unawaza kunya muda wote au unaishi choon
Mkuu kwani waandishi wa habari hawaruhusiwi kuwa na vyama vya siasa?ukweli husemwa:
Waandishi wa habari wa bongo bana,
Kumbe kelele zote za kumfuatilia Mh.Zitto zilikuwa na malipo ya chini ya meza.
Ama kweli jambo usilolijua ni kama usiku wa giza.
Haiwezi kuwa ni habari njema kwa tasnia ya habari katika jamii. Inatufanya tuwe na wasiwasi na kile kinachoandikwa kwenye magazeti.
Kama nchi itajaa waandishi wa habari walionunuliwa kwa malipo ya chini ya meza lakini wanapiga kelele kuwa wanasimamia misingi ya uandishi wa habari, huu ni kama usaliti katika jamii.
Good news but from untrusted sources.
Na Mchange nae vipi au imekula kwake
Kuna thread ya Mchange kipindi anatuhumiwa kuhusu masalia, alijitetea khs mchango wake kuikuza chadema namnukuu''kibaha ni jimbo langu niligombea ubunge nakushka nafas ya pili kwa idadi ya kura nyngi kwa hiyo swez kuhujumu cdm'' kuna mchangiaji akamzodoa hilo jimbo sio lako na 2015 kubenea anaweza kukogembea. Basi Ritz akaonekana kushangaa, kumbe kubenea ni kada wa cdm. Ritz ameungaunga thread kupitia iyo post ya mchange!
Yale macho yaliyomwagiwa tindikali hatuwezi kuyalipa lakini tunachoweza ni kukupa kura zetuWanabodi.Mwandishi wa habari wa gazeti la Mwanahalisi Saed Kubenea, inasemekana amejapanga kugombea Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kupitia CHADEMA mwaka 2015. kwa hivi sasa Jimbo hilo linaongozwa na Silvestry Koka [CCM].Hii itakuwa habari njema kwa tasnia ya habari kujiingiza katika masuala ya uongozi wa kisiasa, Kubenea kapata msukumo wa kugombea Ubunge baada ya kushauriana na Dr Slaa na kumuakikishia kuwa anaweza kushida Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kama akijipanga vizuri na kupata msaada wa CHADEMA.Kila la Heri Saed Kubenea.![]()
![]()
Wanabodi.
Mwandishi wa habari wa gazeti la Mwanahalisi Saed Kubenea, inasemekana amejapanga kugombea Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kupitia CHADEMA mwaka 2015. kwa hivi sasa Jimbo hilo linaongozwa na Silvestry Koka [CCM].
Hii itakuwa habari njema kwa tasnia ya habari kujiingiza katika masuala ya uongozi wa kisiasa, Kubenea kapata msukumo wa kugombea Ubunge baada ya kushauriana na Dr Slaa na kumuakikishia kuwa anaweza kushida Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kama akijipanga vizuri na kupata msaada wa CHADEMA.
Kila la Heri Saed Kubenea.
ukweli husemwa:
Waandishi wa habari wa bongo bana,
Kumbe kelele zote za kumfuatilia Mh.Zitto zilikuwa na malipo ya chini ya meza.
Ama kweli jambo usilolijua ni kama usiku wa giza.
Haiwezi kuwa ni habari njema kwa tasnia ya habari katika jamii. Inatufanya tuwe na wasiwasi na kile kinachoandikwa kwenye magazeti.
Kama nchi itajaa waandishi wa habari walionunuliwa kwa malipo ya chini ya meza lakini wanapiga kelele kuwa wanasimamia misingi ya uandishi wa habari, huu ni kama usaliti katika jamii.