Mbona una akili za kipuuzi hivi kama dogo wa chekechea?!😬Nina watoto watano na wote wamesoma English Medium. Na waliokwishafika sekondari wapo Private. Mimi sio Mtanzania wa kulialia. Soma jumbe zangu humu utathibitisha hilo. Kwa taarifa yako, nilianza kuingia Mbowe Club (kabla haijaitwa Bilicanas) wakati huo Freeman Mbowe simjui bali namjua babaake akiitwa George Mbowe.
Wewe mwenye akili za kiuweledi tuambie, kesho unatoa lecture chuo kikuu gani? Ahahahahahahahah!!!Mbona una akili za kipuuzi hivi kama dogo wa chekechea?!😬
Wazungu wanasema "Success has many fathers, Failure is an orphan"
Ukiwa na mafanikio, machawa wanajaa.
Hivi Bashite birthday yake siku hizi imeenda wapi, maana hata Wasafi wako kimya!