SADC vs EAC

SADC vs EAC

SADC bado kuna zigo la lake Nyasa a.k.a Malawi tutakimbia hadi lini
 
sina figures kamili lakini biashara na sadc ni kubwa ukilinganisha na eac,hasa ukichukua mauzo ya madini kwa sa!!!!

Baada ya dhahabu ambayo haina faida yeyote kwa mwananchi tunauza bidhaa gani nyengine sadc?
 
[h=3]Tanzania exports more to SADC than to EAC[/h]


Gold, one of Tanzania's exports


The Southern African Development Community (SADC) continues to be the main trading partner of Tanzania among other African blocs for the two consecutive years, National Bureau of Statistics report shows.

Exports to the bloc increased from Sh1.91 trillion in 2011 to Sh2.33 trillion, which is a result of the increased trade volume. Total commodity export to SADC stood at 501,344 tonnes up from 458,796 tonnes in a preceding year.
The country also positioned its venture in Common Markets for East and Southern Africa (COMESA) where it emerged the secht sond best trade partner by earning Sh1.6 trillion last year from 1.1 trillion a year before.
East African Community was the third best Tanzania export destination; the volume of commodities exported increased from 816,451 tonnes to 1,078,760 tonnes last year. The increased volume of trade pushed the country's export earning to Sh956.7 billion from Sh641.6 billion in 2011.

The increase in trade volume has been commended by the ministry of Industry and Trade as the good move for the country Small and Medium Enterprises to access the SADC and EAC markets.
Industry and Trade ministry permanent secretary Joyce Mapunjo said SMEs and entrepreneurs in the country have increasingly accessing the markets. The revelation of SADC's rank in significance might come as a surprise to many given that one would expect the EAC to take top place. However, a closer look of the Country's exports should yield a satisfactory explanation.

Tanzania Exports More To SADC Than To EAC
 
SADC

1. Ilianzishwa kama Front Line States za ukombozi

2. Zinaheshimiana kihistoria

3. Zina mali asili nyingi sana kuliko EAC

4. Zina soko kubwa la uhakika

Zina matatizo ya uongozi kwa sasa

Wananchi hawajashirikishwa kikamilifu zaidi ya mipakani
duchi kuna huyu nae ametoa siri nenda kaseme.
Tehe tehe!
 
Last edited by a moderator:
Asante mkuu. Based on this umetoa uzuri na kasoro za SADC je kwa maoni yako ipi kati ya SADC na EAC ni bora zaidi kama ungeambiwa uchague moja?

Nachagua SADC kwa sababu hakuna viongozi wahalifu wengi kama EAC
Meseveni a self confessed dictator
Kagame a genocider
Uhuruto indictee wa ICC
At least SADC kuna viongozi kama Ian Khama wa Botswana; Michael "The Cobra Satta wa Zambia, Joyce Banda wa Malawi, Hifipekunye Pohamba wa Namibia na Armando Geubuza wa Mozambique ambao wanaonyesha umakini katika kusimamia maslahi ya nchi zao na kupambana na ufisadi na kuinua uchumi wa nchi na watu wao; sio wabadhirifu; of course pia SADC kuna wengine kama Bob Gabriel Mugabe wanaodhani nchi ni mali yake na ukoo wake!!
 
Kwa wale wajuzi wa mambo ningependa kufahamu kati ya shirikisho hizi mbili za kikanda, Southern African Development Community (SADC) na East African Community (EAC), ni ipi yenye manufaa zaidi kwa Tanzania?

SADC
1. ingeweza kuwa na manufaa zaidi ya kiuchumi iwapo uchumi wetu ungekuwa competitive. May be baadaye, kama Tanzania itatumia vizuri geographic advantage( bandari zake, miundo mbinu mf. Tazara) na utajiri wa maliasili kuvutia uwekezaji unaolihakikishia Taifa maslahi mazuri. Sina uhakika na maslahi ya Taifa katika uwekezaji wa wenzetu wa SADC katika sekta ya madini, mahoteli nk. Ningetarajia TZ pia kuimarisha uwekezaji wake katika nchi zingine za SADC.
2.Kisiasa SADC ni more stable na inashabihiana na TZ katika tunu hiyo. SADC inaweza kuwa na uhakika zaidi kisiasa. Isipokuwa Congo DRC kwa sasa na nchi za kusini wakati wa vita vya ukombozi, hatutarajii nchi za SADC kuibebesha TZ mzigo wa wakimbizi au uzagaaji wa silaha haramu kutokana na vita vya ndani. Lakini bado kuna mtihani Zimbabwe,na hata Angola.
3. SADC ina defence pact , maana yake ina meno. Pact hii ndiyo iliyomnusuru Joseph Kabila. Huwezi kujua TZ nayo inaweza kuitumia siku moja au nyingine. Kabla hujafa hujaumbika-msemo wa wahenga.

EAC
1.EAC kwa sehemu kubwa ni politically volatile. Kuna viashiria vingi vya vurugu za kisiasa kutokea kwa sababu ya kupigania madaraka. Demokrasia bado sana karibia katika nchi zote ikiwemo Rwanda, Uganda, Burundi au hata Zanzibar na Southern Sudan. Katika hali kama hiyo one has to be very careful. Hakuna uhakika, kwa mfano, iwapo wababe wa kivita wanaweza kuachia madaraka kwa kura au ni kusubiri mapenzi ya Mungu tu!

2. Kijiografia TZ ndiyo daraja kati ya EAC na SADC. Naamini disorietation iliyopo hivi sasa ni zao la wababe wa kivita ambao waliibuka miaka ya hivi karibuni. Kwa TZ huu ni wakati wa kujifunza na kujipanga upya lakini siyo kukatishwa tamaa. Ukiangalia ndani ya nchi za EAC, kuna vyama vya upinzani ambavyo vina mawazo tofauti kabisa na msimamo wa wababe hao. Hivyo ni upungufu mkubwa kuuchukulia msimamo wa wababe hao kuwa ndiyo msimamo wa nchi hizo. Fikiria baadhi wanatarajiwa kwenda ICC, je ni wao watakaohukumiwa au ni nchi zao ? Kwa hivyo huenda upepo huu utapita na wababe hao.
3. Ni muhimu TZ kubuni mkakati wa kimahusiano ambao unalenga nchi moja moja na siyo EAC kwa pamoja ili kulinda maslahi yake. Kwa mfano misingi ya maslahi ya Tanzania katika kila nchi ya EAC huenda ni tofauti. Hakuna sheria ya kimataifa ambayo inazuia nchi mbili kuhusiana. Nitoe mfano Sudan Kusini kila mwaka wanahitaji mahindi, nadhani waliwahi kupiga hodi hapa Dar kuulizia mahindi. Burundi wana mahitaji mengi Tanzania. Waganda wengi wanaiheshimu TZ, na wengi sana wamemchoka M7. Jamaani Wanyarwanda -majority ni anti PK.

4. Naamini kwamba SADC na EA ni muhimu kwa TZ kiuchumi, kisiasa, kiusalama, na kijamii. Ukitaka kujadili umuhimu wa moja wapo katika msingi mmoja tu, huenda ukafikia tamati isiyo pana, ambayo haitalisaidia Taifa vya kutosha kuibua mkakati mpya kulingana na hali iliyopo.
 
sadc.png

Halafu kumbe hiyo EAC vijinchi vyenyewe ni vitatu tu. lol!
 
Nawasikitikia watu wapendao kudharau wenzao, wakidhani bila wao wengine hawanywi maji au hawaishi? kama wanapenda tu bowdown at sababu ni eac basi watuache na sisi tunashukuru sadc wana moyo wa upendo na umoja kama wa tz kwahiyo basi kama noma na iwe noma!
 
Kama mnakumbuka EAC ya mwanzo iliundwa 1967 na kuvunjika 1977 sababu ziliwamo kutofautiana kwa Itikadi za Kisiasa kati ya Viongozi (mfano Nyerere vs Kenyatta), kwa sasa pia ninavyoona soon hii EAC itavunjika maana aina ya wanachama tunaowaingiza humu EAC mfano Rwanda ni wapiganaji wa Msituni wasiojua Diplomasia wala Demokrasia. Zaidi Kenya hawana good faith ktk hili mfano AJIRA & FURSA ZA BIASHARA ni ngumu sana MTANZANIA kupata kazi KENYA maana watakuwekea kauzibe na mlolongo usio na tija kwa wewe kupata ajira Kenya ktk kuishi kwangu Kenya yapata miaka 6 sasa nimefanikiwa kuwaona Maprofesa wa 3 tu wa Kitanzania wakifundisha vyuo vya Kenya ( Egerton akifundisha KISWAHILI na mwingine Kenyatta Univ.) lakini wao wamejazana si St. Augustine, UDOM, Mwenge Univ. College, Mt. Meru Univ. Ilimgharimu Reginald Mengi miaka kadhaa kupata approval ya kurusha matangazo ya EATV/EA Radio huko Kenya, pia BAKHRESSA amepata upinzani mkali sana kufungua biashara zake huko KENYA. NINI TUFANYE WATANZANIA? kwanza tujiondoe unyonge kuwa elimu yetu ni duni na kutoongea kiingereza kwa mtiririko kunafanya wakenya watupite 2. TUBADILISHE MFUMO WA ELIMU wa kuandaliwa kuajiriwa na tuandae wahitimu kujiajiri na kuzalisha ajira. Tufundishe watu wetu lugha za kimataifa (Kiingereza, Kifaransa na sasa Kichina) Kiswahili hakitupeleki popote. MWISHO SADC na EAC ni nzuri tukizitumia vizuri kwa kuwa na watu walioelimika na walio na uwezo wa kuzalisha mali na kuuza si EAC tu bali na SADC.
 
je nao wakiomba kujiunga na SADC kama Rwanda na Burundi wlivyofanya kwa EAC
 
SADC

1. Ilianzishwa kama Front Line States za ukombozi

2. Zinaheshimiana kihistoria

3. Zina mali asili nyingi sana kuliko EAC

4. Zina soko kubwa la uhakika

Zina matatizo ya uongozi kwa sasa

Wananchi hawajashirikishwa kikamilifu zaidi ya mipakani

Kwa hiyo Mfano, Rasilimali za Zambia sisi tunanufaika nazo vipi? au Kenya kukosa Rasilimali hizo sisi tunapungukiwa na nini?
 
Kwa wale wajuzi wa mambo ningependa kufahamu kati ya shirikisho hizi mbili za kikanda, Southern African Development Community (SADC) na East African Community (EAC), ni ipi yenye manufaa zaidi kwa Tanzania?

Kitendo cha sisi kuwa member wa EAC na SADC at the same time, ni fact kwamba hizi issue za Ukanda Ukanda ni illusion isiyo na msingi wowote ule, hauna tija wala maana yoyote yule kwa raia wa eneo lolote lile.
 
Kwa wale wajuzi wa mambo ningependa kufahamu kati ya shirikisho hizi mbili za kikanda, Southern African Development Community (SADC) na East African Community (EAC), ni ipi yenye manufaa zaidi kwa Tanzania?

Kitendo cha sisi kuwa member wa EAC na SADC at the same time, ni fact kwamba hizi issue za Ukanda Ukanda ni illusion isiyo na msingi wowote ule, hauna tija wala maana yoyote ile kwa raia wa eneo lolote lile.
 
Tanzania exports more to SADC than to EAC




Gold, one of Tanzania's exports


The Southern African Development Community (SADC) continues to be the main trading partner of Tanzania among other African blocs for the two consecutive years, National Bureau of Statistics report shows.

Exports to the bloc increased from Sh1.91 trillion in 2011 to Sh2.33 trillion, which is a result of the increased trade volume. Total commodity export to SADC stood at 501,344 tonnes up from 458,796 tonnes in a preceding year.
The country also positioned its venture in Common Markets for East and Southern Africa (COMESA) where it emerged the secht sond best trade partner by earning Sh1.6 trillion last year from 1.1 trillion a year before.
East African Community was the third best Tanzania export destination; the volume of commodities exported increased from 816,451 tonnes to 1,078,760 tonnes last year. The increased volume of trade pushed the country's export earning to Sh956.7 billion from Sh641.6 billion in 2011.

The increase in trade volume has been commended by the ministry of Industry and Trade as the good move for the country Small and Medium Enterprises to access the SADC and EAC markets.
Industry and Trade ministry permanent secretary Joyce Mapunjo said SMEs and entrepreneurs in the country have increasingly accessing the markets. The revelation of SADC's rank in significance might come as a surprise to many given that one would expect the EAC to take top place. However, a closer look of the Country's exports should yield a satisfactory explanation.

Tanzania Exports More To SADC Than To EAC

Wewe Binafsi au Kaka yako ameuza nini huko SADC?
 
Wewe Binafsi au Kaka yako ameuza nini huko SADC?

Swali zuri. Kwa mwananchi wa kawaida EAC is very relevant. Mfano wakulima watapata fursa kuuza mazao soko la EAC bila vikwazo. SADC is for big boys the multinationals.
 
Navutiwa zaid na sadc, ina maono ya nguvu na hutekelezwa kwa mpangilio. Kila nchi kuheshimiana ndiyo nguzo.
 
Back
Top Bottom