Hatari sana kujiweka Rehani.
Awamu ya Sita tunawategemea wazungu kwa kiasi kikubwa.
Hata hiyo simu unayotumia ni ya wazungu
Hatari sana kujiweka Rehani.
Awamu ya Sita tunawategemea wazungu kwa kiasi kikubwa.
Uchambuzi mzuri unaoonyesha dalili zote za mtu aliyesoma halafu akaelimika. Nakuombea Mama akukumbuke siku moja hata kwenye post ya ubalozi mdogo ili ukasaidiane na Balozi wetu huko New York City
Tumefeli kwa kiwango cha juu kuwasikiliza wale wahuni...SA sidhani kama wanakitu chochote cha kuifundisha Tanzania..
Ubarikiwe sana. Wasalimie wajukuu zangu waambie babu mdogo anawasalimia sanaNashukuru kwa sifa ulizonilundikia lakini mimi sasa nacheza na wajukuu tu na ndio maana nakumbuka historia ya nchini yetu!!!
Mkuu Tony Blair ndio alihusika na kuiuzia Tanzania radar kwa ufisadi, Hadi ikapelekea wabunge wa uingereza kuingilia Kati.Eti kwny Pandora yumo kaficha pesa zake za kula rushwa?Mlipoambiwa elimu elimu elimu mlibisha.Jifunze tofauti Kwanza Kati ya Tax Avoidance vs Tax Evasion.
Ingekuwa hivyo humu kusingekuwa na watu kabisa. Jf imebaki salama siku zote, ndio maana hata wakati wa Jiwe tulimtukana vizuri tu humu.
Mama hajamfungulia yoyote, ukitaka kujua hilo tumia jina halisi Facebook au Instagram uone Kama atakuacha.
Juzijuzi tu katoka kukamatwa mchora katuni, yule daktari n.k
Anachokijua mama ni kurembua macho tu kama kala kungu.Shirika la habari la South Africa walikuwa na mjadala kuhusu Mama Samia kumteua Tony Blair kuwa mshauri wake.
Hoja ya wachambuzi haikuwa kwa nini Tony Blair Bali ilikuwa credibility ya Tony Blair.
Wanasema Tony Blair hana credibility, hivyo kumteua kuwa mshauri ni kosa na wanashangaa imekuwaje Tanzania nchi iliyopigania ukombozi kufanya kitu kama hicho.
Mimi binafsi kwenye hili sijui hata nisimamie wapi maana sijui pa kuanzia, ngoja tuendelee kusubiri wajuvi wakilichambua kwa hoja.
View attachment 1987100
Unaongea vitu ambavyo huvijuiKuna tatizo kubwa kama Mkuu wa nchi atakuwa na washauri peke yao walioelimishwa kwa fedha za multilateral institutions au taasisi za magharibi!!! Mlengo wao mara nyingi sio kuwa independent thinkers bali to always lean towards western interests na sio interests za nchi zao!!! Ni vema kama kiongozi akiwa na jopo [ diversity] la washauri hasa kwenye mambo ya uchumi kuliko kumtegemea kiumbe mmoja!!
Kuhusu uteuzi wa Tony Blair, mimi binafsi sina tatizo kutegemeana na nchi inataka nini kutokana na uteuzi huo. Katika miaka hii ya utawala wa Magufuli nchi yetu haikuwa na uhusiano mzuri na mataifa mengi hasa ya Ulaya na Marekani; hivyo ikaonekana kutokana na historia ya huko nyuma enzi za Mkapa, mtu pekee ambae anaifahamu vizuri nchi yetu na angeweza kutusaidia kurudisha uhusianao mzuri na nchi za nje ili kupata misaada hasa wa kupambana na covid 19 ni taasisi ya Tony Blair.
Tukumbuke kuwa huko nyuma akiwa Waziri Mkuu enzi ya Mkapa nchi yetu ilikuwa na ludo la madeni ya nje na ni huyu huyu Tony Blair aliyetusaidia kuwashawishi wadeni wetu kupunguza na hata kuyafuta madeni na nchi ikapata afueni. Ni kufuatana na historia hiyo na matatizo tuliyonayo na covid 19 ndio maana ikaonekana kuwaomba taasisi ya Tony Blair kutusaidia ni jambo la busara. Tukumbuke pia kuwa hizi chanjo za covid19 zinapatikana hasa kwenye nchi zilizoendelea na hasa marekani hivyo tunahitaji mtu anayekubalika na BIDEN iili kupata hizo chanjo!!!!
Tanzania sio nchi pekee ya Africa inayomtumia Tony Blair kwa ushauri. Majirani zenu wa Rwanda wamekuwa wanamtumia kwa muda mrefu sasa na wana matokeo mazuri
Kosa wanalolifanya ni kumrithisha rafiki au adui rais wetu. Kama wao walikosana na Blair kipindi hicho Mama Samia halazimiki kufuata nyayo zao.Shirika la habari la South Africa walikuwa na mjadala kuhusu Mama Samia kumteua Tony Blair kuwa mshauri wake.
Hoja ya wachambuzi haikuwa kwa nini Tony Blair Bali ilikuwa credibility ya Tony Blair.
Wanasema Tony Blair hana credibility, hivyo kumteua kuwa mshauri ni kosa na wanashangaa imekuwaje Tanzania nchi iliyopigania ukombozi kufanya kitu kama hicho.
Mimi binafsi kwenye hili sijui hata nisimamie wapi maana sijui pa kuanzia, ngoja tuendelee kusubiri wajuvi wakilichambua kwa hoja.
View attachment 1987100
Hujui alichofanya behind the scene, ndio maana wabunge wa uingereza wakaingilia Kati hili suala na kumshutumu Blair
Unahisi kwa nini bunge la uingereza liliingilia Kati ikiwa hatukulazimishwa kununua?
Alikuwa mhuni miaka ya nyuma. Usikariri tukio moja la zamani ukalihusisha na jingine la miaka ya sasa. Kila mtu anao ujanja wa kuongea na mtu mwingine, anao ushawishi wake usiofanana na wa mwingine.Unaongea vitu ambavyo huvijui
Blair ni mhuni, alihusika na kutuingiza mkenge kwenye ununuzi wa radar Hali iliyopelekea bunge la uingereza kuingilia Kati hilo suala.
Najua huwezi kukumbuka maana pengine ulikuwa upo nursery
Kwa mtanzania hajawahi kutokea rais msafi mpaka awe ameshaondoka ikulu. Anachojua ni malalamiko na kilio kisichokuwa na msingi.Ngoja wale wanaomuunba mkono waje! Yaani nchi hii haijawahi kuwa kwenye kipindi cha hovyo kama hiki! Tony Blair anawexaje kuwa mshauri wakati si mtu msafi huko kwao?
Covid-19. and trades adviser,whats wrong with that?....!,zama za mismamo ya kina MUGABE zimeshapita,Tuko kwenye Dunia ingine kabisa,yenye kuitaji akili kubwa zaidi,shutup to SABC.Shirika la habari la South Africa walikuwa na mjadala kuhusu Mama Samia kumteua Tony Blair kuwa mshauri wake.
Hoja ya wachambuzi haikuwa kwa nini Tony Blair Bali ilikuwa credibility ya Tony Blair.
Wanasema Tony Blair hana credibility, hivyo kumteua kuwa mshauri ni kosa na wanashangaa imekuwaje Tanzania nchi iliyopigania ukombozi kufanya kitu kama hicho.
Mimi binafsi kwenye hili sijui hata nisimamie wapi maana sijui pa kuanzia, ngoja tuendelee kusubiri wajuvi wakilichambua kwa hoja.
View attachment 1987100
Page ipi chief can u refferHii mada niliiona FB inajadiliwa na manguli wa siasa yaani ni aibu wanatukana kiouma.
Unaongea vitu ambavyo huvijui
Blair ni mhuni, alihusika na kutuingiza mkenge kwenye ununuzi wa radar Hali iliyopelekea bunge la uingereza kuingilia Kati hilo suala.
Najua huwezi kukumbuka maana pengine ulikuwa upo nursery