Sackur: Good to see my interview with Tundu Lissu has stirred passionate debate!

Point yako ni nini sasa? Kwamba lisu anatumika tu kama kisemeo siyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ni mazoea kwa hawa wanasiasa wanaoshinda kuchangia kwenye mitandao ya kijamii au kwenye audiences ambazo watasifiwa tu; matokeo yake wengi ni wavivu wa kujenga hoja (that is kuweza kuja na evidence) or at least being able to produce convincing deductive arguments to back their claims.

BBC kama taasisi moja ya nguzo yake ni kuwa impartiality (na wanakaguliwa by regulators), isitoshe wananchi pia wanaweza peleka malalamiko yao kuhusu kipindi kama kilikua cha upande mmoja; na audience ya 'Hard Talk' ni ya wasomi wanajua mbivu ni mbichi maswali ya Sacur yalilenga kupata details zaidi ya hoja kutoka kwa Lissu kujenga dhana anayotaka iwasilisha.

Tatizo Lissu mwenyewe ni mwanasiasa wa Tanzania kwa uelewa wa audience zetu many get away easily kwa hoja nyepesi sana wakati ukitoka nje ya bara ni hoja weak sana kwa standards zao. If anything ata kwenda kumtwanga risasi kwa sababu ya makelele yake ya MIGA sijui nini wakati kiualisia hakuna mtu kwenye dispute ataanzia huko wakati anataka kulinda siri ya mkataba wake wa kinyonyaji ni yale yale ya Lissu kwa upande wa usalama uelewa mdogo wa mambo hakukuwa na sababu.
 
Hahahahaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna freedom of expression mbona Snowden na Assange ni wakimbizi? Kama kuna freedom of expression mbona trump anawaita feki news kila siku?
Weee maandazi " snowden ni jasusi aliyekula kiapo cha kutunza siri za usalama wa taifa lake ... so inapo tokea akazitoa siri hizo ni lazima awajibishwe .... ila sio mwanasiasa " mwana siasa " haswaa mpinzani yupo kwaajili ya kuikosoa serikali dhidi ya utendaji wake mbaya " ili iweze kurudi kwenye mstari mnyoofu " na wananchi waweze kupatiwa haki zao ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeipenda retweet ya huyo bwana Ngomakisi The 3rd hapo juu. Wapinzani wameumuliwa hakika. Teh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…