Safari ya kufuata mhogo

Safari ya kufuata mhogo

Katika maisha tunapitia changamoto nyingi mnoo . Ila tumepewa zawadi ya mapenzi na Muumba Ili kupunguza uchungu tunaokutana nao katika safar nzima ya maisha
Usipende kufuatilia mambo ya watu, tafuna muhogo ukimaliza rudi kwa yule wa Tunduma
 
Hili taifa lina vijana bure kabisa kichwani
IMG_0020.jpg
 
Kuna Bidada tuko mikoa ya karibu, ila Sasa Kila nikichomekea akuje......ananizungusha.

Kila nikichomekea Mimi niende , Mara ubize Mara nn !!


Msiseme hanipendi ,Ananipenda sana tu , Ila nahisi ni ubize tu wa hapa na pale


Kwa kweli kuna Raha kusafiri kufata Mbususu!! ... Yaan unakua kama unafanya Royal Tour ya kugegedana


Kondomu !!.


Nasema Uongo Ndugu zangu??.
Ndo unapigiwa hivyoo
 
Mtuombee wakuu
Kuwa mwanaume sio kazi ndogo, imagine limji kama Dasalama jamani
Hebu fikiria ndio unakatiza pale wanaita chuo kikuu, rudi kapande pantoni jamani, toka uko tembelea TIA, IFM, CBE huko kote acha ingia mjini kule sjui mnaita site senta

Uanaume kazi nyie msifanye utani
Sawa baba mzuri nitakuombea🤩
 
Moro mwingine kabla sijaolewa yaan nikiwa kwenye utafutaji mume
Ulikua unatafuta mume kama mbuzi wa kuchinja??
Hapo ndipo mnafeli
Nan aliwaambia mke/mume anatafutwa??amekua mbuzi au pesa??

Daaah polen somen Bible muelewe jins yakupata mwenzi wako
 
Utakavyotaka kusema na useme,,, mxiiiieeew
Legendari
Huyo mzee akiugua usimkimbie
Maana ndiyo tabia zenu nyie slay queen
Laana haita kuacha
Na Mimi nasema laana ikupate milele ukimtelekeza huyo mzee
 
Katika maisha tunapitia changamoto nyingi mnoo . Ila tumepewa zawadi ya mapenzi na Muumba Ili kupunguza uchungu tunaokutana nao katika safar nzima ya maisha

Katika miez mibovu kwangu ni pamoja na huu nimesafir KUFATA MHOGO Arusha kutoka Tunduma

Wanaume kuweni na aibu ata kidogo basi aiwezekan uwe unabadilisha wanawake kama nguo na wote unawapeleka nyumba unayoishi mnaboa wenye tabia za Ivo sana katika katiba mpya hili swalatutaomba liwepo kuwafunga wanaume wa hivo

Nimefka Arusha salama lakin nakutana na vituko namna hii mwanaume age34 Bado unaangaika na bint wa 16yrs men stop this pls haitoshi mama mwenyenyumba hakai hapo ila ndo anagombaniana na vidada MHOGO yaaan akikuta kadada anakaramba makofi hio si laana?

Lait ningejua kuwa mahusiano ya mbali umoja wa mataifa ndo wanaweza nisingejihusisha na haya mahusiano ambayo mpaka sasa sijui yalikuwa yanahusiana na Nini

Nawapa taadhari acheni kizifata mbunye na papuchi mbaliii mtajakupigwa vitu vizito dumu na yule mtu wako wakaribu kama tu hakuletei U.T.I
Baby ndo umekuja kunitangaza uku si uliondoka mwenyewe Njiro tena bila kuniaga huo ni uungwana kweli?
 
Legendari
Huyo mzee akiugua usimkimbie
Maana ndiyo tabia zenu nyie slay queen
Laana haita kuacha
Na Mimi nasema laana ikupate milele ukimtelekeza huyo mzee
Hao wanaitwa wasimbe
 
Mama akirud penshen inaingia,miaka 61 tu,pitia Moro hapa tufuatane twende mbinguni tukazitumie na kupoza machungu
 
Legendari
Huyo mzee akiugua usimkimbie
Maana ndiyo tabia zenu nyie slay queen
Laana haita kuacha
Na Mimi nasema laana ikupate milele ukimtelekeza huyo mzee
Ungekuwa makini na kwenye kutafuta hela km huu ushauri ungekuwa mbali Sana,,

Sasa Ni hivi,, sio mzee kiasi hicho, anayo zaidi ya miaka 15 kufikia umri wa kustaafu,, na mi ni mke kwa kiapo cha kanisani,, laana yako baki nayo
 
We ni sehemu ya wapambanaji hapo pambano limekushinda unalalamika ukifika tunduma karibia hapa isongole tujadili vizri juu ya hili tatizo lako
 
Back
Top Bottom