Safari ya Lema v/s JK London, ipi imeleta manufaa kwa watanzania?

Chilisosi

JF-Expert Member
Oct 19, 2008
3,051
747
Ndugu zanguni.
Kama mjuavyo mheshimiwa Lema alikuwa hapa UK na alifanikisha zoezi la kufungua tawi la chadema UK.
Pamoja na hayo faida kubwa ya safari ya LEMA ambayo haikugharimu zaidi ya pounds £2,000 aliahidiwa ambulance mbili ambazo jumapili iliyopita zilikabidhiwa kwa mwenyekiti wa Chadema UK Chris Lukosi. ambulance hizi zitaenda kusaidia wajawazito na wagonjwa wengine jimboni kwake.

Wakati huo huo Mkulu alikuja hapa UK kuhudhuria semina ya uzazi wa mpango.
Msafra wa mkulu ulikuwa na watu kama 70 hivi na walifikia kwenye hoteli moja kubwa sana hapa UK inaitwa CHURCHILL HOTEL . Gharama za chumba cha kawaida kwa mtu mmoja kwenye hii hotel ni £500. (vyumba vywa walinzi, mawaziri na familia nzima ya mkuli ni more expensive kuliko vya kawaida)

Kwa hiyo watu sabini kwa siku ina cost £35,000 msafara ulikaa hapa wiki moja kwa hiyo iligharimu jumla £245,000 . hizi ni bila kuweka masuala ya chakula , usafiri, shopping nk.

Ambulance alizopewa Lema zinauzwa £4,000 kila moja hivyo basi katika £245,000 tungepata ambulance 61 ambazo zingesambazwa nchi nzima. Mkumbuke tuliambiwa vibajaji vitumike kubeba mama zetu wanapokwenda kujifungua wakati watu wanakuja kuhudhuria semina ya uzazi wa mpango na kutumia mihela yote hii!.
Maswali yangu kwa jamii.
600

Kuna umuhimu gani kuhudhuria semina inayohusu wazazi wakati wazazi wenyewe unawaambia wapande bajaji?
Kuna umuhimu ganin wa msafara mkubwa kama huo wakati kuna ubalozi hapa UK
Kazi ya waziri wa afya ni nini?

Kwangu mimi naona safari ya LEMA ina mafanikio makubwa zaidi kwa sababu walau amerudi na ambulance mbili na hakutumia hela nyingi £2,000.

Hii wenzangu mnaionaje?? hata kama wewe ni CCM una mawazo gani hapa?
bajaj-rickshaw-tanzania-africa-600x400.jpg
 
Mkuu nakuunga mkono asilimia 100% inamanufaa sana na huwa CDM hawafanyi vitu kwa kuiga au kukurupuka kama CCM Nape alijaribu kuwaiga M4C akakwama sasa karudi Lumumba kuhubiri Propaganda
 
Thanx kwa mdadavuo huu......ila na huyo Lema kweli hajui gharama ya mercedes huku bongo mpaka achukue hizo????
Hope next time atakuwa makini kwenye uchaguzi kutokana na hali ya huku sio bora tu tumepewa basi liwalo na liwe
 
Safari ya Kamanda Lema imeleta faida kubwa ajabu. Elimu ya uraia sasa hufikishwa kila pembe ya nchi kiurahisi zaidi, wananchi kupata mwamuko zaidi na kuanza kudhibiti MAFISADI kutokuogelea mali ya umma kama zamani.
 
Kuna kitu napenda kujua. Safari ya Lema iligharamiwa na Lema mwenyewe, CDM au wapiga kura wa Arusha? Kama iligharamiwa na CDM, CDM ndio wamepanga ambulance hizo ziende Arusha? Ni hayo tu.
 
Kuna kitu napenda kujua. Safari ya Lema iligharamiwa na Lema mwenyewe, CDM au wapiga kura wa Arusha? Kama iligharamiwa na CDM, CDM ndio wamepanga ambulance hizo ziende Arusha? Ni hayo tu.
Safari ya Lema iligharimiwa na Lema mwenyewe kwa mapenzi ya nchi yake
 
Kulinganisha safari za JK na lema ni Sawa na Kulinganisha bajaji na boeng, lema ni one trip JK ni 670+ trip na mafanikio huitaji kuuliza maana ya lema iko wazi. Chopa, ambulance na nissani kadhaa JK ni net, kashfa na good time kibao anyway napita tuu huu sio mtaa wangu
 
Ndugu zanguni.
Kama mjuavyo mheshimiwa Lema alikuwa hapa UK na alifanikisha zoezi la kufungua tawi la chadema UK.
Pamoja na hayo faida kubwa ya safari ya LEMA ambayo haikugharimu zaidi ya pounds £2,000 aliahidiwa ambulance mbili ambazo jumapili iliyopita zilikabidhiwa kwa mwenyekiti wa Chadema UK Chris Lukosi. ambulance hizi zitaenda kusaidia wajawazito na wagonjwa wengine jimboni kwake.

Wakati huo huo Mkulu alikuja hapa UK kuhudhuria semina ya uzazi wa mpango.
Msafra wa mkulu ulikuwa na watu kama 50 hivi na walifikia kwenye hoteli moja kubwa sana hapa UK inaitwa CHURCHILL HOTEL . Gharama za chumba cha kawaida kwa mtu mmoja kwenye hii hotel ni £500.

Kwa hiyo watu sabini kwa siku ina cost £35,000 msafara ulikaa hapa wiki moja kwa hiyo iligharimu jumla £245,000 . hizi ni bila kuweka masuala ya chakula , usafiri, shopping nk.

Ambulance alizopewa Lema zinauzwa £4,000 kila moja hivyo basi katika £245,000 tungepata ambulance 61 ambazo zingesambazwa nchi nzima. Mkumbuke tuliambiwa vinajaji vitumike kubeba mama zetu wanapokwenda kujifungua wakati watu wanakuja kuhudhuria semina ya uzazi wa mpango na kutumia mihela yote hii!.
Maswali yangu kwa jamii.
600

Kuna umuhimu gani kuhudhuria semina inayohusu wazazi wakati wazazi wenyewe unawaambia wapande bajaji?
Kuna umuhimu ganin wa msafara mkubwa kama huo wakati kuna ubalozi hapa UK
Kazi ya waziri wa afya ni nini?

Kwangu mimi naona safari ya LEMA ina mafanikio makubwa zaidi kwa sababu walau amerudi na ambulance mbili na hakutumia hela nyingi £2,000.

Hii wenzangu mnaionaje?? hata kama wewe ni CCM una mawazo gani hapa?
bajaj-rickshaw-tanzania-africa-600x400.jpg

Du ambulance ya kisasa kabisa inauzwa £ 4000 kweli Tanzania scrap yad.
 
Chilisosi,
Unafanya makosa makubwa sana kulinganisha kati ya Lema, mbunge wa zamani wa Arusha na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete, ni sawa sawa kulinganisha mlima Kilimanjaro na mlima Nyashana wa Mwanza.

Halafu mbona unapotosha Lema kwenye mkutano wa Chadema alisema alipewa Chopa vipi mlimpa kweli halafu vipi mazumgumzo ya Lema na Meya wa London yalikuaje tujuze mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Jamani acheni watu wa Ughaibuni waitwe wa Ughaibuni wala si bure hadi wenzetu mkabahatika kufika huko.

Yaani kwa jinsi ulivyonyambua mahesabu humu tena bila chuki, hiyana wala kutumia za kiufundi zaidi, WaTanzania wenzako tumekuelewa safi kabisa juu ya huu utumbuaji wa fedha za umma bila hata ya chembe ya huruma jinsi gani kodi zetu zilivyo za kuungaunga tu huku Bongo.

Kimsingi ninachojifunza hapa ni kwamba sisi kama mojawapo nchi zinazoendelea kusini mwa jangwa la Sahara wala HATUKO NA HALI YA UMASIKINI KWA KUWA NI MASIKINI bali tu ni kwamba katika historia hatujawahi kubahatika kuwa na UONGOZI MAKINI katika mipka yetu tangu Mwalimu Nyerere aondoke ofisini. Wengine wote hawa ni washereheshaji wakubwa yaani ni nyakua nyakua mali ya masikini bila hata chembe ya aibu na kurundika fedha kule mji salama wa Uswisi kusikofikika na sie wavuja jasho.

Jamani unyambuzi huu hapa umeniharibia kabisa siku; nimechefuka kweli kweli na CCM na uongozi wake kwa kutumia fedha zetu vibaya sana huku wakiponda maisha katika hoteli za kifahari kila wanapoenda safari sawasawa tu na mataifa yalioendelea kiuchumi duniani!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Ndugu zanguni.
Kama mjuavyo mheshimiwa Lema alikuwa hapa UK na alifanikisha zoezi la kufungua tawi la chadema UK.
Pamoja na hayo faida kubwa ya safari ya LEMA ambayo haikugharimu zaidi ya pounds £2,000 aliahidiwa ambulance mbili ambazo jumapili iliyopita zilikabidhiwa kwa mwenyekiti wa Chadema UK Chris Lukosi. ambulance hizi zitaenda kusaidia wajawazito na wagonjwa wengine jimboni kwake.

Wakati huo huo Mkulu alikuja hapa UK kuhudhuria semina ya uzazi wa mpango.
Msafra wa mkulu ulikuwa na watu kama 50 hivi na walifikia kwenye hoteli moja kubwa sana hapa UK inaitwa CHURCHILL HOTEL . Gharama za chumba cha kawaida kwa mtu mmoja kwenye hii hotel ni £500.

Kwa hiyo watu sabini kwa siku ina cost £35,000 msafara ulikaa hapa wiki moja kwa hiyo iligharimu jumla £245,000 . hizi ni bila kuweka masuala ya chakula , usafiri, shopping nk.

Ambulance alizopewa Lema zinauzwa £4,000 kila moja hivyo basi katika £245,000 tungepata ambulance 61 ambazo zingesambazwa nchi nzima. Mkumbuke tuliambiwa vinajaji vitumike kubeba mama zetu wanapokwenda kujifungua wakati watu wanakuja kuhudhuria semina ya uzazi wa mpango na kutumia mihela yote hii!.
Maswali yangu kwa jamii.
600

Kuna umuhimu gani kuhudhuria semina inayohusu wazazi wakati wazazi wenyewe unawaambia wapande bajaji?
Kuna umuhimu ganin wa msafara mkubwa kama huo wakati kuna ubalozi hapa UK
Kazi ya waziri wa afya ni nini?

Kwangu mimi naona safari ya LEMA ina mafanikio makubwa zaidi kwa sababu walau amerudi na ambulance mbili na hakutumia hela nyingi £2,000.

Hii wenzangu mnaionaje?? hata kama wewe ni CCM una mawazo gani hapa?
bajaj-rickshaw-tanzania-africa-600x400.jpg
 
Safari ya Lema iligharimiwa na Lema mwenyewe kwa mapenzi ya nchi yake

Chilisosi,
Wakati mwingine kama umekosa cha kuongea ni bora ukae kimya kuliko kujidhalilisha, wewe upo Uingereza umejuaje kama safari ya Lema kwenda Uingereza iligharimiwa na Lema mwenyewe.

Hivi hunajua M4C ni mradi wa nani? Lema toka mahakama imvue ubunge hana kazi yeyote zaidi M4C ambao ni mradi wao Lema, Dr Slaa na Mbowe, hizo pesa za wananchi walizowachangisha ndio anazitumia kama zake.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zanguni.
Kama mjuavyo mheshimiwa Lema alikuwa hapa UK na alifanikisha zoezi la kufungua tawi la chadema UK.
Pamoja na hayo faida kubwa ya safari ya LEMA ambayo haikugharimu zaidi ya pounds £2,000 aliahidiwa ambulance mbili ambazo jumapili iliyopita zilikabidhiwa kwa mwenyekiti wa Chadema UK Chris Lukosi. ambulance hizi zitaenda kusaidia wajawazito na wagonjwa wengine jimboni kwake.

Wakati huo huo Mkulu alikuja hapa UK kuhudhuria semina ya uzazi wa mpango.
Msafra wa mkulu ulikuwa na watu kama 70 hivi na walifikia kwenye hoteli moja kubwa sana hapa UK inaitwa CHURCHILL HOTEL . Gharama za chumba cha kawaida kwa mtu mmoja kwenye hii hotel ni £500.

Kwa hiyo watu sabini kwa siku ina cost £35,000 msafara ulikaa hapa wiki moja kwa hiyo iligharimu jumla £245,000 . hizi ni bila kuweka masuala ya chakula , usafiri, shopping nk.

Ambulance alizopewa Lema zinauzwa £4,000 kila moja hivyo basi katika £245,000 tungepata ambulance 61 ambazo zingesambazwa nchi nzima. Mkumbuke tuliambiwa vinajaji vitumike kubeba mama zetu wanapokwenda kujifungua wakati watu wanakuja kuhudhuria semina ya uzazi wa mpango na kutumia mihela yote hii!.
Maswali yangu kwa jamii.
600

Kuna umuhimu gani kuhudhuria semina inayohusu wazazi wakati wazazi wenyewe unawaambia wapande bajaji?
Kuna umuhimu ganin wa msafara mkubwa kama huo wakati kuna ubalozi hapa UK
Kazi ya waziri wa afya ni nini?

Kwangu mimi naona safari ya LEMA ina mafanikio makubwa zaidi kwa sababu walau amerudi na ambulance mbili na hakutumia hela nyingi £2,000.

Hii wenzangu mnaionaje?? hata kama wewe ni CCM una mawazo gani hapa?
bajaj-rickshaw-tanzania-africa-600x400.jpg

Mkuu usitufanye wote sie ni watoto mkuu tuna akili zetu timamu. Ambulance unazo sema taarifa tunazo ni mtumba na zinaweza kuweko barabarani kwa mwaka mmoja tu, zinakuwa scrap value. Jipangeni tena hatudanganyiki
 
Chilisosi,
Wakati mwingine kama umekosa cha kuongea ni bora ukae kimya kuliko kujidhalilisha, wewe upo Uingereza umejuaje kama safari ya Lema kwenda Uingereza iligharimiwa na Lema mwenyewe.

Hivi hunajua M4C ni mradi wa nani? Lema toka mahakama imvue ubunge hana kazi yeyote zaidi M4C ambao ni mradi wao Lema, Dr Slaa na Mbowe, hizo pesa za wananchi walizowachangisha ndio anazitumia kama zake.


Nisikilize kwa umakini...toa fikra ambazo ni Biased sawa na ikiwezekana kaa peke yako ili ujue uwezo wako wa kunyambua mambo. Kisha rudia kusoma na uchangie upya coz najua umekurupuka though u ar so ingeneous son.
 
Mkuu usitufanye wote sie ni watoto mkuu tuna akili zetu timamu. Ambulance unazo sema taarifa tunazo ni mtumba na zinaweza kuweko barabarani kwa mwaka mmoja tu, zinakuwa scrap value. Jipangeni tena hatudanganyiki
Sikatai ni mtumba kutoka UK na zitadumu kwa miaka si chini ya kumi wote tunaelewa gari used ya mwaka 2005 toka UK inaweza kuishi miaka mingine mingi sana nyumbani.
Kwa kusema hivyo unaona bora kibajaji kutoka india kipya kimbebe mkeo kwenda kujifungua kuliko ambulance ya mwaka 2005?
 
Ritz mdogo wangu nishakuonya na husikii kwa ulivyo peke yako humu jf hutaiweza cdm omba nape akuongezee watu au uache ,kimbunga m4c ni zaidi ya sunami!!
 
Ritz mdogo wangu nishakuonya na husikii kwa ulivyo peke yako humu jf hutaiweza cdm omba nape akuongezee watu au uache ,kimbunga m4c ni zaidi ya sunami!!

Wewe uliyokuwa na akili kama za Nguchiro unadhani JF ni mali ya Chadema...hili ni jukwaa huru kama wewe umekuja JF na kundi lako la Chadema usidhani wote ni Chadema.
 
Back
Top Bottom