Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,752
- 218,340
Mbunge wa milele wa jimbo la Hai Mh Freeman Mbowe ( Mwamba Tuvushe ), leo tena amepitishwa na wajumbe wa CHADEMA wa mkutano mkuu wa jimbo hilo ili kugombea tena Jimbo hilo
Kwa sasa acha tu tuseme ndio demokrasiaHiyo 1% aliyokosa itakuwa ni mapandikizi ya maccm 😜
Hiyo 1% aliyokosa itakuwa ni mapandikizi ya maccm
ile ilikuwa move ya kisiasaAmefanya vyema sana kuachana na kinyang'anyiro cha Urais. Kila la kheri kwake.
zinaitwa gia za angani!ile ilikuwa move ya kisiasa
CCM waendelee kusubiri hadi kiamaSijakuelewa hapo, hiyo milele unamaanisha nini?
Ana maana ya hakuna mpinzani, masisiemu yanalitamani sana hilo jimbo lakini miaka yote yameshindwaSijakuelewa hapo, hiyo milele unamaanisha nini?
Mbunge wa milele sijakuelewa hapo? Embu fafanua vizuriMbunge wa milele wa jimbo la Hai Mh Freeman Mbowe ( Mwamba Tuvushe ) , leo tena amepitishwa na wajumbe wa Chadema wa mkutano mkuu wa jimbo hilo ili kugombea tena Jimbo hilo
View attachment 1516652View attachment 1516653View attachment 1516654
soma post#12Mbunge wa milele sijakuelewa hapo? Embu fafanua vizuri
Mwenyekiti MAGUFULI Yuko juu juu MAWINGUNI...wajumbe wootee wa CCM walimpa za NDIOOO.....Mbunge wa milele wa jimbo la Hai Mh Freeman Mbowe ( Mwamba Tuvushe ) , leo tena amepitishwa na wajumbe wa Chadema wa mkutano mkuu wa jimbo hilo ili kugombea tena Jimbo hilo
View attachment 1516652View attachment 1516653View attachment 1516654
Je hapo unajifunza nini!?Mwenyekiti MAGUFULI Yuko juu juu MAWINGUNI...wajumbe wootee wa CCM walimpa za NDIOOO.....
Magufuli 100%
Freeman 99%