Safari kutoka Mtwara mpaka Comoro

Safari kutoka Mtwara mpaka Comoro

Kwa meli ni siku 3 au 4 kuna meli za mizigo zinakuwa hapo bandarini zinapakia cement na mizigo inabidi uongee na agent akuunganishe.

kwa njia Ndege ni mpaka uende Dar es Salaam au Zanzibar
Nina mpango wa kupotea kabisa kwenye hii nchi, vipi huko kunafaa kuendesha maisha?
 
Habarini ningependa kujua kuhusu usafiri kutoka mtwara mpaka comoros je napataje usafiri,ina gharimu kiasi gani,inachukua muda gani kufika na je usafiri upo kila siku au ikoje?asanteni
Unasafiri wewe ama tenda ya kumsafirisha hpp?
 
Back
Top Bottom