Safari ya Kikwete na Kifo cha Kanumba

Prezidaa Nyoshi ya Magogoni, Perdeshee ya pesa mupyamupya, mutu ya masifa, ya kufotoka na masupa staa, haijui kwanini iko na nzala kwa bongo.
Jovile nakuanga papa mimi iko napi vile naweza ntomboka na kutokota ya fasi ya moyo juvile naona perdeshee ya magogoni nafanyanga vile!!!acha ikalage ivo papa!mu kumi mbili na kuumi na itano tutajuanga inakuwaje.
 
Yeah its possible!


jamaa kawamiss masela wake wa sinza...........ujue ukiwa rais huwezi amua tu unaenda sinza kama hamna issue maalum..................ameona akienda safari akirudi msiba hamna tena kwa hiyo bora atumie fulsa hiyo kukutana na wana wake...........
 
Suala la kuweka vipaumbele linatofautiana kati ya mtu na mtu. Ni kweli kwamba vipaumbele vya baba Riz ni tofauti na vipaumbele vya taifa, ingawa mhusika ni mtumishi wa taifa ambaye inatakiwa atekeleze vipaumbele vya taifa. I stand to be corrected
 
Kuhudhuria Rais mahali inategemea na ratiba zake, bahati nzuri kifo cha Kanumba kimetokea at a right time kwa yeye kuhudhuria. Hebu jamani niambieni, ndugu zako wote waliofariki ulihudhuria misiba yao? Inawezekana misiba mingine ilikuwa ni ya watu wa karibu zaidi ulishindwa kuhudhuria kwa sababu moja au nyingine lakini ile ambayo haikukugusa uliweza kuhudhuria. Kumbuka msiba huu umetokea wakati wa Pasaka ambao nina uhakika karibu dunia nzima walikuwa mapumzikoni (ukiacha sekta muhimu). Kila mtu ana kitu chake anachoona ni muhimu kwake (Priority) sio lazima kitu muhimu kwako kiwe muhimu kwa mwingine. Kwa kuamua kuacha kwenda mapumzikoni akaamua kwenda msibani, ilikuwa ni muda muafaka kwani hakuwa amepangiwa shughuli nyingine. Acheni wivu na madonge.
 
Haijarishi ni nani atakuwa the next president, lakini nifanya sherehe nyumbani kwangu kusheherekea huyu Jamaa kuondoka Madarakani.
 
Wasanii wa bongo movie wamefiwa na mtu muhimu sana!! jk pamoja na ule umati nawapongeza kwa kuonesha ushirikiano pia sijaona kosa la JK!! .... asingekwenda mgesema.. amekwenda mnasema!!!

HATERS!!
 
Iwe ya safari ya manerumango iwe ya kigambano bado huyu rais wetu hajui wajubu wake. Rais wa nchi huhudhuria mazishi kwa sababu maalum na kwa watu maalum. Sio hata hivi vihuni vya uchochoroni. Kama kuna ulazima sana pole aliyotoa pale nyumbani inatosha. Tanzania imeingia kwenye usanii mbaya sana wa kuona mazishi ni sehemu ya kufanyia usanii na unafiki wa siasa. f-------



ni kweli mkuu angemwacha mkuu wa mkoa au waziri wa habari utamaduni na michezo amuwakilishe na angetuma rambirambi tu.Wale wazee waliokuwa watumishi wa iliyokuwa jumuiya ya afrika mashariki wanaokufa njaa barabarani hawaoni?
 
Back
Top Bottom