Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,702
- 26,224
Ha ha ha, kwa nini asiende mbinguni kabisa? Hana jipya.Next ni CNN lazima mpotezane pumbavu
Ha ha ha, kwa nini asiende mbinguni kabisa? Hana jipya.Next ni CNN lazima mpotezane pumbavu
Chadrama mcharuko mizee ya matukio, MEMBE VEEEEPE?mimi bado nasimama na Lisu,2020 twende na Lisu
Fanya kazi kijana usaidie Familia yako kijijini kwenu huko,tunakuona unavyojihangaisha humu ili uonekane mjanja wa kuposti ujingaWewe mbona unapoteza muda wako hapa?
Squatter huyo tundulissu msaliti, amejiabisha kweli kweli walahiHa ha ha, kwa nini asiende mbinguni kabisa? Hana jipya.
Wewe vipi?Fanya kazi kijana usaidie Familia yako kijijini kwenu huko,tunakuona unavyojihangaisha humu ili uonekane mjanja wa kuposti ujinga
Kiingereza haukijui huo uongo umeusikia kupitia kwa nani?Lissu hamna alichojibu zaidi ya uongo tu. Sidhani kama akiambiwa arudi tena huko atarudi. Mfano swala la takimu anasema eti bila ya kuisifia serikali hutakiwi kutoa takwimu. Sasa huu si uongo wa hali ya juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa.
Halafu hana ushahidi.Lissu kachemka sana, ati Raia watoa taarifa za wahalifu, wenyeviti wa vijiji, watendaji wa vijiji na mabalozi wa nyumba kumi, maeneo ya Rufiji na Kibiti, walikuwa wanauliwa na serikali na kutupwa baharini😵😵
Kwani uongo?Lissu kachemka sana, ati Raia watoa taarifa za wahalifu, wenyeviti wa vijiji, watendaji wa vijiji na mabalozi wa nyumba kumi, maeneo ya Rufiji na Kibiti, walikuwa wanauliwa na serikali na kutupwa baharini
Ni kweli, serikali ilikuwa inaua iajiri wengine😀😀
Wee lijinga nikueleze kidogo tu.Halafu hana ushahidi.
ndugu hakuna kazi ngumu kama kumuelewesha mtanzania huoni polepole kashasema stephen sackur ni kama (mwanachama wa CCM)Tunapaswa kujua, ile ni debate-like conversation, hakukuwa kuna upande wa serikali pale. Kwa hivyo basi muhusika mmoja anapaswa kuwa neutral (mtangazaji/muongozaji)au anapaswa kuonesha yupo dhidi ya muhusika anayehojiwa.
Watu wengi wanashindwa kulijua hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri hayo mahojiano hayakuonyeshwa ufipa peke yake.Wee lijinga nikueleze kidogo tu.
Lissu ni victim wa risasi 38. Serikali haijamkamata mtu wala silaha iliyotumika licha ya kushindwa kuelezea tukio hilo. Kwa wenye akili tukio la Lissu ni ushahidi tosha wa serikali ya mauaji, isiyoheshimu haki za kibinadamu. Labda kama wewe na wenzio ni malaya msiojali gharama za uzembe wa kujiuza.
kiparamagamba anakusikia tuWatampeleka yule jamaa wa chuo kikuu anayeongea pumba huku katoa macho kodo, nilicheka nilipoisikia historia ya Marais wa Marekani kutoka kwake,
yuko (mzee wa phd)
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mimi mwenyewe niliona huyu jamaa ni mwehu.Lissu hamna alichojibu zaidi ya uongo tu. Sidhani kama akiambiwa arudi tena huko atarudi. Mfano swala la takimu anasema eti bila ya kuisifia serikali hutakiwi kutoa takwimu. Sasa huu si uongo wa hali ya juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lisu hakupigwa risasi?Uzuri hayo mahojiano hayakuonyeshwa ufipa peke yake.
Swali alipigwa na nani?Lisu hakupigwa risasi?