Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,914
- 4,783
Habari za Mchana.
Mimi pia naona makosa mengi ya Sabaya ni ya #kisiasa japo mashitaka ni ya #kisheria.
Makosa haya ya kisiasa yanasameheka. Sabaya hatakuwa wa kwanza kusamehewa na mama kwa kumshauri DPP kumfutia makosa yote yanayomkabili na kushawishi ashinde rufaa kwa kesi ambayo tayari amehukumiwa na amekata rufaa.
Naamini akisamehewa atakuwa na adamu, heshima, utii, uadilifu na kufuata sheria
Haya mambo yanawezekana.
Makosa haya yanasameheka.
Kama kutakuwa na mtu mwenye malalamiko basi akafungue kesi kama yeye na sio kusaidiwa na Jamhuri kwa kesi ambayo kwa Jamhuri inaonekana kabisa makosa ni ya kisiasa zaidi.
Mimi pia naona makosa mengi ya Sabaya ni ya #kisiasa japo mashitaka ni ya #kisheria.
Makosa haya ya kisiasa yanasameheka. Sabaya hatakuwa wa kwanza kusamehewa na mama kwa kumshauri DPP kumfutia makosa yote yanayomkabili na kushawishi ashinde rufaa kwa kesi ambayo tayari amehukumiwa na amekata rufaa.
Naamini akisamehewa atakuwa na adamu, heshima, utii, uadilifu na kufuata sheria
Haya mambo yanawezekana.
Makosa haya yanasameheka.
Kama kutakuwa na mtu mwenye malalamiko basi akafungue kesi kama yeye na sio kusaidiwa na Jamhuri kwa kesi ambayo kwa Jamhuri inaonekana kabisa makosa ni ya kisiasa zaidi.