Safari Njema.

Safari Njema.

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
John na James wanataka kusafiri kutoka Kashozi kwenda Katerero.John anasafiri kwa baiskeli na James anatumia gari ambayo spidi yake ni mara sita ya spidi ya baiskeli ya John.Bahati mbaya gari ya James ilipata breakdown katikati ya safari.James alipewa 'lift' na dereva wa tractor yenye spidi nusu ya ile spidi ya baiskeli ya John.SWALI;Kati ya James na John,nani alikuwa wa kwanza kufika Katerero?Assume kashozi-katerero=120km.
 
Nasubiri wataalamu wa mambo haya nipo hapa kando.
 
Itakua james....no ni john......hapana ni james....damn i'll be back
 
Back
Top Bottom