Sackur: Good to see my interview with Tundu Lissu has stirred passionate debate!

Sio leo ni kesho.
Wengi mnafuata mkumbo tu, hata hamuelewi kilichozungumzwa. Na kichaka mnachotumia ni kusema 'tuienzi lugha yetu ya Kiswahili'. Haya sasa, yako wapi? Hujui hata interview ilifanyika lini, kujua kilichoongelewa hadi utafute mtu aliyetafsiri kwa kiswahili, halafu unakuja humu kutoa comments as if umeifuatilia original interview
 
SAFI SANA TUNDU THE GREAT! Kwa alichoandika MTU maarufu Stephen sasa kila media kubwa itatamani kufanya mahojiano na Lissu maana hata lugha anaeleweka sio mambo ya "intaperenyuwa'.
Na kuonyesha hamkufuatilia mauzui ya mahojiano nyie mliangalia muonekano wa nywele tuu.
Ingekuwa dunia akili ni hizo za Lumumba basi Trump na wa Korea isingekuwa kujadili nyuklia bali kiduku cha jamaa!
Akili za Intaperenyuwa utazijua tuu. Mjadala kujadiliwa ujue uko hai sio mjadala mfu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa alivyo mweupe upstairs hata Uhuru FM watamtaka wamhoji.
Kajiaibisha sana walahi. Mambo ya TZ hajua hata moja hata huyo mwandishi alitaka kumfundisha badaala ya kumhoji.
 
Wengi mnafuata mkumbo tu, hata hamuelewi kilichozungumzwa. Na kichaka mnachotumia ni kusema 'tuienzi lugha yetu ya Kiswahili'. Haya sasa, yako wapi? Hujui hata interview ilifanyika lini, kujua kilichoongelewa hadi utafute mtu aliyetafsiri kwa kiswahili, halafu unakuja humu kutoa comments as if umeifuatilia original interview
Usisumbuke na maandishi mkuu.. Unao bishana nao tangu jana wako humu wanajadili hilohilo.
 
Wengi mnafuata mkumbo tu, hata hamuelewi kilichozungumzwa. Na kichaka mnachotumia ni kusema 'tuienzi lugha yetu ya Kiswahili'. Haya sasa, yako wapi? Hujui hata interview ilifanyika lini, kujua kilichoongelewa hadi utafute mtu aliyetafsiri kwa kiswahili, halafu unakuja humu kutoa comments as if umeifuatilia original interview
Kamanda wako kaumbuka.
 
Itachukua muda mrefu sana kwa watz kuelewa propaganda na namna zinavyofanywa. Mnadhani ni bahati mbaya Lissu kwenda kuhojiwa hapo BBC, tena HardTalk? Clue: Mataifa ya magharibi yanajua kwa undani kinachoendelea Tanzania. Hawamuhitaji Lissu kujua yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika (hili hata Lissu kaligusia kwenye interview). Kwa kifupi wenzetu wapo mbele sana kwenye kukusanya intelligence.... zaidi kwa faida yao.

Kama mnatizama hiyo interview kama ni ya Lissu tu, mnapotea sana. Jiulizeni "agenda" iliyopo nyuma ya mahojiano hayo na hasa maswali yaliyoulizwa.
Leo hii haya matakataka ya Lumumba yamesahau waandishi wa habari wawili waliyofanyiwa na usalama? Lissu anachofanya ni kuhitimisha tu . Jiwe ajiandae kisakolojia.
 
Binafsi naicheki hii interview ss iv hapa all in all nafikiri kupitia hii interview waandishi wetu wa habatengeari wajifunze jambo hapa tazama huyo babu steve ana details zinazo muhusu TL yaani anajua ABCs then anatengeneza swali ili akamilishe A to Z binafsi hapa nazani waandishi wetu wa habari wajifunze maana inasikitisha ukitazama vyombo vyetu vya habari mwandishi anauliza maswali ya ki SHILAWADU SHILAWADU hasa hawa blogers
 
Anatafuta huruma ya wazungu. Nothing will happen, akumbushwe tu nchi hii ni nchi huru inafanya mambo kwa utaratibu wake. Kwani kibiti polisi wangapi walikufa? Stakishari polis wangapi walikufa? Hao sio watanzania? Mbona hajasema?

Nasikia point ni kunyimwa mikopo na misaada na wazungu, fine hatukuzaliwa kupewa mikopo na misaada. Ni umbumbu tu wa wanasiasa wetu, nchi hii ni tajir na tunaweza. Kwan libya nani aliwapa misaada??
Upinzani usioweza kupambana hapa ndani ya nchi haufai, umechoka na hauna jipya

Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka yoote hiyo hamkujua hii nchi ni tajiri na hiyo misaada nani anawalazimisha kuomba si muache.

Hii nchi haiwezi kujitegemea itandelea kuombaomba tu. Hatuna uongozi wa kutufanya tujitegemee. Nyie endeleeni tu kupiga kelele lkn na bakuli mkononi.
 
Hayo tunabishana sisi, vipi nje wanachukulia vipi suala hilo na Tanzania kama "kisiwa" cha amani?
Wamethibitisha walichokuwa wana hofu nacho kuhusu haki za binadamu. Sasa wanajua kwa uthibitisho wa kumuona mtu aliyenusurlika na risasi 38.
 
Leo Lisu kajitia kitanzi, na hata huo urais anaoulilia atausikia redioni tu.
Kwani nafasi za urais unazitoa wewe? Ccm, urais safari hii mtautazama luningani! Yaani mmepigwa pande mbili London na dodoma! Mbona msilie kwa ulimbukeni na uzuzu mlio nao? Bado cnn na eu!
 
Stephen Sacur siyo mjinga,Kwa teknolojia waliyonayo ulaya,wanajua kilakitu,kumbuka walituma NGO kufatilia kupotea kwa Azory Gwanda na BBC nao walifuatilia wakazuiwa na Jiwe, We kwa akili yako unafiri hawajui ya lissu. Wanajua ila mpango mkakati wa mabeberu ndio umemwelekeza Sackur kufanya hivyo ili wasionekane kuugemea upande wa lissu.Subiri interview zinazofuata wabadilishe stairi mtakimbiana,kule kumbana bana lissu alikuwa anajua lissu anataka kuongea nini.So huwa mnasema lissu wanatumiwa na mabeberu VP mbona wamembana asimwage mtama ambao ulishanwagika Siku nyingi.
 
Back
Top Bottom