Safari ya Marekani

Watu wengi wanatumia visitor visa kama njia ya kuzamia USA. Embassy kazi yao ni kuchuja kuhakiki kwamba mtu anayeenda, anaenda kweli kwa tourism purposes. Sasa kama hata Africa yenyewe haujafanya tour za kutosha.. hata south africa haujafika, wala dubai, wala Europe ni kwa nini USA? Hizo nchi zote ziko karibu na Tanzania zaidi ya USA.
Mmmmhhhhhhhh ni kipenge kweli kweli !
 
Mmmmhhhhhhhh ni kipenge kweli kweli !
Hilo swali utaulizwa US embassy. Mimi wamarekani nawajua sana na mambo ya ubalozi nimeshasaidia watu kadha wa kadha. Some walipata visa, some walikosa visa. Cha muhimu uwe na confidence na uwe na jibu la hilo swali zuri. Labda wana Jf watakusaidia kupata jibu lake . Na ukisema una ndugu USA, hapo napo unaliwa sababu ndg manake una pakufikia na most likely utazamia.
 
Hilo swali utaulizwa US embassy. Mimi wamarekani nawajua sana na mambo ya ubalozi nimeshasaidia watu kadha wa kadha. Some walipata, some walikosa. Cha muhimu uwe na confidence na uwe na jibu la hilo swali zuri. Labda wana Jf watakusaidia kupata jibu lake . Na ukisema una ndugu USA, hapo napo unaliwa sababu ndg manake una pakufikia na most likely utazamia.
sawa , Ahsante kwa ushauri

embassy wanatumia language gan ?
eng/swahili
 
Mmmmhhhhhhhh ni kipenge kweli kweli !
Also kama plan yako ni kuzamia, Visitor visa ni MBAYA SANA. Tafuta student visa kama ulifauly elimu vizuri au manzi ambaye ni US citizen umwoe. Visitor visa bora ubakie tu Tz kama plan yako ni kuzamia. Hautapata kazi kabisa, na utapoteza tu muda wako. Otherwise, simlaumu mtu anayetaka kukimbia from bongo. Wao wenyewe walishasema watu waende nchi nyingine. Wawarahisishie tu passport application process sasa. Hali ya uchumi ni tete indeed. Mie nimekuja tu hapa 3 weeks kila mtu analia shida shida.
 
Also kama plan yako ni kuzamia, Visitor visa ni MBAYA SANA. Tafuta student visa kama ulifauly elimu vizuri au manzi ambaye ni US citizen umwoe. Visitor visa bora ubakie tu Tz kama plan yako ni kuzamia. Hautapata kazi kabisa, na utapoteza tu muda wako. Otherwise, simlaumu mtu anayetaka kukimbia from bongo. Wao wenyewe walishasema watu waende nchi nyingine. Wawarahisishie tu passport application process sasa. Hali ya uchumi ni tete indeed. Mie nimekuja tu hapa 3 weeks kila mtu analia shida shida.
sina plan za kuzamia kabisaaaa
bcoz bado nasoma
Mechanical eng - Arusha Technical College .

nategemea nikirudi hivi chuo mwez wa 11 ndio nitafute week moja katika wiki za mwanzoni mwa semester
 
sina plan za kuzamia kabisaaaa
bcoz bado nasoma
Mechanical eng - Arusha Technical College .

nategemea nikirudi hivi chuo mwez wa 11 ndio nitafute week moja katika wiki za mwanzoni mwa semester
Sasa mdogo wangu.. gharama za kupata visa, airline ticket, matumizi NY city ambayo ni moja ya most expensive places in America.. halafu uende kukaa tu 1 week? Na ww ni college student? Something you are not telling us. Ila in all totality, all the best to you.
 
Ndugu zangu wana JF,

Nina plan kuwa na safari ya kwenda Marekani ( New York ) by November mwaka huu ni safari ya kawaida tu just tour kwa wiki moja, lakini ndio itakuwa safari yangu ya kwanza kutoka nje ya Tanzania ukitoa Kenya.

So nawaombeni ambae ameshawahi kufika anipe elimu kidogo juu ya mambo ambayo niwe makini nayo katika safari hii

hasa ninapotua tu Airport .View attachment 1931672
Kuna watu wanaopokea wageni nakuwazungusha, ni kama ma guide..tafuta air bnb ya mahala utakapo tua alafu ongea na host yoyote ujue kama anaweza akakusaidia na huduma yakua guide wako. Ndo the safest way i can think of yakupata mwenyeji. All the best with your trip
 
Ndugu..

Hakikisha una cash isipungue hata $2,000 then declare hizo pesa japo si lazima kwa chini ya $10,000

Hakikisha maelezo yako at POE yanaeleweka kulingana na umri wako

Hakikisha ticket unajilipia mwenyewe kama ni matembezi

What do you do for your living??? Tegemea hili swali

Do you pack this for yourself??

Kuna jibu sahihi moja tu kwa kila swali utaloulizwa at POE

BEST OF LUCKY
 
Sasa mdogo wangu.. gharama za kupata visa, airline ticket, matumizi NY city ambayo ni moja ya most expensive places in America.. halafu uende kukaa tu 1 week? Na ww ni college student? Something you are not telling us. Ila in all totality, all the best to you.
is true
sio pesa zangu
full funded na wazazi
kuna issue niliifanikisha ndio nikapewa offer ya kuchagua kutembea ppte tu
ndio nimechagua new York


than just ndio nipo nastructure safari sio kwamba constantly 7 days ?
 
is true
sio pesa zangu
full funded na wazazi
kuna issue niliifanikisha ndio nikapewa offer ya kuchagua kutembea ppte tu
ndio nimechagua new York


than just ndio nipo nastructure safari sio kwamba constantly 7 days ?
Tafuta nchi nyingine utembelee mkuu hata uerope km dubai hutapataka lkn it's likely probability yakupata visa USA kwako ni ngumu sana sikukatishi tamaa lkn lazima nikuambie ukweli kuna mdau amekushauri hapo km hukawahi fika nchi za jirani na wewe kama dubai au south wamarekani hawawezi Kukupa visa kirahis
 
is true
sio pesa zangu
full funded na wazazi
kuna issue niliifanikisha ndio nikapewa offer ya kuchagua kutembea ppte tu
ndio nimechagua new York


than just ndio nipo nastructure safari sio kwamba constantly 7 days ?
Hayo maelezo ni mazuri sana. Hata US embassy wanaweza kukuelewa vizuri tu. Uwe na confidence tu kujielezea. Pia uwe na vielelezo vingi vinavyoonyesha wazazi wana uwezo mkubwa kipesa. Pia uonyeshe proof kwamba unasoma Arusha Tech na kwamba unafurahia shule na masomo unafanya vizuri na utarudi Tanzania. Pia kitu ulichofanya hadi ukapewa hio zawadi kiwe na uzito. Good luck to u young brother.
 
Ndugu..

Hakikisha una cash isipungue hata $2,000 then declare hizo pesa japo si lazima kwa chini ya $10,000

Hakikisha maelezo yako at POE yanaeleweka kulingana na umri wako

Hakikisha ticket unajilipia mwenyewe kama ni matembezi

What do you do for your living??? Tegemea hili swali

Do you pack this for yourself??

Kuna jibu sahihi moja tu kwa kila swali utaloulizwa at POE

BEST OF LUCKY
Ushauri mzuri sana
 
Hivi hao Wamarekani wanakitu gani Special?? Tofauti na Europe?? Wapo sayari gani? Ni binadamu wa kawaida kweli...? Mbona wana MASHARTI MAGUMU SANA KUINGIA KWENYE NCHI YAO??
 
Hivi hao Wamarekani wanakitu gani Special?? Tofauti na Europe?? Wapo sayari gani? Ni binadamu wa kawaida kweli...? Mbona wana MASHARTI MAGUMU SANA KUINGIA KWENYE NCHI YAO??
Demand tu sababu wanadai ni World's strongest economy na Americans wamefanikiwa ku-promote nchi yao vizuri sana kupitia Hollywood movies. Ila kiukweli Haiko kivile saaana. Na mtu usipokuwa mpambanaji sana sana, hautatoboa kabisa. Kazi zipo nyingi sana ila life iko very expensive na sometimes kuna racism na police brutality mambo ambayo also yapo in Europe. Pia kuna homeless people kibao na watu maskini kibao. Sio kila mtu ni tajiri mwenye lamborghini as we see in hollywood films ambazo wanaonyesha the brightest side of USA. Binafsi nipo kule ku-make tu. Napiga job huku nikijinyima sana na kuweka luxury pembeni ili ni-invest Tanzania. Otherwise bila ya kufanya sacrifice na kupambana sana ndio mtu anakuwa huko 20 years na zaidi unakuta hajafanya chochote in US na pia in Tanzania ni sifuri.
 
Kwani US embassy ya tanzania imeanza toa visitor visa?kwenye website yao wamesema hawajaanza toa visitor visa/b2.au pengine wameandika tu ila watu wanapata na mimi nataka kujua kuhusu hili.kwani ninaplan kusafiri mwezi may next year.
 
Kutoka kwenye lock down...hadi sasa
nafikiri kutakuwa na ugumu kidogo kwasababu ya priority za ushughulikiaji na utoaji wa visa uliowekwa hivi sasa..
Nafikiri visa hiyo itakuwa ya mwisho mwisho kwenye list
 
  • Thanks
Reactions: Mit
Kutoka kwenye lock down...hadi sasa
nafikiri kutakuwa na ugumu kidogo kwasababu ya priority za ushughulikiaji na utoaji wa visa uliowekwa hivi sasa..
Nafikiri visa hiyo itakuwa ya mwisho mwisho kwenye list
Ni kweli ulisemalo.lakini kinachonishangaza wasanii wanapewa...nilitegemea wangekua kwenye kundi kama la visitors kwenye priority,lakini wanapewa na B2 bado hawajaanza kupewa,wakati hawa wasanii wanakwenda kutengeneza mikusanyiko ambayo huongeza covid.sijui intention yao ni nini(US embassy).naelewa F1,Hb.naomba waanze toa B2 by January 2022.
 
Ni kweli ulisemalo.lakini kinachonishangaza wasanii wanapewa...nilitegemea wangekua kwenye kundi kama la visitors kwenye priority,lakini wanapewa na B2 bado hawajaanza kupewa,wakati hawa wasanii wanakwenda kutengeneza mikusanyiko ambayo huongeza covid.sijui intention yao ni nini(US embassy).naelewa F1,Hb.naomba waanze toa B2 by January 2022.
Kuhusu wasanii labda wanaangalia mapatao? Tax??
 
  • Thanks
Reactions: Mit
Back
Top Bottom