Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... hii sasa ndio sura halisi ya Sabaya! Hizo nyngine decorations tu.
Kweli kila enzi na kitavu chake....Mkuu wa zamani wa wilaya ya Hai, enzi akila maisha sehemu mbalimbali katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha. Ambapo kama kawaida alikuwa anaambatana na wapambe wake na warembo. Na kama kawaida ilikuwa ni mwendo wa kula Bata bila kulipa..View attachment 1823510
Ila jamaa ni mwanamziki kabisa.Mkuu wa zamani wa wilaya ya Hai, enzi akila maisha sehemu mbalimbali katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha. Ambapo kama kawaida alikuwa anaambatana na wapambe wake na warembo. Na kama kawaida ilikuwa ni mwendo wa kula Bata bila kulipa..View attachment 1823510
Honestly speaking, sioni kosa la sabaya hapo, he was just a young man trying to have fun, hicho ndicho hata mimi nafanya sasa.Inawauma mtu kuimba karaoke na kunywa wine,mnamuombea akitoka akose mpaka chenji ya mbege
Kukosa akili kwa uvccm Kama wewe ndio kunafanya mkose teuzi makini mbowe mlimpoka ubunge leo mmesahau.Kweli kabisa. Ukimiacha Ole Sabaya, ebu muangalie maskini Mbowe. Alikuwa Mbunge na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni. Anatembelea gari ya Serikali, dereva wa Serikali, mafuta ya Serikali, Ofisi ya Serikali mpaka walinzi wa Serikali. Leo anazurura nchi nzima kwa usafiri wa kudandia kwa washkaji!
Dah....hata Mimi nimeshangaa🤣🤣🤣🤣🤭Acha unafiki. Warembo wako wapi hapo?
Cc @twentyfoursevenHao ni Malaya wa Shivaz na Picnic Arusha.
Mkitaka majina tunaleta
Mbowe kweli wa kumuongelea hivyo wewe kjanaKweli kabisa. Ukimiacha Ole Sabaya, ebu muangalie maskini Mbowe. Alikuwa Mbunge na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni. Anatembelea gari ya Serikali, dereva wa Serikali, mafuta ya Serikali, Ofisi ya Serikali mpaka walinzi wa Serikali. Leo anazurura nchi nzima kwa usafiri wa kudandia kwa washkaji!
Nina watoto watano na wote wamesoma English Medium. Na waliokwishafika sekondari wapo Private. Mimi sio Mtanzania wa kulialia. Soma jumbe zangu humu utathibitisha hilo. Kwa taarifa yako, nilianza kuingia Mbowe Club (kabla haijaitwa Bilicanas) wakati huo Freeman Mbowe simjui bali namjua babaake akiitwa George Mbowe.Mbowe kweli wa kumuongelea hivyo wewe kjana
Mbowe atatoka keshokutwa tu hutoamini
Sidhani hata Kama unastahili kuwa mkata nyasi wa mbowe
Punguza ujinga Tafuta pesa uindoe familia yako kwenye Lindi la umasikini sio kukaa kuwananga watu walio achieve something kwenye haya maisha .
Na Leo hii ni mtuhumiwa wa ugaidiKweli kabisa. Ukimiacha Ole Sabaya, ebu muangalie maskini Mbowe. Alikuwa Mbunge na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni. Anatembelea gari ya Serikali, dereva wa Serikali, mafuta ya Serikali, Ofisi ya Serikali mpaka walinzi wa Serikali. Leo anazurura nchi nzima kwa usafiri wa kudandia kwa washkaji!
Maisha yanakwenda kasi sana!Na Leo hii ni mtuhumiwa wa ugaidi