KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,596
Jovile nakuanga papa mimi iko napi vile naweza ntomboka na kutokota ya fasi ya moyo juvile naona perdeshee ya magogoni nafanyanga vile!!!acha ikalage ivo papa!mu kumi mbili na kuumi na itano tutajuanga inakuwaje.Prezidaa Nyoshi ya Magogoni, Perdeshee ya pesa mupyamupya, mutu ya masifa, ya kufotoka na masupa staa, haijui kwanini iko na nzala kwa bongo.