Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,676
- 11,110
We jamaa naona ulikuwa unaota. Yaani hapa ilikuwa hujaomba na tayari umepanga unaenda November.bado sijaomba
bcoz nakamilisha issue ya money na ratiba ratiba zang ,
nategemea by mwisho wa mwezi huu ndio nifatilie visa .
Vipi umeshapata maana Nov ndio hii