GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 5,069
- 6,774
Hapo wanachofanya ni kuwatoa wanajeshi wao na zana na baada ya hapo mpango mpya unaanza. SADC haiwezi kuwaacha watutsi wa Rwanda waisumbue Congo.Ni km vile SADC wamekubali Kivu Republican
Kwamba wanaenda kujipanga ?Hapo wanachofanya ni kuwatoa wanajeshi wao na zana na baada ya hapo mpango mpya unaanza. SADC haiwezi kuwaacha watutsi waisumbue Congo.
Hiyo ni mbinu ya kivita. Inaitwa military retreat. Ubelgiji imepeleka commandos wanaokadiliwa kufika 400 na zana za kivita kama vifaru, drones na zana mbalimbali. Commandos wa Ubelgiji wanaenda kutoa mafunzo kwa jsshi la Congo na makundi ya wanamgambo yanaiunga mkono serikali ya Kinshasa. Inasemwa pia kuwa commandos wa Ubelgiji wataingia mzigoni direct.Kwamba wanaenda kujipanga ?
Umeelewa tofauti.SADC imfanye nini Mbelgiji?
SADC hawa Msumbiji walishindwa na Kivu wameshindwa tena. Kama wameshindwa dhidi ya M23 ndio waiweze Belgium ikiamua.
Hao ubelgiji wanakuja kufanya nini? hawajaambiwa kama jeshi la Congo halipo tayari kupigana?😇😇Hiyo ni mbinu ya kivita. Inaitwa military retreat. Ubelgiji imepeleka commandos wanaokadiliwa kufika 400 na zana za kivita kama vifaru, drones na zana mbalimbali. Commandos wa Ubelgiji wanaenda kutoa mafunzo kwa jsshi la Congo na makundi ya wanamgambo yanaiunga mkono serikali ya Kinshasa. Inaaminika commandos wa Ubelgiji wataingia mzigoni direct.
Mkuu maslahi ndiyo kila kituIna maana SADC wamezidiwa na hao migambo?
M23/RDF ndio watapambana na Belgium na kuwafurusha kama walivyowafanyia wale mamluki kutoka Ulaya mashariki.SADC imfanye nini Mbelgiji?
SADC hawa Msumbiji walishindwa na Kivu wameshindwa tena. Kama wameshindwa dhidi ya M23 ndio waiweze Belgium ikiamua.
Belgium kuingiza wanajeshi wake DRC ni warrant tosha kwa Rwanda kuvuka mpaka wao na kukabiliana nao. Kumbuka kiwango cha uhasama kiko juu baada ya kufunga balozi za pande mbili kwa hiyo lolote linaweza kutokea.Sina jibu la moja kwa moja kuhusu uezo wa kijeshi lakini ninachojua ni kibwagizo kile cha "Dunia ya Mungu vitu vya Mzungu"..(jiongeze hapo) Pia unadhani nini kimepelekea kukasirishwa kwa PK kwa ujio wa kifurushi hiki cha wabelgiji ilhali yeye anadai kadhia za duru za DRC haviihusu Rwanda?
Ngoja tuoneHiyo ni mbinu ya kivita. Inaitwa military retreat. Ubelgiji imepeleka commandos wanaokadiliwa kufika 400 na zana za kivita kama vifaru, drones na zana mbalimbali. Commandos wa Ubelgiji wanaenda kutoa mafunzo kwa jsshi la Congo na makundi ya wanamgambo yanaiunga mkono serikali ya Kinshasa. Inaaminika commandos wa Ubelgiji wataingia mzigoni direct.
Sijui ni nani aliyetoa hili wazo fyongo la kuunda jeshi la SADC kwenda kushiriki kitu kinachoonekana wazi kuwa ni vita vya wenyewe kwa wenyewe vinavyooelekea kwenye mauaji ya kimbali.daah haya mambo bana. yani general mzima yupo meza moja na mkuu wa wanamgambo?🤔sasa naelewa kwann mkunda katuma mwakilishi
Wanakaza vipi wakati wali surrender na muda wote wamezuilika kambini kama wafungwa?SADC hawajataka kukaza..
hapo ni lazma jeshi la Congo waache kukata viuno waingie front wenyewe kupambana na hao M23. Haiingii akilini nchi nyingine ikupambanie wewe kupigania nchi yako hlf wewe mwenyewe unakodoa mimacho tu km mpenzi mtazamaji.M23/RDF ndio watapambana na Belgium na kuwafurusha kama walivyowafanyia wale mamluki kutoka Ulaya mashariki.
SADC ya sasa haina makali.
hlf wabongo wenyewe wala hawana habari wanaongelea mechi namba 184 ya tarehe 8🤣Wanakaza vipi wakati wali surrender na muda wote wamezuilika kambini kama wafungwa?
Hakuna jeshi lililowahi kushinda vita vinavyopiganwa maelfu ya kilometa kutoka nchi yake, kwanza ni gharama kubwa na pili uwanja wa vita hautabiliki.Naskia Belgium imeleta na yenyewe kifurushi cha special forces na mzigo wa kuanzia huko eastern DRC hadi bwana yule kuanza kubwatuka hovyohovyo. Tupe maoni yako.
nahisi tokq mwanzo wao wenyewe hawakuelewana vizuri wanaenda kufanya nini kati ya kulinda amani ama kupambana kijeshi maana bdae ilisemwa hawakuwa na vifaa vya kutosha vya kuwawezesha kupambana kijeshi.Sijui ni nani aliyetoa hili wazo fyongo la kuunda jeshi la SADC kwenda kushiriki kitu kinachoonekana wazi kuwa ni vita vya wenyewe kwa wenyewe vinavyooelekea kwenye mauaji ya kimbali.
Mkuu hii aibu tumeitaka wenyewe na kwa vyovyote ilibidi wakubali kulimaliza hili janga maana wanajeshi wa SADC wamazuiliwa kambini.... Hali hii haikubaliki wala haipaswi kuendelea.daah hii fedheha kubwa sana kwa jw. uyo mwamba apo ni km kakubali kishingo upande ivi afanyaje sasa