Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
Siasa za kibongo lazima uwe mshirikina, muongo na mzandiki. Huyu jamaa rasmi ameasi. Anayataka yote ya Mungu na ya KaizariPambaneni na hali yenu.. jamaa ashabadili uelekeo.
Bamingamu ndiyo habari ya mjini.
Haha haha haaBamingamu ndiyo habari ya mjini.
Sidhani tangu azaliwe amewahi kuyataka ya MunguSiasa za kibongo lazima uwe mshirikina, muongo na mzandiki. Huyu jamaa rasmi ameasi. Anayataka yote ya Mungu na ya Kaizari
Haelewi hata ni kwanini bei ya sukari imepanda tangu Magufuli aingie madarakani.Namuhurumia Gwajifix anaenda kukosa yote. Waumini wameshagundua jamaa ni tapeli. Na ubunge hapati.Patamu hapo.
Najaribu kufikiri....Namuhurumia Gwajifix anaenda kukosa yote. Waumini wameshagundua jamaa ni tapeli. Na ubunge hapati.Patamu hapo.
Mshika mawili yote humponyoka.
Kaka kinyonga chameleonKiongozi aliyekosa mwelekeo.Leo akisema hivi kesho anabadilika,huyu siwezi kumwamini.