Habari hz zinanipa njia ya kumtathimin Kubenea hasa juu ya kazi zake enzi za Mwanahalisi na kupata jibu kuwa alikua ana2miwa na wala hakufanya kaz kwa matakwa yke. Hupaswi kujiuliza kwa nini habari za Ritz zinathibitisha juu ya nlichokisema, embu tizama konfidensi ya KUBENEA kutaka kugombea ubunge imejengwa na utabili wa SLAA alipomuhakikishia ushindi. Sasa unafikiri enzi zile za MWANAHALISI ujasiri wake ulijengwa na nini kama si SLAA?