Baba Zahra
Member
- Apr 6, 2012
- 15
- 2
Dunia ni hadaa walimwengu ni shujaa, pole sana Rah P mi c mshabiki wako na sikupendi hata kidogo. Ila nahisi umeshajifunza kutokana na makosa yako.
Ila mwisho mwampamba alikula vinono sana!! Jamaa ana nyota ya kushobokewa na mademu, lol!
no no noooo weeee ule mdoli?You just write like Le Mutuz, Le Baharia, Am i correcting?
She needs to come back home and do her life,she has got talent and education,she is iconic here so Makampuni yatamshoboka tu hata kupata kazi ya 1 to 2m per month hatakosa. me ningeweza wasiliana nae ningempatia plan poa ya kuanzia hapa bongo, any one with her contact please????
very touching! JF members I'm sure we can support her! lets show some love to our sister! yeye si wa kwanza na hata kuwa wamwisho.... michango midogo midogo tunaiweza tukiwa wengi inakuwa na nguvu mwanye kusupoti na ajiunge nami modez tunaomba mwongozo...
Hii inanikumbusha kipindi kile cha Summer Camp niliAply na nikafanikiwa lakini machale yakanicheza sikwenda! sasa hivi kuna jamaa zangu waliozamia huko USA enzi zile za Summer Camp mpaka sasa hivi hawajarudi kwaaibu na huwa naongeaga nao kwa njia ya SKYPE nikiwaambia nina gari na kiwanja na nimejenga eti wananiuliza nimepataje hela! Pole sana Raha P hili nifundisho maisha ni hapahapa Bongo akili kwa Mukichwa!
Fahamu aliko na akifanyacho Rah P
Did you know that she was jailed?
sorry but keep it goin. ur about there so don give up sis.
na ray c inasadikika alikua wake pia
You just write like Le Mutuz, Le Baharia, Am i correcting?
u dunno me arifu.....huwezi kunifananisha na ile mbwiga .......I think is the same specie