Licha ya uwezo wa kifedha aliokua nao,baada ya kuugua ghafla alirushwa kwa ndege ya kukodi toka Bkb kwenda Bugando,walishindwa kumtibu kutokana na ukosefu wa vifaa! Alikimbizwa Dsm,ambako alifariki muda mfupi akihudumiwa na daktari bingwa! Kwa hiyo madaktari wanapozungumzia mazingira bora ya kazi,vifaa na maslahi yao ni issue nyeti sana! Kama wewe ni mbunge,mtendaji wa ngazi ya juu serikali ama ni kada wa ngazi ya juu CCM pigania hospitali zetu zipate vifaa na maslahi ya watumishi wake kwasababu hujui siku yako ambayo itashindikana kukimbizwa Ulaya ama India!!