBOWE MWENYEKITI WA CDM TAIFA! kwakweli niliyoyaona huko hayaendani kabisa na mbwembwe za huyu jamaa anayetembea nchi nzima kuhubiri maendeleo na demokrasia, vijana wa pale machine tools wamekata tamaa na maisha, mbunge wao anashindwa kufanya yale aliyowahidi, wakazi wa kimashuku mnadani wanalia shida ya maji, wakazi wa uroki hali yao kiuchumi na kipato iko mbaya, wengi wao wanalia na wanajuta kumchagua Mbowe! wengi walisema kuwa Mbowe sio kiongozi mbaya ila ni kwamba yupo bize sana na mambo ya taifa na kuwasahau wapiga kura wake! walisema kama Mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti wa chadema, basi 2015 watachagua mtu mwengine atakayekuwa karibu nao

nilifika hotelini kwake AISHI-PROTEA HOTEL... kwakweli Mbowe ni Bepari kwa mtanzania wa kawaida kumiliki ile hoteli sidhani kama ni rahisi....wakazi wa maeneo ya pale hawawezi kwenda kuingia kwa ile hoteli, wengi niliyowaona ni wazungu na raia wengine wa kigeni, kulikuwa na umuhimu gani kujenga hoteli kubwa kule kijijini kwake ilhali wapiga kura wake hawawezi kwenda hata kununua soda au chai?


Nina ushauri wa bure

Mosi: Jifunze kazi za mbunge na uzielewe kwa ufasaha ili uweze kujenga hoja zenye mashiko.

Pili: Ni vigumu sana kujenga hoja kwa kutumia mkoa wa Kilimanjaro kama sehemu iliyopigika. Zunguka Afrika nzima, ukirudi utaelewa kuwa ule mkoa ni tofauti zaidi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom