TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,297
- 28,006
Tatizo hapa ni 'credibility' ya mleta mwanzisha uzi katika masuala yanayoihusu CHADEMA. Hivyo ninapata shida kuitilia maanani habari hii.
![]()
Wanabodi.
Mwandishi wa habari wa gazeti la Mwanahalisi Saed Kubenea, inasemekana amejapanga kugombea Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kupitia CHADEMA mwaka 2015. kwa hivi sasa Jimbo hilo linaongozwa na Silvestry Koka [CCM].
Hii itakuwa habari njema kwa tasnia ya habari kujiingiza katika masuala ya uongozi wa kisiasa, Kubenea kapata msukumo wa kugombea Ubunge baada ya kushauriana na Dr Slaa na kumuakikishia kuwa anaweza kushida Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kama akijipanga vizuri na kupata msaada wa CHADEMA.
Kila la Heri Saed Kubenea.
Hata mimi nimeshangaa mkuu MpigaKelele maana tetesi zilizokuwepo alikuwa anategemea kugombea kupitia SSM!!! Ila kwa hakika atashinda kama ana base kule Kibaha!!! Wanamfahamu lakini? Siasa zina mipangilio yake mkuu. Ila Koka mwisho wake wa Siasa za Ubunge ni 2015. Hatakiwi kule kabisa hata mikutano ya hadhara anaogopa na polisi walimwambia wazi!!Tatizo hapa ni 'credibility' ya mleta mwanzisha uzi katika masuala yanayoihusu CHADEMA. Hivyo ninapata shida kuitilia maanani habari hii.
![]()
Wanabodi.
Mwandishi wa habari wa gazeti la Mwanahalisi Saed Kubenea, inasemekana amejapanga kugombea Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kupitia CHADEMA mwaka 2015. kwa hivi sasa Jimbo hilo linaongozwa na Silvestry Koka [CCM].
Hii itakuwa habari njema kwa tasnia ya habari kujiingiza katika masuala ya uongozi wa kisiasa, Kubenea kapata msukumo wa kugombea Ubunge baada ya kushauriana na Dr Slaa na kumuakikishia kuwa anaweza kushida Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kama akijipanga vizuri na kupata msaada wa CHADEMA.
Kila la Heri Saed Kubenea.
Kuna mtu aliwahi kunidokeza kwamba Ritz ni mwana CHADEMA ila inapenda kutuchokoza ili kuchangamsha jukwaa.
Sijui hili lina ukweli?
Ila habari hii kama ni ya kweli ni njema sana kwetu.
Cdm haina wanachama viazi
![]()
Wanabodi.
Mwandishi wa habari wa gazeti la Mwanahalisi Saed Kubenea, inasemekana amejapanga kugombea Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kupitia CHADEMA mwaka 2015. kwa hivi sasa Jimbo hilo linaongozwa na Silvestry Koka [CCM].
Hii itakuwa habari njema kwa tasnia ya habari kujiingiza katika masuala ya uongozi wa kisiasa, Kubenea kapata msukumo wa kugombea Ubunge baada ya kushauriana na Dr Slaa na kumuakikishia kuwa anaweza kushida Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kama akijipanga vizuri na kupata msaada wa CHADEMA.
Kila la Heri Saed Kubenea.