JERUSALEM 2006
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 527
- 596
Ndugu wana jamvi,
Kuna tetesi zisizo ramsi kutoka makao makuu CHADEMA kuwa, mmiliki wa gazeti la Mseto na Mwanahalisi (limefungiwa) anampango wa kugombea ubunge jimbo( jina tunalo) mwaka 2015!
Chanzo chetu kimebaini kuwa, ndugu Kubenea ameshapata baraka zote kutoka kwa viongozi wa chama (CHADEMA) makao makuu.
Bado tunaendelea na udadisi wa kubaini watu mbalimbali ambao wanaonesha nia ya kuingia mjengoni kupitia CHADEMA.
JJB
MDADISI MAKINI
Kuna tetesi zisizo ramsi kutoka makao makuu CHADEMA kuwa, mmiliki wa gazeti la Mseto na Mwanahalisi (limefungiwa) anampango wa kugombea ubunge jimbo( jina tunalo) mwaka 2015!
Chanzo chetu kimebaini kuwa, ndugu Kubenea ameshapata baraka zote kutoka kwa viongozi wa chama (CHADEMA) makao makuu.
Bado tunaendelea na udadisi wa kubaini watu mbalimbali ambao wanaonesha nia ya kuingia mjengoni kupitia CHADEMA.
JJB
MDADISI MAKINI