IHOLOMELA
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,807
- 1,672
Nimepita katika Petrol Station ya Kyaka kuweka mafuta ktk pikipiki yangu nikielekea Bukoba. Nimekuta petrol station imefungwa na kuambiwa mmiliki wake Mkuu wa zamani wa chuo cha Polisi Senior Assistant Commisioner of Police (SACP) J.J. Mwesiga amefariki. RIP KAMANDA