Sadaka ya ajabu kuliko zote

Sadaka ya ajabu kuliko zote

Jumla ya kipato chako. Bila kutoa matumizi.

Kama mfanyabiashara anayopigwa 18 percent ya VAT, hii haihusishi matumizi.
Ina maana hapa kwenye biashara VAT 18% unajumlisha na fungu la kumi 10%...... so kwa mfanyabiashara anatengana na 28% ya mapato yake kabla ya kuanza hesabu nyingine?
 
Kutoa fungi la kumi ni sawa,, lakini tatizo ni huko zinakoenda,, ya ani mi nitoe fungu la kumi halafu"nabii" apeleke guest,, never ever
 
Ni kweli KABISA ila siyo kila penye msaraba unapeleka sadaka hutafanikiwa kwa kiwango kilicho kusudiwa na MUNGU BABA,soma kumbukumbu 12:5 na kumbukumbu 18:18-26
 
Umeeleza vyema mkuu, hiyo one tenth ni muhimu sana kuitoa kama unataka mafanikio..
But you you have to pay yourself, siyo kumpa mchungaji au sheih.. Put aside not less than one tenth of all you earn, make it multiply, and you will find the road to wealth. ( Goerge S. Clason.... THE RICHEST MAN IN BABYLON)
 
Fungu la kumi ni mojawapo kati ya sheria nyingi za agano la kale.
Fungu la kumi halioneshi kiasi pekee cha upendo wa mtu kwa Mungu.
Mungu hupenda tutoe kwa Upendo regardless to %.
Ukitoa ni sawa hata usipotoa ni sawa ila fanya kwa Upendo maana Yesu anasema wazi, heri wenye moyo safi maana hao watamuona Mungu.
Neema hainunuliwi jamani Mungu hutupa kila kitu bure wala hatujawahi kununua chochote.
 
Niliwahi kuacha kutoa hii tenth kwa muda kama miezi miwili hivi, nakumbuka ilikua mwaka juzi, mwezi wa 10 na 11 ilipofika december nilipatwa na mabalaa ya kutosha, ka gari kangu kalipata ajali mara tano ndani ya wiki mbili, ajali ndogo ndogo zenye hasara kubwa, kati ya hizo nne zilikuwa ni za kugongwa na bodaboda, na kisha wanakimbia, gharama ya kurepea gari ilifika milioni na zaidi.
 
Niliwahi kuacha kutoa hii tenth kwa muda kama miezi miwili hivi, nakumbuka ilikua mwaka juzi, mwezi wa 10 na 11 ilipofika december nilipatwa na mabalaa ya kutosha, ka gari kangu kalipata ajali mara tano ndani ya wiki mbili, ajali ndogo ndogo zenye hasara kubwa, kati ya hizo nne zilikuwa ni za kugongwa na bodaboda, na kisha wanakimbia, gharama ya kurepea gari ilifika milioni na zaidi.
Ni kama unanunua ulinzi wako
Yaani unalipwa kwa KK security au makampuni mengine ya ulinzi.
Unataka utuaminishe kuwa nipe nikupe and virse versa
 
Leo nimejifunza kitu kikubwa sana toka nilipojiunga JF.
Shukrani sana Mkuu,umetukumbusha kitu ambacho mara nyingi tunasahau au kutokifahamu kabisa maana yake.
 
Mbona unahangaika na mambo yasiyokuhusu? Wewe hazina yako tayari iko Mbinguni. kuna hakuna kutu wala wezi.

Ni kweli KABISA ila siyo kila penye msaraba unapeleka sadaka hutafanikiwa kwa kiwango kilicho kusudiwa na MUNGU BABA,soma kumbukumbu 12:5 na kumbukumbu 18:18-26

hizi ni imani tu.....

wengi tu hawaendi kanisani/msikitini na wala hawatoi sadaka na bado hawana mabalaa zaidi ya shida za kila siku....
 
Mwisho wa siku utatuelekeza tutoe hili fungu la kumi kwa nabii yupj, teh teh teh
Hii thread imenipitaje!!! binafsi Nina shuhuda katika hili kwani nilipotoa tu mwezi ulifuata nikapa zawadi ya utendaji bora kazin,nilijiuliza sana.
 
Hii Acha Baba Mwenyezi Mungu muumba mbingu na nchi acha ajichukulie kinachomfaa. Kwani kutoa mwenyewe mi ngumu sana. Mizinga Kila kona, Na tumesikia watumishi wengine kuwaona mpka pesa.

mimi naamini kunawatu wengi nawasaidia ndugu na wasio ndugu hiyo ni sehemu ya sadaka yangu.
 
Hii thread imenipitaje!!! binafsi Nina shuhuda katika hili kwani nilipotoa tu mwezi ulifuata nikapa zawadi ya utendaji bora kazin,nilijiuliza sana.

Inawezekana, ila dunia hii ya sasa hivi, manabii feki ni wengi sana kuliko wa ukweli, halafu mkuu ukitoa hili fungu la 10,we toa tu usisikilizie saaana upate, inawezekana pia ilikuwa ndio bahati yako na huenda hata usingetoa hilo fungu ungepata hiyo zawadi
 
Back
Top Bottom