Saed Kubenea kugombea ubunge 2015 kupitia CHADEMA

Saed Kubenea kugombea ubunge 2015 kupitia CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Pc yako inaonesha km huyu jamaa alikuwa mbele ya wanahabari, vp amesema wapi hayo? lakini bado hukuthibitisha kama kasema yeye kulikoni?

Kama kweli itakuwa ni nzuri lakini naye akienda huko yuko tayari kusimamia kauli zake alizokuwa akiandika kabla ya kufungwa kwa manahalisi? afunguke hapa.
 
Magamba yakisikia Kubenea huwa yanaanza kuharisha ghafla

Yaani wanahara sana wakisikia Hilo jina!
Wanaanza kuulizana "tutumie tindikali au anawishwe maji ya sumu? Au atengenezewe ajali!?"
 
KUBENEA5.JPG


Wanabodi.

Mwandishi wa habari wa gazeti la Mwanahalisi Saed Kubenea, inasemekana amejapanga kugombea Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kupitia CHADEMA mwaka 2015. kwa hivi sasa Jimbo hilo linaongozwa na Silvestry Koka [CCM].

Hii itakuwa habari njema kwa tasnia ya habari kujiingiza katika masuala ya uongozi wa kisiasa, Kubenea kapata msukumo wa kugombea Ubunge baada ya kushauriana na Dr Slaa na kumuakikishia kuwa anaweza kushida Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kama akijipanga vizuri na kupata msaada wa CHADEMA.

Kila la Heri Saed Kubenea.

Huu utakuwa ni umbeya!
 
Mzee wa uamsho unalala mchana?!!.. Nakuona unawanga kiana!... harakati za uamsho zimeishia wapi?!
utasema yooooooooooooote mi mkristo nimepata kipaimara na ubatizo ila udini wenu sijaufagilia hata
 
KUBENEA5.JPG


Wanabodi.

Mwandishi wa habari wa gazeti la Mwanahalisi Saed Kubenea, inasemekana amejapanga kugombea Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kupitia CHADEMA mwaka 2015. kwa hivi sasa Jimbo hilo linaongozwa na Silvestry Koka [CCM].

Hii itakuwa habari njema kwa tasnia ya habari kujiingiza katika masuala ya uongozi wa kisiasa, Kubenea kapata msukumo wa kugombea Ubunge baada ya kushauriana na Dr Slaa na kumuakikishia kuwa anaweza kushida Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kama akijipanga vizuri na kupata msaada wa CHADEMA.

Kila la Heri Saed Kubenea.
Ritz anaweza kuwa kama yule mnyama anayepita chini kwa chini na kutokea upande wa pili.
 
KUBENEA5.JPG


Wanabodi.

Mwandishi wa habari wa gazeti la Mwanahalisi Saed Kubenea, inasemekana amejapanga kugombea Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kupitia CHADEMA mwaka 2015. kwa hivi sasa Jimbo hilo linaongozwa na Silvestry Koka [CCM].

Hii itakuwa habari njema kwa tasnia ya habari kujiingiza katika masuala ya uongozi wa kisiasa, Kubenea kapata msukumo wa kugombea Ubunge baada ya kushauriana na Dr Slaa na kumuakikishia kuwa anaweza kushida Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kama akijipanga vizuri na kupata msaada wa CHADEMA.

Kila la Heri Saed Kubenea.
kudadadeki mbwembwe zote zile fyoooooooooooooo
 
Ukweli husemwa:

Mkuu kwani waandishi wa habari hawaruhusiwi kuwa na vyama vya siasa?

Hilo halina ubishi, wanaruhisiwa kuwa wanachama au wapenzi wa vyama lakini misingi na maadili ya uandishi hayaruhusu waandishi wa habari kuwa na habari za jicho moja huku wakipata malipo ya ahadi za kisiasa.

Uandishi na siasa za kificho ambazo Kubenea alikuwa akizifanya ndizo zinapelekea kwa sasa kuwa na mashaka katika yale yote aliyokuwa anayapigania katika gazeti lake huku akijinadi kama mwandishi asiye na maslahi yoyote katika vyama.

Hapa ndipo tunapopata picha nzima kwa nini serikali iliamua kulifungia gazeti lake bila kutoa sababu yeyote ya maana kwa sababu kama angejitokeza hadharani na kusema kama gazeti lake lina mlengo gani kisiasa nafikili hata serikali isingepata shinikizo la kisiasa kulifungia. ndiyo maana Tanzania daima wanapeta pamoja na kuipiga madongo chama na serikali yake kwa sababu jamii inafahamu lina mlengo gani kisiasa, hata gazeti la uhuru likiandika kitu chochote kuhusu CHADEMA wananchi hawatashangaa kwa sababu wanajua mlengo wake.
 
Acha akapambane ajaribu bahati yake,wengine walijikomba kwa jk wakaambulia u-dc kama kina novatus makunga,jaquleen liana,muhingo rweyemamu na mwengineo,safari njema kamanda kubenea wamefungia gazeti lako hawajakufunga wewe katika msuala mengine
 
Yeye kesha shinda akigombea, kilichobaki ni kufuata utaratibu na kura zipigwe. Wananchi wameshachoka na wizi wa magamba
 
KUBENEA5.JPG


Wanabodi.

Mwandishi wa habari wa gazeti la Mwanahalisi Saed Kubenea, inasemekana amejapanga kugombea Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kupitia CHADEMA mwaka 2015. kwa hivi sasa Jimbo hilo linaongozwa na Silvestry Koka [CCM].

Hii itakuwa habari njema kwa tasnia ya habari kujiingiza katika masuala ya uongozi wa kisiasa, Kubenea kapata msukumo wa kugombea Ubunge baada ya kushauriana na Dr Slaa na kumuakikishia kuwa anaweza kushida Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kama akijipanga vizuri na kupata msaada wa CHADEMA.

Kila la Heri Saed Kubenea.

Chadema mwendo mdundo!
 
Acha awakomeshe magamba,ana uchungu wa kufungiwa mwanahalisi.
 
KUBENEA5.JPG


Wanabodi.

Mwandishi wa habari wa gazeti la Mwanahalisi Saed Kubenea, inasemekana amejapanga kugombea Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kupitia CHADEMA mwaka 2015. kwa hivi sasa Jimbo hilo linaongozwa na Silvestry Koka [CCM].

Hii itakuwa habari njema kwa tasnia ya habari kujiingiza katika masuala ya uongozi wa kisiasa, Kubenea kapata msukumo wa kugombea Ubunge baada ya kushauriana na Dr Slaa na kumuakikishia kuwa anaweza kushida Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kama akijipanga vizuri na kupata msaada wa CHADEMA.

Kila la Heri Saed Kubenea.

Tupe source mkuu, is it true au wewe ndio ungependa iwe hivyo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom