NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
Muhimu: Sifa ya kabila flani huwa haimaanishi ni watu wote bali ni umaarufu wa kuwa na wawakilishi wengi kiasi cha kusifika, hivyo haimaanishi kwamba wanawake wote wahehe / wabena ni wife material,
Naomba tuelewane sifa hizi ni za kwenye maisha ya ndoa, huwezi fananisha uchumba wa sekondari / chuoni na maisha ya ndoa rasmi.
Hata Rais Mwinyi wa Zanzibar nae kavuta huko Iringa japo ni mkristo, kwa wale tunaoangalia habari ni jambo la Kawaida Mwinyi kumsifia hadharani mke wake mara kwa mara katika hotuba.
JE ni utamaduni, familia, malezi au ni sababu zipi zimewafanya wapate title hii ?
Naomba tuelewane sifa hizi ni za kwenye maisha ya ndoa, huwezi fananisha uchumba wa sekondari / chuoni na maisha ya ndoa rasmi.
- Wapo Loyal kwa waume zao
- Kudumu kwenye ndoa
- wavumilivu kwenye ndoa,
- Akina Segito
- -hawana tamaa ya mali,
- -Kujua kulea watoto
- -Kuishi vizuri na ndugu wa mwanaume (labda tatizo liwe upande wa ndugu wa mwanaume)
- Wapo loyal ila hakuna kitu wanachukia kama kuwatenda, hakimbilii mahakamani kuomba ndoa ivunjwe bali kwa heshima ya ndoa na kuwajali watoto atakuvumilia muishi wote lakini hapo mapenzi unakuwa ushayaua.
Hata Rais Mwinyi wa Zanzibar nae kavuta huko Iringa japo ni mkristo, kwa wale tunaoangalia habari ni jambo la Kawaida Mwinyi kumsifia hadharani mke wake mara kwa mara katika hotuba.
JE ni utamaduni, familia, malezi au ni sababu zipi zimewafanya wapate title hii ?