Mujumba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 853
- 306
baada ya kuwajuza yale yaliyoonekana jimboni karatu ambako nashukuru wengi wenu mlichangia maoni mbalimbali na kwa taharifa nilizopata mbunge wa karatu ameanza kufanyia kazi zile kero zilizoripotiwa,na imenifanya kuona kwamba JF inafikisha ujumbe kwa haraka sana. kutokana na hilo wakati wowote kuanzia sasa nitakwenda jimboni Hai kuona kasi ya maendeleo inayoletwa na mh MBOWE na pia kutathmini FAIDA za maandamo yaliyofanywa na CHADEMA, na ni kwa jinsi gani maandamano ya CDM yamewanufaisha wananchi wa kawaida wa HAI na majimbo jirani! ASANTENI