Safari ya Kikwete na Kifo cha Kanumba

Kwanza wana JF wenzangu poleni sana na msiba wa Kanumba
Pili poleni kwa hang over, na pilau la Pasaka
Tatizo langu ni kushindwa kumuelewa huyu baba riz (JK), nimeona katika moja ya magazeti ya leo, kupitia mtandao kuwa ameahirisha safari yake ya nje ili kuhani kifo cha Kanumba, hilo ni jambo jema lakini halina weledi wala maslahi kwa taifa isipokuwa tu kama safari yake ilikuwa ni binafsi, nayo pia iwe haikuwa na maslahi kwa taifa.
Kumbukumbu zangu zinanionesha kuwa ni huyuhuyu baba riz aliyeondoka nchini wakati akiacha mgomo wa madaktari unaanza na maelfu ya watz kupoteza maisha,
ni huyuhuyu baba riz aliyeondoka nchini akiacha maafa kule arusha ambapo polisi waliua watu kwa risasi Jan 5 2011
na mengine kama hayo
sasa kama huyu ndo hivyo tanzania inaenda wapi? maslahi ya taifa yako wapi? weledi na uwajibikaji viko wapi?
J3 ya pasaka njema

kama ni kweli imekuwa hivyo' ni mwendelezo mbaya wa stori za mheshimiwa raisi!
 
Prezidaa Nyoshi ya Magogoni, Perdeshee ya pesa mupyamupya, mutu ya masifa, ya kufotoka na masupa staa, haijui kwanini iko na nzala kwa bongo.

Asante Bujibuji. yote umeyasema kwa ufupi na stahili kabisa! yangu yote yako ktk yako!
 
Iwe ya safari ya manerumango iwe ya kigambano bado huyu rais wetu hajui wajubu wake. Rais wa nchi huhudhuria mazishi kwa sababu maalum na kwa watu maalum. Sio hata hivi vihuni vya uchochoroni. Kama kuna ulazima sana pole aliyotoa pale nyumbani inatosha. Tanzania imeingia kwenye usanii mbaya sana wa kuona mazishi ni sehemu ya kufanyia usanii na unafiki wa siasa. f-------

Kifo hakina huruma.
 
Wadanganyika moja kati ya sifa kubwa ya mkuu wa kaya ambayo tuliambiwa wakati anaomba kura ni mtu wa watu, anahudhuria misiba ya watu. Hizi ndizo sifa za mkulu wa kaya so usishangae kumuona akienda kwenye kila msiba atakao pewa taarifa. Huyu ndiyo STAR STRUCK wa bongo kwake yeye kuhudhuria misiba ni sifa, hajui kama hilo ni tendo la kiungwana kwani kila mtu ataonja mauti.
 
Baada ya taifa kupata msiba kufuatia kifo cha msanii maarufu Steven Kanumba(Mungu amlaze mahala pema Peponi)Mh.Rais JK alivunja au kuaalisha ziara yake ya nje ya nchi na kwenda kutoa pole kwa wafiwa na kusubiri mazishi yake.Ni swala la kibinaadamu na sawa.Lakini kinachonitia shaka katika hatua hii ya Mh.Rais JK ni ya kwamba kumewahi kutokea maswala na migogolo ambayo ililikumba taifa na ambapo busara na uamuzi wake ulihitajika lakini Mh.Rais JK alipanda ndege na kuendelea na safari za nje ya nchi.Mfano tatizo la mgomo wa kwanza wa Madaktari ambapo wananchi walikua wanapoteza maisha yao kwa mgomo huo wa madaktari lakini Mh.JK akapanda ndege na kuelekea Davos Uswiss,kitendo ambacho kilighalimu maisha na usumbufu mkubwa kwa wagonjwa na wengine kupoteza maisha.Hapa inanifanya nijiulize na kufikiri ya kua Mh.Rais JK anapokua hana majibu kwa matatizo na kero za wananchi anaikimbia nchi,lakini pale ambapo kunamatukio ambayo hayahitaji majibu ya ziada yuko tayali kuvunja safari.MUNGU IBARIKI TANZANIA.

Hujamuelewa baba riz 1 mpk leo jaman, lengo lake ni kwenda kuangalia warembo kwn anajua mahala pale ndipo watakuwa wamekusanyika, na ndio maana aliona ili kuweza kuwafikia ni yeye kwenda walipoket hao mabint na kuwasalimia kila mmojawapo kwa kumshika mkono.
 
mbona hakuarisha kwenda safarini wakti wa mgomo wa madaktari na vifo vya mamia ya wagonjwa?
 
Habari njilizozipata sasa hivi inasemekana yule mtoto LULU ndio kwanza ana umri wa miaka 17 sio 18 kama ilivyodaiwa...
Mkandara ukikaa sana ughaibuni saa nyingine kunakufanya usiijuwe nchi yako, ukitaka kujuwa kwamba nchi hii hakuna Juvenile wewe tembelea magereza ya keko na Segerea uone watoto wa miaka 14 wanavyochanganywa selo za watu wazima.
 
Kwa wale msioamini mnisamehe but kwa wanaochunguza mambo ya freemansons atajua kuwa jamaa amemtoa kanumba kafara.
 
Kwanza wana JF wenzangu poleni sana na msiba wa Kanumba
Pili poleni kwa hang over, na pilau la Pasaka
Tatizo langu ni kushindwa kumuelewa huyu baba riz (JK), nimeona katika moja ya magazeti ya leo, kupitia mtandao kuwa ameahirisha safari yake ya nje ili kuhani kifo cha Kanumba, hilo ni jambo jema lakini halina weledi wala maslahi kwa taifa isipokuwa tu kama safari yake ilikuwa ni binafsi, nayo pia iwe haikuwa na maslahi kwa taifa.
Kumbukumbu zangu zinanionesha kuwa ni huyuhuyu baba riz aliyeondoka nchini wakati akiacha mgomo wa madaktari unaanza na maelfu ya watz kupoteza maisha,
ni huyuhuyu baba riz aliyeondoka nchini akiacha maafa kule arusha ambapo polisi waliua watu kwa risasi Jan 5 2011
na mengine kama hayo
sasa kama huyu ndo hivyo tanzania inaenda wapi? maslahi ya taifa yako wapi? weledi na uwajibikaji viko wapi?
J3 ya pasaka njema

rais wenu huyoo.ndo rais pekee duniani aliyehani misiba mingi tangu dunia iundwe,pia anaesafiri safari nying duniani
 
Kwanza wana JF wenzangu poleni sana na msiba wa Kanumba
Pili poleni kwa hang over, na pilau la Pasaka
Tatizo langu ni kushindwa kumuelewa huyu baba riz (JK), nimeona katika moja ya magazeti ya leo, kupitia mtandao kuwa ameahirisha safari yake ya nje ili kuhani kifo cha Kanumba, hilo ni jambo jema lakini halina weledi wala maslahi kwa taifa isipokuwa tu kama safari yake ilikuwa ni binafsi, nayo pia iwe haikuwa na maslahi kwa taifa.
Kumbukumbu zangu zinanionesha kuwa ni huyuhuyu baba riz aliyeondoka nchini wakati akiacha mgomo wa madaktari unaanza na maelfu ya watz kupoteza maisha,
ni huyuhuyu baba riz aliyeondoka nchini akiacha maafa kule arusha ambapo polisi waliua watu kwa risasi Jan 5 2011
na mengine kama hayo
sasa kama huyu ndo hivyo tanzania inaenda wapi? maslahi ya taifa yako wapi? weledi na uwajibikaji viko wapi?
J3 ya pasaka njema

Ni huyu huyu aliyeacha maafa ya G/mboto na kupaa zake nje!
 
Kama ameahirisha safari (hata kama alikuwa anaenda Kigamboni) kwa sababu ya msiba wa mcheza filamu basi ni wazi hiyo safari (a) sio muhimu kabisa na hiyo asipoenda huko alikukuwa anaenda hakuna litakaloharibika na (b) aliiwahisha kwa mfano mkutano ni Jumatano yeye akaamua kuondoka Jumapili!

Pia ningependa kuuliza, kwa kama JK alikuwepo kwenye maziko ya Rt. IGP Mahundi Jumamosi? Kama hakuwepo ni sababu zipi zilimfanya asihudhurie huu msiba mkubwa hivi maana sio kawaida kwa rais wetu kutohudhuria misiba?

Labda huko hakuna vyombo vingi vya kuripoti kama kwa kanumba
 
watu wana wivu hata wa msiba.aliyenacho ataongezewa asiyekuwa nacho hata kidogo alicho nacho atanyanganywa.kama we hujulikani jk atakufanyia nini? fanya kaz itakayoonekana ili utunzwe na wewe.muache wivu. kwa vengu mbona hamkusema?muhimbili kulikuwa na wagonjwa weng lkn vengu akapelekwa nje ili kutibiwa.sababu alifanya kaz inayoonekana. jk anafanya hivyo kwasababu kanumba alifanya kaz ya kuonekana na nzuri kwa wa2 wengi. muache wivu
 
Back
Top Bottom