GE2025 Sababu za wanaompinga Dkt. Samia

GE2025 Sababu za wanaompinga Dkt. Samia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
1755409955051.jpeg
 
KWA NINI DKT SAMIA ANACHUKIWA?

Na Elius Ndabila
0768239284


Hivi sasa, wakati mchakato wa uchaguzi unakaribia wamejitokeza baadhi ya Watanzania ambao ni WanaCCM na wengine Wanachama wa vyama vingine vya siasa kupeleka shutuma kadhaa kwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Dkt Samia Suluhu Hassan. Shutuma zao hazina maana na msingi wa shutuma, lawama, hila na husda hizi zilianza kusukwa mwaka 2021 baada tu ya Dkt Magufuli kufariki. Kuna watu wachafu ambao hawastahili kuwa na legality wala legitimacy ya kukosoa utawala huu wamejitokeza front kukosoa. Yaani shetani kupata bahati ya kuwa kwenye kundi la Malaika anataka kujibatiza kuwa yeye pia ni malaika.

Leo nitakupitisha kidogo juu mkakati wa mwaka 2021ambao ndo vita hii ambayo leo watu wanahaha kujitakatisha kuwa wao ni wasafi na mwisho nitakueleza sababu ambazo zinasababisha hawa watu kumchukia Dkt Samia na wengine wakisema asingeweza hata kuchukua fomu ya kugombea. Kwa ufupi hii ni vita yetu sisi WanaCCM na hawa waliopata bahati ya kupitia CCM. Akiguswa Mwenyekiti wa CCM imeguswa ni CCM. Hakuna mtu mwema anayeweza kukusema mbele ya watu, ukiona mtu anakusema mbele ya watu huyo si rafiki yako ni adui Yako ambaye na wewe unataki ukabiliane naye kwa njia yoyote unayodhani ni sahihi kumkabili. Hawa waliotaka kuvunja katiba mwaka 2021 walikwama, hata leo tunatakiwa kuwaonyesha kuwa wamekwama kwa vitendo.

Baada ya Rais wa awamu ya tano Dkt John Magufuli kufariki aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo Dkt Samia Suluhu Hassan aliapishwa tarehe 19/3/2021. Msingi wa uapisho huo unatokana na Ibara ya 36(5) ya Katibu ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania ya mwaka 1977 pamoja na marekebisho yake ya mara kwa mara. Hivyo uwepo wake ni takwa la kisheria na siyo vinginevyo.

Ninaomba nikupitishe kidogo juu ya kelele unazozisikia leo kuhusu Dkt Samia. Nitarejea juu ya minong'ono ya mtaani na minong'ono iliyotawala pale uwanja wa Taifa wakati wa kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli. Mimi ni sehemu ya Watanzania wachache tuliohudhuria kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli Uwanja wa Uhuru Dar es salaam. Nimesema ni sehemu ya Watanzania wachache kwani Watanzania zidi ya milioni 60 hawakupata neema hii.

Wakati wa kuaga mwili kulikuwa na minong'ono mingi pale uwanjani hata nje ya uwanja kuwa kuna viongozi walikuwa hawataki Dkt Samia aapishwe kuwa Rais. Walitaka watumie mbinu bandia/ kinyume na katiba ili watafute Rais wanayemtaka wao. Tetesi zilisema hao watu walijipanga kugawana madaraka.Haya ni maneno yalikuwa yakisemwa. Mimi niliamini ni uzushi hasa ukizingatia kukiwa na msiba kwenye jamii zetu maneno hayakosekani. Hivyo nilihisi ni uvumi wa uongo. Nimeanza kuamini kuwa tetesi hizo zilikuwa na ukweli kwa kuwa wengine ambao tetesi hizo zilikuwa zinawahusu leo hii wameibuka kusema kuwa Dkt Samia hastahili kuchukua fomu ya kugombea Urais. Kwa mantiki hii hizi hazikuwa tetesi tena kuna nadharia ya ukweli. Ninadhani waliokuwa wakinong'onezana uwanjani walikuwa wameoteshwa ukweli huo.

Lakini baada ya Mhe Rais kuapishwa yalianza tena kuzagaa maneno mtaani kuwa eti Rais hafiki December, sikufahamu hafiki kwa mantiki ipi? Lakini alifika December na sasa tunazungumza miaka minne. Tafsiri yake ni kuwa hili kundi lilijipanga lakini hawakujua kuwa wao wanapanga na Mungu anaamua. Ninaamini Watanzania wengine waliosikia hii minong'ono walifunga na kuomba ndio maana Taifa limevuka na Mama amevuka salama mpaka leo. Kinachotokea saizi ingekuwa ni nyumbani Ileje tungesema Mungu anawaadhibu sasa waliyokuwa wanafanya gizani wanafanya hadharani. Mungu anawaumbua...

Kundi hili baada ya kukwama kukanyaga katiba na Rais akaapishwa pia baada ya kukwama mbinu zao zingine yakiwepo madarasa ya siasa leo wamekuja na mkakati mpya ikiwa ni azma yao ile ile ya awali ambayo Mungu alilivusha Taifa salama.

Mhe Rais pamoja na mawimbi makubwa, dhoruba, hila, husda na njama nyingi za kumkwamisha bado amelifanya Taifa kuwa imara, tulivu na kuweka rekodi ya miradi mikubwa kutekelezwa na maendeleo kuonekana kwa macho. Nani asiyefahamu kuwa sasa kiwango Cha furaha kimeongezeka nchini?

Walidhani atakwama, lakini ameweza. Sababu ambazo zinawafanya hawa watu washinde kwenye vyombo vya habari kumshambulia Mhe Rais na Serikali yake yaani kujaribu kuonesha wao ni wema ni sababu zifuatazo:-

1. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa baada ya kuapishwa aliondoa tozo 232 ambazo zilikuwa zinawakwaza Wafanyabiashara na wengine walikuwa wamehamishia biashara zao nje ya nchi. Serikali ya awamu ya sita imejenga mazingira rafiki kwa Wafanyabiashara, mazingira ambayo yamechochea kuongezeka makusanyo ya kodi.

2. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa amefanikiwa kukuza Diplomasia na mataifa ya nje zikiwepo nchi za AFRIKA mashariki ambazo kuna wakati mahusiano yaliyumba. Rais Samia amefanikiwa kuifungua Tanzania katika Diplomasia ya kimataifa ambayo imechochea kuimalisha uchumi wa Taifa. Watalii wanakuja Tanzania sasa ni wengi sana ambao wanaongeza kuingiza fedha za kigeni.

3. Wanamchukia Rais Dkt Samia kwa kufanikiwa kumaliza ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere(JNHPP) ambalo wakati anaapishwa ujenzi wake ulikuwa umefikia 33%. Walidhani Mhe Rais ataachana na mradi huo mkubwa wa kimkakati. Kitendo cha Serikali ya awamu ya sita kumaliza ujenzi wa Bwawa hilo na kuanza kufanya kazi kimewachukiza sana hawa waliotaka nchi Iendelee kuwa gizani. Rais Samia akihutubia bunge kwa mara ya kwanza alisema atatekeleza miradi yote iliyoanzishwa na JPM. Watanzania aina hii hawakuelewa walisema hawezi, leo wanamchukia kwa kuwa ameweza.

4. Wamechukizwa sana Serikali ya awamu ya sita kukamilisha ujenzi wa Daraja la Magufuli (Kigogo-Busisi) ambalo mtangulizi wake aliliacha likiwa limefikia 16%. Leo Daraja limekwisha na kazi inaendelea. Hili jambo limewachukiza hawataki Dkt Samia achukue fomu wachukue wao ambao historia zao hazijulikani ndani ya Chama na Serikali. Walitaka lisijengwe ili wafurahie kuwa amekwama.

5. Wamechukizwa sana Rais Samia kuendelea kusimamia maono ya hayati JPM ya kufufua na kuimarisha shirika la ndege la ATCL kwa kununua ndege zingine tano ikiwepo ndege ya mizigo aina ya Boing 767-300F. Kuendelea kujenga na kuboresha viwanja vya ndege hapa nchini. Hili ni kero kubwa kwao na kuongeza uhasama kwa Rais wa nchi. Rais Samia aliposema Mimi na JPM tulikuwa kitu kimoja hawakuelewa.

6. Wamechukizwa sana na Mhe Rais kufufua mradi wa NHC kote nchini kwa mfano ule wa Morocco Square ulioanzishwa na kukwama mwaka 2018 yeye ameufufua na kuumaliza. Mradi wa Kawe, Mradi wa Samia Housing wa nyumba 5000 katika maeneo mbalimbali nchini. NHC ilianzishwa mwaka 1962 kwa Sheria ya Bunge namba 45 kwa kuhakikisha Watanzania wanapata makazi bora. Mageuzi makubwa ya kihistoria yalifanyika mwaka 1990 na 2008, Mhe Rais Samia amekuja kulisimamia hili kwa vitendo. Hii imekuwa karaha kwa ndugu zetu hawa waliojipanga mwaka 2021.


7. Wanamchukia Rais Samia kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya barabara. Ukipita Wilaya zote Tanzania ardhi inaomboleza kwa namna Mitambo inavyoendelea kuitindua ardhi na kujenga barabara nzuri za rami na changarawe. Kwa mara ya kwanza Tangu Tanzania ipate Uhuru, Serikali ya awamu ya sita ilitoa milioni 500 katika kila halmashauri kwa ajili ya barabara za vijijini. Wamechukia kuona fedha hizi zinaenda kuwasaidia Wananchi wanyonge kwa kurahisisha usafiri na usafirishaji.

8. Wamechukizwa na Mhe Rais kwa kuboresha miundombinu ya shule. Serikali ya awamu ya sita imekarabati shule za zamani, imejenga shule mpya, imeongeza nyumba za Walimu na imeweza kuajiri Walimu kwa mara ya kwanza mara baada ya ajira hizi kustishwa toka mwaka 2015. Shule nyingi zilikuwa zimechoka lakini awamu hii zimeboreshwa. Haitoshi zinajengwa shule shikizi ikiwa ni mkakati wa Serikali kuinua elimu nchini na kupunguza changamoto za watoto shuleni.

9. Wanachukizwa sana na uboreshaji wa Afya. Miaka michache iliyopita watu walikuwa wanapishana angani kwenda kutibiwa India. Serikali ya awamu ya sita si tu imeongeza ujenzi wa vituo vya huduma ya Afya kwa maana Hospital, Vituo vya Afya na Zahanati kila mahali, rahasha! Rais Samia ameweza kununua pia vifaa vya hospitali. Tangu tupate Uhuru tulikuwa na MRI 7 TU, lakini Dkt Samia kwa miaka 4 amenunua MRI 6. Sijui unaelewa? Tangu tupate Uhuru tulikuwa na CT scan 13 lakini Dkt Samia kwa miaka minne amenunua CT scan 32. Tunaelewana? Unadhani kwa kasi hii wanakingine cha kusema zaidi ya ajenda ambazo hazina miguu wala vichwa. Hii ni mifano michache ambayo nimeona nikupe tu uelewa mdogo.


10. Wamechukizwa sana utawala bora. Kwa miaka minne tumeona nguzo zote za utawala bora zikifanya kazi. Watu wanafanya siasa, Waandishi wa habari wanafanya kazi zao kwa kuzingatia Sheria za nchi, Watu makazini wanaadhibiwa kwa kufuata Sheria, Mahakama zinafanya majukumu yake n.k Mahali ambapo hakuna utawala bora basi hofu inakuwa ni maisha ya kawaida ya watu. Hawataki utawala bora wanataka monopoly
11. Wamechukizwa sana kushusha kwa riba ya mikopo ya Wanafunzi wa vyuo vikuu ambayo imeshuka kutoka 14% mpaka single digit (7%). Hii ilikuwa ni kero kwa wasomi ambao ni wanufaika wa bodi ya mikopo. Tukumbuke 100% ya wanufaika wa mikopo hii ni watu wanaotoka familia masikini na za kati. Unapomtoza 14% ni kumfanya aendelee kuwa masikini zaidi na kuona kukopa ni adhabu.

12. Wamechukizwa na kukerwa vibaya sana na elimu bure. Serikali ya awamu ya nne ilitangaza elimu bure kutoka chekechea hadi kidato cha sita. Lakini pia iliongeza fedha ya kujikimu kwa Wanafunzi wa vyuo. Hawa wanaona hii ni kete kwa Dkt Samia hivyo wanakwazika sana.

13. Wamechukizwa na Agribusiness, huko nyuma mtu kuitwa mkulima ilikuwa ni aibu. Lakini Serikali ya awamu ya sita imefanya mapinduzi makubwa kwenye kilimo ambapo leo mtu kuitwa mkulima ni fahari. Mwaka 2021 bajeti ya kilimo ilikuwa billion 200± leo hii bajeti ya kilimo ni Trillion 1.2. Lengo la Serikali ni kuona sasa tunaacha kuagiza mafuta ya kula nje lakini pia sukari maeneo ambayo Serikali ilikuwa inatumia fedha nyingi. Wenzetu wanakerwa na mradi wa BBT uliojiri vijana wengi na tunaona matokeo ya kilimo wanachofanya Chinangali na maeneo mengine nchini. Mbolea ya ruzuku imechangia kwa kiasi kikubwa uzalishaji mkubwa na wenye tija. Haya ndiyo yanawachukiza wenzetu.

14. Wanachukizwa na miradi ya kimkakati 901 yenye thamani ya Dola 127 ambapo mwaka 2021 tulikuwa na miradi ya kimkakati 93 TU yenye thamani ya Dola 1.6 bilioni TU. Hatuoni mapinduzi haya? Urasimu umepungua ndio maana watu wengi wanakimbilia TIC kutafuta fursa.

15. Wanachukizwa na ujenzi wa Daraja la TANZANITE walitaka lisijengwe.

16. Wanakwazika na makusanyo yaliyoongezeka pale bandarini fedha zinazosaidia kwenye miradi ya kimkakati na kuongeza mishahara kwa watumishi.

Pamoja na mengine mengi yanayowakera na kuwachukiza, haya ni machache kati ya mengi ambayo mahasimu wa Samia wanakwazika. Hakuna jambo jingine, wanateswa na mafanikio ya Dkt Samia. Walishajipanga kuwa atakwama. Walijaribu kumkwamisha lakini walishindwa. Kete iliyobaki ni hii wanayohangaika nayo ambayo nayo wamekwama.

October tunatiki.
Namba ya simu ya nini?Au kwa kuwa unajua mama wa watu akisifiwa tu anakupa chèo:Kama Kitila Mkumbo alisifia kuhusu bandari kupewa waarabu akapewa uwaziri.
 
Maelezo kibao uzuri wa mambo mema hayahitaji PR ukishaona inatumika nguvu nyingi kusifia nakueleza mema ya mtu basi ujue kuna shida hapo watu sio wajinga mjue TAL ana shine nakukubalika kwaajili ya Matendo yake,uadilifu wake,misimamo yake thabiti isiyoyumba na namna anavyoitetea nchi yake kwa dhati hadi mnamuona tishio ni kutokana na uungwaji wake mkono na makundi mbalimbali wahenga waliposema kizuri chajiuza kibaya chajitembeza hawakua wajinga ujue wanajua ukweli utawaweka huru. Maelezo kibao ya miradi isiyoweza kuounguza gharama za maisha kwa mwananchi wa kawaida hakuna msaada leo hii mtu aliyeyepo Mangaka huko ukamueleze kuhusu SGR inamnufaisha vipi? Mtu alieko Ukara huko ukamuambie kuhusu bwawa la mwalimu Nyerere anakuelewa vipi? Mtu yuko zake Mchomolo huko ukamueleze kuhusu royal your anakuelewa vipi? Sasa mnaunganishaje haya mavitu na maisha ya mtu wa kawaida kabisa? Huo ndio uchumi unaopaswa kuleta multiplier effect na uwe jumuishi hizi rasilimali tulizonazo kila mmoja aonje matunda yake na wawe na maisha yenye staha na utu wao

No reform No Election
 
KWA NINI DKT SAMIA ANACHUKIWA?

Na Elius Ndabila
0768239284


Hivi sasa, wakati mchakato wa uchaguzi unakaribia wamejitokeza baadhi ya Watanzania ambao ni WanaCCM na wengine Wanachama wa vyama vingine vya siasa kupeleka shutuma kadhaa kwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Dkt Samia Suluhu Hassan. Shutuma zao hazina maana na msingi wa shutuma, lawama, hila na husda hizi zilianza kusukwa mwaka 2021 baada tu ya Dkt Magufuli kufariki. Kuna watu wachafu ambao hawastahili kuwa na legality wala legitimacy ya kukosoa utawala huu wamejitokeza front kukosoa. Yaani shetani kupata bahati ya kuwa kwenye kundi la Malaika anataka kujibatiza kuwa yeye pia ni malaika.

Leo nitakupitisha kidogo juu mkakati wa mwaka 2021ambao ndo vita hii ambayo leo watu wanahaha kujitakatisha kuwa wao ni wasafi na mwisho nitakueleza sababu ambazo zinasababisha hawa watu kumchukia Dkt Samia na wengine wakisema asingeweza hata kuchukua fomu ya kugombea. Kwa ufupi hii ni vita yetu sisi WanaCCM na hawa waliopata bahati ya kupitia CCM. Akiguswa Mwenyekiti wa CCM imeguswa ni CCM. Hakuna mtu mwema anayeweza kukusema mbele ya watu, ukiona mtu anakusema mbele ya watu huyo si rafiki yako ni adui Yako ambaye na wewe unataki ukabiliane naye kwa njia yoyote unayodhani ni sahihi kumkabili. Hawa waliotaka kuvunja katiba mwaka 2021 walikwama, hata leo tunatakiwa kuwaonyesha kuwa wamekwama kwa vitendo.

Baada ya Rais wa awamu ya tano Dkt John Magufuli kufariki aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo Dkt Samia Suluhu Hassan aliapishwa tarehe 19/3/2021. Msingi wa uapisho huo unatokana na Ibara ya 36(5) ya Katibu ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania ya mwaka 1977 pamoja na marekebisho yake ya mara kwa mara. Hivyo uwepo wake ni takwa la kisheria na siyo vinginevyo.

Ninaomba nikupitishe kidogo juu ya kelele unazozisikia leo kuhusu Dkt Samia. Nitarejea juu ya minong'ono ya mtaani na minong'ono iliyotawala pale uwanja wa Taifa wakati wa kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli. Mimi ni sehemu ya Watanzania wachache tuliohudhuria kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli Uwanja wa Uhuru Dar es salaam. Nimesema ni sehemu ya Watanzania wachache kwani Watanzania zidi ya milioni 60 hawakupata neema hii.

Wakati wa kuaga mwili kulikuwa na minong'ono mingi pale uwanjani hata nje ya uwanja kuwa kuna viongozi walikuwa hawataki Dkt Samia aapishwe kuwa Rais. Walitaka watumie mbinu bandia/ kinyume na katiba ili watafute Rais wanayemtaka wao. Tetesi zilisema hao watu walijipanga kugawana madaraka.Haya ni maneno yalikuwa yakisemwa. Mimi niliamini ni uzushi hasa ukizingatia kukiwa na msiba kwenye jamii zetu maneno hayakosekani. Hivyo nilihisi ni uvumi wa uongo. Nimeanza kuamini kuwa tetesi hizo zilikuwa na ukweli kwa kuwa wengine ambao tetesi hizo zilikuwa zinawahusu leo hii wameibuka kusema kuwa Dkt Samia hastahili kuchukua fomu ya kugombea Urais. Kwa mantiki hii hizi hazikuwa tetesi tena kuna nadharia ya ukweli. Ninadhani waliokuwa wakinong'onezana uwanjani walikuwa wameoteshwa ukweli huo.

Lakini baada ya Mhe Rais kuapishwa yalianza tena kuzagaa maneno mtaani kuwa eti Rais hafiki December, sikufahamu hafiki kwa mantiki ipi? Lakini alifika December na sasa tunazungumza miaka minne. Tafsiri yake ni kuwa hili kundi lilijipanga lakini hawakujua kuwa wao wanapanga na Mungu anaamua. Ninaamini Watanzania wengine waliosikia hii minong'ono walifunga na kuomba ndio maana Taifa limevuka na Mama amevuka salama mpaka leo. Kinachotokea saizi ingekuwa ni nyumbani Ileje tungesema Mungu anawaadhibu sasa waliyokuwa wanafanya gizani wanafanya hadharani. Mungu anawaumbua...

Kundi hili baada ya kukwama kukanyaga katiba na Rais akaapishwa pia baada ya kukwama mbinu zao zingine yakiwepo madarasa ya siasa leo wamekuja na mkakati mpya ikiwa ni azma yao ile ile ya awali ambayo Mungu alilivusha Taifa salama.

Mhe Rais pamoja na mawimbi makubwa, dhoruba, hila, husda na njama nyingi za kumkwamisha bado amelifanya Taifa kuwa imara, tulivu na kuweka rekodi ya miradi mikubwa kutekelezwa na maendeleo kuonekana kwa macho. Nani asiyefahamu kuwa sasa kiwango Cha furaha kimeongezeka nchini?

Walidhani atakwama, lakini ameweza. Sababu ambazo zinawafanya hawa watu washinde kwenye vyombo vya habari kumshambulia Mhe Rais na Serikali yake yaani kujaribu kuonesha wao ni wema ni sababu zifuatazo:-

1. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa baada ya kuapishwa aliondoa tozo 232 ambazo zilikuwa zinawakwaza Wafanyabiashara na wengine walikuwa wamehamishia biashara zao nje ya nchi. Serikali ya awamu ya sita imejenga mazingira rafiki kwa Wafanyabiashara, mazingira ambayo yamechochea kuongezeka makusanyo ya kodi.

2. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa amefanikiwa kukuza Diplomasia na mataifa ya nje zikiwepo nchi za AFRIKA mashariki ambazo kuna wakati mahusiano yaliyumba. Rais Samia amefanikiwa kuifungua Tanzania katika Diplomasia ya kimataifa ambayo imechochea kuimalisha uchumi wa Taifa. Watalii wanakuja Tanzania sasa ni wengi sana ambao wanaongeza kuingiza fedha za kigeni.

3. Wanamchukia Rais Dkt Samia kwa kufanikiwa kumaliza ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere(JNHPP) ambalo wakati anaapishwa ujenzi wake ulikuwa umefikia 33%. Walidhani Mhe Rais ataachana na mradi huo mkubwa wa kimkakati. Kitendo cha Serikali ya awamu ya sita kumaliza ujenzi wa Bwawa hilo na kuanza kufanya kazi kimewachukiza sana hawa waliotaka nchi Iendelee kuwa gizani. Rais Samia akihutubia bunge kwa mara ya kwanza alisema atatekeleza miradi yote iliyoanzishwa na JPM. Watanzania aina hii hawakuelewa walisema hawezi, leo wanamchukia kwa kuwa ameweza.

4. Wamechukizwa sana Serikali ya awamu ya sita kukamilisha ujenzi wa Daraja la Magufuli (Kigogo-Busisi) ambalo mtangulizi wake aliliacha likiwa limefikia 16%. Leo Daraja limekwisha na kazi inaendelea. Hili jambo limewachukiza hawataki Dkt Samia achukue fomu wachukue wao ambao historia zao hazijulikani ndani ya Chama na Serikali. Walitaka lisijengwe ili wafurahie kuwa amekwama.

5. Wamechukizwa sana Rais Samia kuendelea kusimamia maono ya hayati JPM ya kufufua na kuimarisha shirika la ndege la ATCL kwa kununua ndege zingine tano ikiwepo ndege ya mizigo aina ya Boing 767-300F. Kuendelea kujenga na kuboresha viwanja vya ndege hapa nchini. Hili ni kero kubwa kwao na kuongeza uhasama kwa Rais wa nchi. Rais Samia aliposema Mimi na JPM tulikuwa kitu kimoja hawakuelewa.

6. Wamechukizwa sana na Mhe Rais kufufua mradi wa NHC kote nchini kwa mfano ule wa Morocco Square ulioanzishwa na kukwama mwaka 2018 yeye ameufufua na kuumaliza. Mradi wa Kawe, Mradi wa Samia Housing wa nyumba 5000 katika maeneo mbalimbali nchini. NHC ilianzishwa mwaka 1962 kwa Sheria ya Bunge namba 45 kwa kuhakikisha Watanzania wanapata makazi bora. Mageuzi makubwa ya kihistoria yalifanyika mwaka 1990 na 2008, Mhe Rais Samia amekuja kulisimamia hili kwa vitendo. Hii imekuwa karaha kwa ndugu zetu hawa waliojipanga mwaka 2021.


7. Wanamchukia Rais Samia kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya barabara. Ukipita Wilaya zote Tanzania ardhi inaomboleza kwa namna Mitambo inavyoendelea kuitindua ardhi na kujenga barabara nzuri za rami na changarawe. Kwa mara ya kwanza Tangu Tanzania ipate Uhuru, Serikali ya awamu ya sita ilitoa milioni 500 katika kila halmashauri kwa ajili ya barabara za vijijini. Wamechukia kuona fedha hizi zinaenda kuwasaidia Wananchi wanyonge kwa kurahisisha usafiri na usafirishaji.

8. Wamechukizwa na Mhe Rais kwa kuboresha miundombinu ya shule. Serikali ya awamu ya sita imekarabati shule za zamani, imejenga shule mpya, imeongeza nyumba za Walimu na imeweza kuajiri Walimu kwa mara ya kwanza mara baada ya ajira hizi kustishwa toka mwaka 2015. Shule nyingi zilikuwa zimechoka lakini awamu hii zimeboreshwa. Haitoshi zinajengwa shule shikizi ikiwa ni mkakati wa Serikali kuinua elimu nchini na kupunguza changamoto za watoto shuleni.

9. Wanachukizwa sana na uboreshaji wa Afya. Miaka michache iliyopita watu walikuwa wanapishana angani kwenda kutibiwa India. Serikali ya awamu ya sita si tu imeongeza ujenzi wa vituo vya huduma ya Afya kwa maana Hospital, Vituo vya Afya na Zahanati kila mahali, rahasha! Rais Samia ameweza kununua pia vifaa vya hospitali. Tangu tupate Uhuru tulikuwa na MRI 7 TU, lakini Dkt Samia kwa miaka 4 amenunua MRI 6. Sijui unaelewa? Tangu tupate Uhuru tulikuwa na CT scan 13 lakini Dkt Samia kwa miaka minne amenunua CT scan 32. Tunaelewana? Unadhani kwa kasi hii wanakingine cha kusema zaidi ya ajenda ambazo hazina miguu wala vichwa. Hii ni mifano michache ambayo nimeona nikupe tu uelewa mdogo.


10. Wamechukizwa sana utawala bora. Kwa miaka minne tumeona nguzo zote za utawala bora zikifanya kazi. Watu wanafanya siasa, Waandishi wa habari wanafanya kazi zao kwa kuzingatia Sheria za nchi, Watu makazini wanaadhibiwa kwa kufuata Sheria, Mahakama zinafanya majukumu yake n.k Mahali ambapo hakuna utawala bora basi hofu inakuwa ni maisha ya kawaida ya watu. Hawataki utawala bora wanataka monopoly
11. Wamechukizwa sana kushusha kwa riba ya mikopo ya Wanafunzi wa vyuo vikuu ambayo imeshuka kutoka 14% mpaka single digit (7%). Hii ilikuwa ni kero kwa wasomi ambao ni wanufaika wa bodi ya mikopo. Tukumbuke 100% ya wanufaika wa mikopo hii ni watu wanaotoka familia masikini na za kati. Unapomtoza 14% ni kumfanya aendelee kuwa masikini zaidi na kuona kukopa ni adhabu.

12. Wamechukizwa na kukerwa vibaya sana na elimu bure. Serikali ya awamu ya nne ilitangaza elimu bure kutoka chekechea hadi kidato cha sita. Lakini pia iliongeza fedha ya kujikimu kwa Wanafunzi wa vyuo. Hawa wanaona hii ni kete kwa Dkt Samia hivyo wanakwazika sana.

13. Wamechukizwa na Agribusiness, huko nyuma mtu kuitwa mkulima ilikuwa ni aibu. Lakini Serikali ya awamu ya sita imefanya mapinduzi makubwa kwenye kilimo ambapo leo mtu kuitwa mkulima ni fahari. Mwaka 2021 bajeti ya kilimo ilikuwa billion 200± leo hii bajeti ya kilimo ni Trillion 1.2. Lengo la Serikali ni kuona sasa tunaacha kuagiza mafuta ya kula nje lakini pia sukari maeneo ambayo Serikali ilikuwa inatumia fedha nyingi. Wenzetu wanakerwa na mradi wa BBT uliojiri vijana wengi na tunaona matokeo ya kilimo wanachofanya Chinangali na maeneo mengine nchini. Mbolea ya ruzuku imechangia kwa kiasi kikubwa uzalishaji mkubwa na wenye tija. Haya ndiyo yanawachukiza wenzetu.

14. Wanachukizwa na miradi ya kimkakati 901 yenye thamani ya Dola 127 ambapo mwaka 2021 tulikuwa na miradi ya kimkakati 93 TU yenye thamani ya Dola 1.6 bilioni TU. Hatuoni mapinduzi haya? Urasimu umepungua ndio maana watu wengi wanakimbilia TIC kutafuta fursa.

15. Wanachukizwa na ujenzi wa Daraja la TANZANITE walitaka lisijengwe.

16. Wanakwazika na makusanyo yaliyoongezeka pale bandarini fedha zinazosaidia kwenye miradi ya kimkakati na kuongeza mishahara kwa watumishi.

Pamoja na mengine mengi yanayowakera na kuwachukiza, haya ni machache kati ya mengi ambayo mahasimu wa Samia wanakwazika. Hakuna jambo jingine, wanateswa na mafanikio ya Dkt Samia. Walishajipanga kuwa atakwama. Walijaribu kumkwamisha lakini walishindwa. Kete iliyobaki ni hii wanayohangaika nayo ambayo nayo wamekwama.

October tunatiki.
Rubbish.
Hata ukiweka namba za simu, hakuna atakayekupigia kwenye hilo genge la wahuni..
 
Wewe jamaa sijui wa aina gani,umekazania husda tu, uorodheshe yote mazuri kama kuondoa tozo na yalifuata halafu achukiwe?akili ni nywele kweli
 
Kitendo cha kuweka number ya simu ni kwamba unasukumwa na njaa kuandika uliyoandika hapa unategemea kupata chochote ndo maana umeweka number hapa kwa hiyo hata ulicholiandika hakina maana kiufi Wewe ni mnafiki nyie hata kipindi cha ukoloni mlikuepo ndo milikua mnawauza wenzenu kwa wakoloni ungeweza kuandika Uzi wako vizuri bila kuweka number ya simu mpaka Sasa tunajua unasukumwa na njaa kuandika ulicholiandika kina kosa maana kwasababu umetanguliza njaa tayari
 
KWA NINI DKT SAMIA ANACHUKIWA?

Na Elius Ndabila
0768239284


Hivi sasa, wakati mchakato wa uchaguzi unakaribia wamejitokeza baadhi ya Watanzania ambao ni WanaCCM na wengine Wanachama wa vyama vingine vya siasa kupeleka shutuma kadhaa kwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Dkt Samia Suluhu Hassan. Shutuma zao hazina maana na msingi wa shutuma, lawama, hila na husda hizi zilianza kusukwa mwaka 2021 baada tu ya Dkt Magufuli kufariki. Kuna watu wachafu ambao hawastahili kuwa na legality wala legitimacy ya kukosoa utawala huu wamejitokeza front kukosoa. Yaani shetani kupata bahati ya kuwa kwenye kundi la Malaika anataka kujibatiza kuwa yeye pia ni malaika.

Leo nitakupitisha kidogo juu mkakati wa mwaka 2021ambao ndo vita hii ambayo leo watu wanahaha kujitakatisha kuwa wao ni wasafi na mwisho nitakueleza sababu ambazo zinasababisha hawa watu kumchukia Dkt Samia na wengine wakisema asingeweza hata kuchukua fomu ya kugombea. Kwa ufupi hii ni vita yetu sisi WanaCCM na hawa waliopata bahati ya kupitia CCM. Akiguswa Mwenyekiti wa CCM imeguswa ni CCM. Hakuna mtu mwema anayeweza kukusema mbele ya watu, ukiona mtu anakusema mbele ya watu huyo si rafiki yako ni adui Yako ambaye na wewe unataki ukabiliane naye kwa njia yoyote unayodhani ni sahihi kumkabili. Hawa waliotaka kuvunja katiba mwaka 2021 walikwama, hata leo tunatakiwa kuwaonyesha kuwa wamekwama kwa vitendo.

Baada ya Rais wa awamu ya tano Dkt John Magufuli kufariki aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo Dkt Samia Suluhu Hassan aliapishwa tarehe 19/3/2021. Msingi wa uapisho huo unatokana na Ibara ya 36(5) ya Katibu ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania ya mwaka 1977 pamoja na marekebisho yake ya mara kwa mara. Hivyo uwepo wake ni takwa la kisheria na siyo vinginevyo.

Ninaomba nikupitishe kidogo juu ya kelele unazozisikia leo kuhusu Dkt Samia. Nitarejea juu ya minong'ono ya mtaani na minong'ono iliyotawala pale uwanja wa Taifa wakati wa kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli. Mimi ni sehemu ya Watanzania wachache tuliohudhuria kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli Uwanja wa Uhuru Dar es salaam. Nimesema ni sehemu ya Watanzania wachache kwani Watanzania zidi ya milioni 60 hawakupata neema hii.

Wakati wa kuaga mwili kulikuwa na minong'ono mingi pale uwanjani hata nje ya uwanja kuwa kuna viongozi walikuwa hawataki Dkt Samia aapishwe kuwa Rais. Walitaka watumie mbinu bandia/ kinyume na katiba ili watafute Rais wanayemtaka wao. Tetesi zilisema hao watu walijipanga kugawana madaraka.Haya ni maneno yalikuwa yakisemwa. Mimi niliamini ni uzushi hasa ukizingatia kukiwa na msiba kwenye jamii zetu maneno hayakosekani. Hivyo nilihisi ni uvumi wa uongo. Nimeanza kuamini kuwa tetesi hizo zilikuwa na ukweli kwa kuwa wengine ambao tetesi hizo zilikuwa zinawahusu leo hii wameibuka kusema kuwa Dkt Samia hastahili kuchukua fomu ya kugombea Urais. Kwa mantiki hii hizi hazikuwa tetesi tena kuna nadharia ya ukweli. Ninadhani waliokuwa wakinong'onezana uwanjani walikuwa wameoteshwa ukweli huo.

Lakini baada ya Mhe Rais kuapishwa yalianza tena kuzagaa maneno mtaani kuwa eti Rais hafiki December, sikufahamu hafiki kwa mantiki ipi? Lakini alifika December na sasa tunazungumza miaka minne. Tafsiri yake ni kuwa hili kundi lilijipanga lakini hawakujua kuwa wao wanapanga na Mungu anaamua. Ninaamini Watanzania wengine waliosikia hii minong'ono walifunga na kuomba ndio maana Taifa limevuka na Mama amevuka salama mpaka leo. Kinachotokea saizi ingekuwa ni nyumbani Ileje tungesema Mungu anawaadhibu sasa waliyokuwa wanafanya gizani wanafanya hadharani. Mungu anawaumbua...

Kundi hili baada ya kukwama kukanyaga katiba na Rais akaapishwa pia baada ya kukwama mbinu zao zingine yakiwepo madarasa ya siasa leo wamekuja na mkakati mpya ikiwa ni azma yao ile ile ya awali ambayo Mungu alilivusha Taifa salama.

Mhe Rais pamoja na mawimbi makubwa, dhoruba, hila, husda na njama nyingi za kumkwamisha bado amelifanya Taifa kuwa imara, tulivu na kuweka rekodi ya miradi mikubwa kutekelezwa na maendeleo kuonekana kwa macho. Nani asiyefahamu kuwa sasa kiwango Cha furaha kimeongezeka nchini?

Walidhani atakwama, lakini ameweza. Sababu ambazo zinawafanya hawa watu washinde kwenye vyombo vya habari kumshambulia Mhe Rais na Serikali yake yaani kujaribu kuonesha wao ni wema ni sababu zifuatazo:-

1. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa baada ya kuapishwa aliondoa tozo 232 ambazo zilikuwa zinawakwaza Wafanyabiashara na wengine walikuwa wamehamishia biashara zao nje ya nchi. Serikali ya awamu ya sita imejenga mazingira rafiki kwa Wafanyabiashara, mazingira ambayo yamechochea kuongezeka makusanyo ya kodi.

2. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa amefanikiwa kukuza Diplomasia na mataifa ya nje zikiwepo nchi za AFRIKA mashariki ambazo kuna wakati mahusiano yaliyumba. Rais Samia amefanikiwa kuifungua Tanzania katika Diplomasia ya kimataifa ambayo imechochea kuimalisha uchumi wa Taifa. Watalii wanakuja Tanzania sasa ni wengi sana ambao wanaongeza kuingiza fedha za kigeni.

3. Wanamchukia Rais Dkt Samia kwa kufanikiwa kumaliza ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere(JNHPP) ambalo wakati anaapishwa ujenzi wake ulikuwa umefikia 33%. Walidhani Mhe Rais ataachana na mradi huo mkubwa wa kimkakati. Kitendo cha Serikali ya awamu ya sita kumaliza ujenzi wa Bwawa hilo na kuanza kufanya kazi kimewachukiza sana hawa waliotaka nchi Iendelee kuwa gizani. Rais Samia akihutubia bunge kwa mara ya kwanza alisema atatekeleza miradi yote iliyoanzishwa na JPM. Watanzania aina hii hawakuelewa walisema hawezi, leo wanamchukia kwa kuwa ameweza.

4. Wamechukizwa sana Serikali ya awamu ya sita kukamilisha ujenzi wa Daraja la Magufuli (Kigogo-Busisi) ambalo mtangulizi wake aliliacha likiwa limefikia 16%. Leo Daraja limekwisha na kazi inaendelea. Hili jambo limewachukiza hawataki Dkt Samia achukue fomu wachukue wao ambao historia zao hazijulikani ndani ya Chama na Serikali. Walitaka lisijengwe ili wafurahie kuwa amekwama.

5. Wamechukizwa sana Rais Samia kuendelea kusimamia maono ya hayati JPM ya kufufua na kuimarisha shirika la ndege la ATCL kwa kununua ndege zingine tano ikiwepo ndege ya mizigo aina ya Boing 767-300F. Kuendelea kujenga na kuboresha viwanja vya ndege hapa nchini. Hili ni kero kubwa kwao na kuongeza uhasama kwa Rais wa nchi. Rais Samia aliposema Mimi na JPM tulikuwa kitu kimoja hawakuelewa.

6. Wamechukizwa sana na Mhe Rais kufufua mradi wa NHC kote nchini kwa mfano ule wa Morocco Square ulioanzishwa na kukwama mwaka 2018 yeye ameufufua na kuumaliza. Mradi wa Kawe, Mradi wa Samia Housing wa nyumba 5000 katika maeneo mbalimbali nchini. NHC ilianzishwa mwaka 1962 kwa Sheria ya Bunge namba 45 kwa kuhakikisha Watanzania wanapata makazi bora. Mageuzi makubwa ya kihistoria yalifanyika mwaka 1990 na 2008, Mhe Rais Samia amekuja kulisimamia hili kwa vitendo. Hii imekuwa karaha kwa ndugu zetu hawa waliojipanga mwaka 2021.


7. Wanamchukia Rais Samia kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya barabara. Ukipita Wilaya zote Tanzania ardhi inaomboleza kwa namna Mitambo inavyoendelea kuitindua ardhi na kujenga barabara nzuri za rami na changarawe. Kwa mara ya kwanza Tangu Tanzania ipate Uhuru, Serikali ya awamu ya sita ilitoa milioni 500 katika kila halmashauri kwa ajili ya barabara za vijijini. Wamechukia kuona fedha hizi zinaenda kuwasaidia Wananchi wanyonge kwa kurahisisha usafiri na usafirishaji.

8. Wamechukizwa na Mhe Rais kwa kuboresha miundombinu ya shule. Serikali ya awamu ya sita imekarabati shule za zamani, imejenga shule mpya, imeongeza nyumba za Walimu na imeweza kuajiri Walimu kwa mara ya kwanza mara baada ya ajira hizi kustishwa toka mwaka 2015. Shule nyingi zilikuwa zimechoka lakini awamu hii zimeboreshwa. Haitoshi zinajengwa shule shikizi ikiwa ni mkakati wa Serikali kuinua elimu nchini na kupunguza changamoto za watoto shuleni.

9. Wanachukizwa sana na uboreshaji wa Afya. Miaka michache iliyopita watu walikuwa wanapishana angani kwenda kutibiwa India. Serikali ya awamu ya sita si tu imeongeza ujenzi wa vituo vya huduma ya Afya kwa maana Hospital, Vituo vya Afya na Zahanati kila mahali, rahasha! Rais Samia ameweza kununua pia vifaa vya hospitali. Tangu tupate Uhuru tulikuwa na MRI 7 TU, lakini Dkt Samia kwa miaka 4 amenunua MRI 6. Sijui unaelewa? Tangu tupate Uhuru tulikuwa na CT scan 13 lakini Dkt Samia kwa miaka minne amenunua CT scan 32. Tunaelewana? Unadhani kwa kasi hii wanakingine cha kusema zaidi ya ajenda ambazo hazina miguu wala vichwa. Hii ni mifano michache ambayo nimeona nikupe tu uelewa mdogo.


10. Wamechukizwa sana utawala bora. Kwa miaka minne tumeona nguzo zote za utawala bora zikifanya kazi. Watu wanafanya siasa, Waandishi wa habari wanafanya kazi zao kwa kuzingatia Sheria za nchi, Watu makazini wanaadhibiwa kwa kufuata Sheria, Mahakama zinafanya majukumu yake n.k Mahali ambapo hakuna utawala bora basi hofu inakuwa ni maisha ya kawaida ya watu. Hawataki utawala bora wanataka monopoly
11. Wamechukizwa sana kushusha kwa riba ya mikopo ya Wanafunzi wa vyuo vikuu ambayo imeshuka kutoka 14% mpaka single digit (7%). Hii ilikuwa ni kero kwa wasomi ambao ni wanufaika wa bodi ya mikopo. Tukumbuke 100% ya wanufaika wa mikopo hii ni watu wanaotoka familia masikini na za kati. Unapomtoza 14% ni kumfanya aendelee kuwa masikini zaidi na kuona kukopa ni adhabu.

12. Wamechukizwa na kukerwa vibaya sana na elimu bure. Serikali ya awamu ya nne ilitangaza elimu bure kutoka chekechea hadi kidato cha sita. Lakini pia iliongeza fedha ya kujikimu kwa Wanafunzi wa vyuo. Hawa wanaona hii ni kete kwa Dkt Samia hivyo wanakwazika sana.

13. Wamechukizwa na Agribusiness, huko nyuma mtu kuitwa mkulima ilikuwa ni aibu. Lakini Serikali ya awamu ya sita imefanya mapinduzi makubwa kwenye kilimo ambapo leo mtu kuitwa mkulima ni fahari. Mwaka 2021 bajeti ya kilimo ilikuwa billion 200± leo hii bajeti ya kilimo ni Trillion 1.2. Lengo la Serikali ni kuona sasa tunaacha kuagiza mafuta ya kula nje lakini pia sukari maeneo ambayo Serikali ilikuwa inatumia fedha nyingi. Wenzetu wanakerwa na mradi wa BBT uliojiri vijana wengi na tunaona matokeo ya kilimo wanachofanya Chinangali na maeneo mengine nchini. Mbolea ya ruzuku imechangia kwa kiasi kikubwa uzalishaji mkubwa na wenye tija. Haya ndiyo yanawachukiza wenzetu.

14. Wanachukizwa na miradi ya kimkakati 901 yenye thamani ya Dola 127 ambapo mwaka 2021 tulikuwa na miradi ya kimkakati 93 TU yenye thamani ya Dola 1.6 bilioni TU. Hatuoni mapinduzi haya? Urasimu umepungua ndio maana watu wengi wanakimbilia TIC kutafuta fursa.

15. Wanachukizwa na ujenzi wa Daraja la TANZANITE walitaka lisijengwe.

16. Wanakwazika na makusanyo yaliyoongezeka pale bandarini fedha zinazosaidia kwenye miradi ya kimkakati na kuongeza mishahara kwa watumishi.

Pamoja na mengine mengi yanayowakera na kuwachukiza, haya ni machache kati ya mengi ambayo mahasimu wa Samia wanakwazika. Hakuna jambo jingine, wanateswa na mafanikio ya Dkt Samia. Walishajipanga kuwa atakwama. Walijaribu kumkwamisha lakini walishindwa. Kete iliyobaki ni hii wanayohangaika nayo ambayo nayo wamekwama.

October tunatiki.
Kweli kuna watu pumba zimejaa kichwani ,andiko reeeefu halafu limejaa mavi matupu.
 
Kwa kweli wewe ni chawa kipofu.

Watu wanalalamikia uovu uliopindukia unaofanywa na utawala wa wake, ukiwa moja kwa moja na baraka zake:

1. Kuwateka na kuwaua wanaomkosoa. Wewe unaona vitendo hivyo ni sahihi?

2. Kuwabambikia kesi za uwongo wapinzani wake wa kisiasa.

3 kupora na kuuza rasilimali za Tanganyika.

4. Kupora mamlaka ya wananchi kwa kuua demokrasia. Angalia alivyopora uchaguzi waSerikali za mitaa, akimtumia mkwe wake, Mchengerwa.

5. Kuwalazimisha TEC eti wamwondoe Fr Kitima kwenye nafasi ya katibu wa TEC wakitaka kuwa na uhusiano mzuri na serikali yake. Walivyokataa, akataka kumwua, kisa tu Fr. Kitima alipinga uporwaji wa bandari zetu.

6. Upendeleo uliovuka mipaka kwa Wazanzibari kwagharama ya Watanganyika. Amewaletea watanganyika mpaka maDC toka Zanzibar.

7. Uporwaji wa mbuga za wanyama na hifadhi za misitu asilia, na kisha kuwagawia watu wake toka Uarabuni.

8. Uporaji wa viwanja vya ndege vya Tanganyika, kisha kuwagawia waarabu.

Msitengeneze habari za kijinga mkiamini watanganyika wote ni wajinga.

Tylimpenda na kumtetea sana alipoanza, lakini kamwe hatuwezi kumwunga mkono kwa uovu wake uliopindukia anaoufanya sasa. Kwa sasa amekuwa chukizo kwa Taifa badala ya kuwa faraja.
 
October tunatiki.
Umesahau kuandika namba yako ya simu ili update uteuzi.

Usichokijua ni kwamba wakati wewe unatumia nguvu nyingi sana kutafuta uteuzi mpk unaamua kujidhalilisha kwa kuandika uvundo huu, akina Ridhiwani na Wanu wanapata uteuzi wakiwa wamelala.
 
KWA NINI DKT SAMIA ANACHUKIWA?

Na Elius Ndabila
0768239284


Hivi sasa, wakati mchakato wa uchaguzi unakaribia wamejitokeza baadhi ya Watanzania ambao ni WanaCCM na wengine Wanachama wa vyama vingine vya siasa kupeleka shutuma kadhaa kwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Dkt Samia Suluhu Hassan. Shutuma zao hazina maana na msingi wa shutuma, lawama, hila na husda hizi zilianza kusukwa mwaka 2021 baada tu ya Dkt Magufuli kufariki. Kuna watu wachafu ambao hawastahili kuwa na legality wala legitimacy ya kukosoa utawala huu wamejitokeza front kukosoa. Yaani shetani kupata bahati ya kuwa kwenye kundi la Malaika anataka kujibatiza kuwa yeye pia ni malaika.

Leo nitakupitisha kidogo juu mkakati wa mwaka 2021ambao ndo vita hii ambayo leo watu wanahaha kujitakatisha kuwa wao ni wasafi na mwisho nitakueleza sababu ambazo zinasababisha hawa watu kumchukia Dkt Samia na wengine wakisema asingeweza hata kuchukua fomu ya kugombea. Kwa ufupi hii ni vita yetu sisi WanaCCM na hawa waliopata bahati ya kupitia CCM. Akiguswa Mwenyekiti wa CCM imeguswa ni CCM. Hakuna mtu mwema anayeweza kukusema mbele ya watu, ukiona mtu anakusema mbele ya watu huyo si rafiki yako ni adui Yako ambaye na wewe unataki ukabiliane naye kwa njia yoyote unayodhani ni sahihi kumkabili. Hawa waliotaka kuvunja katiba mwaka 2021 walikwama, hata leo tunatakiwa kuwaonyesha kuwa wamekwama kwa vitendo.

Baada ya Rais wa awamu ya tano Dkt John Magufuli kufariki aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo Dkt Samia Suluhu Hassan aliapishwa tarehe 19/3/2021. Msingi wa uapisho huo unatokana na Ibara ya 36(5) ya Katibu ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania ya mwaka 1977 pamoja na marekebisho yake ya mara kwa mara. Hivyo uwepo wake ni takwa la kisheria na siyo vinginevyo.

Ninaomba nikupitishe kidogo juu ya kelele unazozisikia leo kuhusu Dkt Samia. Nitarejea juu ya minong'ono ya mtaani na minong'ono iliyotawala pale uwanja wa Taifa wakati wa kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli. Mimi ni sehemu ya Watanzania wachache tuliohudhuria kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli Uwanja wa Uhuru Dar es salaam. Nimesema ni sehemu ya Watanzania wachache kwani Watanzania zidi ya milioni 60 hawakupata neema hii.

Wakati wa kuaga mwili kulikuwa na minong'ono mingi pale uwanjani hata nje ya uwanja kuwa kuna viongozi walikuwa hawataki Dkt Samia aapishwe kuwa Rais. Walitaka watumie mbinu bandia/ kinyume na katiba ili watafute Rais wanayemtaka wao. Tetesi zilisema hao watu walijipanga kugawana madaraka.Haya ni maneno yalikuwa yakisemwa. Mimi niliamini ni uzushi hasa ukizingatia kukiwa na msiba kwenye jamii zetu maneno hayakosekani. Hivyo nilihisi ni uvumi wa uongo. Nimeanza kuamini kuwa tetesi hizo zilikuwa na ukweli kwa kuwa wengine ambao tetesi hizo zilikuwa zinawahusu leo hii wameibuka kusema kuwa Dkt Samia hastahili kuchukua fomu ya kugombea Urais. Kwa mantiki hii hizi hazikuwa tetesi tena kuna nadharia ya ukweli. Ninadhani waliokuwa wakinong'onezana uwanjani walikuwa wameoteshwa ukweli huo.

Lakini baada ya Mhe Rais kuapishwa yalianza tena kuzagaa maneno mtaani kuwa eti Rais hafiki December, sikufahamu hafiki kwa mantiki ipi? Lakini alifika December na sasa tunazungumza miaka minne. Tafsiri yake ni kuwa hili kundi lilijipanga lakini hawakujua kuwa wao wanapanga na Mungu anaamua. Ninaamini Watanzania wengine waliosikia hii minong'ono walifunga na kuomba ndio maana Taifa limevuka na Mama amevuka salama mpaka leo. Kinachotokea saizi ingekuwa ni nyumbani Ileje tungesema Mungu anawaadhibu sasa waliyokuwa wanafanya gizani wanafanya hadharani. Mungu anawaumbua...

Kundi hili baada ya kukwama kukanyaga katiba na Rais akaapishwa pia baada ya kukwama mbinu zao zingine yakiwepo madarasa ya siasa leo wamekuja na mkakati mpya ikiwa ni azma yao ile ile ya awali ambayo Mungu alilivusha Taifa salama.

Mhe Rais pamoja na mawimbi makubwa, dhoruba, hila, husda na njama nyingi za kumkwamisha bado amelifanya Taifa kuwa imara, tulivu na kuweka rekodi ya miradi mikubwa kutekelezwa na maendeleo kuonekana kwa macho. Nani asiyefahamu kuwa sasa kiwango Cha furaha kimeongezeka nchini?

Walidhani atakwama, lakini ameweza. Sababu ambazo zinawafanya hawa watu washinde kwenye vyombo vya habari kumshambulia Mhe Rais na Serikali yake yaani kujaribu kuonesha wao ni wema ni sababu zifuatazo:-

1. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa baada ya kuapishwa aliondoa tozo 232 ambazo zilikuwa zinawakwaza Wafanyabiashara na wengine walikuwa wamehamishia biashara zao nje ya nchi. Serikali ya awamu ya sita imejenga mazingira rafiki kwa Wafanyabiashara, mazingira ambayo yamechochea kuongezeka makusanyo ya kodi.

2. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa amefanikiwa kukuza Diplomasia na mataifa ya nje zikiwepo nchi za AFRIKA mashariki ambazo kuna wakati mahusiano yaliyumba. Rais Samia amefanikiwa kuifungua Tanzania katika Diplomasia ya kimataifa ambayo imechochea kuimalisha uchumi wa Taifa. Watalii wanakuja Tanzania sasa ni wengi sana ambao wanaongeza kuingiza fedha za kigeni.

3. Wanamchukia Rais Dkt Samia kwa kufanikiwa kumaliza ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere(JNHPP) ambalo wakati anaapishwa ujenzi wake ulikuwa umefikia 33%. Walidhani Mhe Rais ataachana na mradi huo mkubwa wa kimkakati. Kitendo cha Serikali ya awamu ya sita kumaliza ujenzi wa Bwawa hilo na kuanza kufanya kazi kimewachukiza sana hawa waliotaka nchi Iendelee kuwa gizani. Rais Samia akihutubia bunge kwa mara ya kwanza alisema atatekeleza miradi yote iliyoanzishwa na JPM. Watanzania aina hii hawakuelewa walisema hawezi, leo wanamchukia kwa kuwa ameweza.

4. Wamechukizwa sana Serikali ya awamu ya sita kukamilisha ujenzi wa Daraja la Magufuli (Kigogo-Busisi) ambalo mtangulizi wake aliliacha likiwa limefikia 16%. Leo Daraja limekwisha na kazi inaendelea. Hili jambo limewachukiza hawataki Dkt Samia achukue fomu wachukue wao ambao historia zao hazijulikani ndani ya Chama na Serikali. Walitaka lisijengwe ili wafurahie kuwa amekwama.

5. Wamechukizwa sana Rais Samia kuendelea kusimamia maono ya hayati JPM ya kufufua na kuimarisha shirika la ndege la ATCL kwa kununua ndege zingine tano ikiwepo ndege ya mizigo aina ya Boing 767-300F. Kuendelea kujenga na kuboresha viwanja vya ndege hapa nchini. Hili ni kero kubwa kwao na kuongeza uhasama kwa Rais wa nchi. Rais Samia aliposema Mimi na JPM tulikuwa kitu kimoja hawakuelewa.

6. Wamechukizwa sana na Mhe Rais kufufua mradi wa NHC kote nchini kwa mfano ule wa Morocco Square ulioanzishwa na kukwama mwaka 2018 yeye ameufufua na kuumaliza. Mradi wa Kawe, Mradi wa Samia Housing wa nyumba 5000 katika maeneo mbalimbali nchini. NHC ilianzishwa mwaka 1962 kwa Sheria ya Bunge namba 45 kwa kuhakikisha Watanzania wanapata makazi bora. Mageuzi makubwa ya kihistoria yalifanyika mwaka 1990 na 2008, Mhe Rais Samia amekuja kulisimamia hili kwa vitendo. Hii imekuwa karaha kwa ndugu zetu hawa waliojipanga mwaka 2021.


7. Wanamchukia Rais Samia kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya barabara. Ukipita Wilaya zote Tanzania ardhi inaomboleza kwa namna Mitambo inavyoendelea kuitindua ardhi na kujenga barabara nzuri za rami na changarawe. Kwa mara ya kwanza Tangu Tanzania ipate Uhuru, Serikali ya awamu ya sita ilitoa milioni 500 katika kila halmashauri kwa ajili ya barabara za vijijini. Wamechukia kuona fedha hizi zinaenda kuwasaidia Wananchi wanyonge kwa kurahisisha usafiri na usafirishaji.

8. Wamechukizwa na Mhe Rais kwa kuboresha miundombinu ya shule. Serikali ya awamu ya sita imekarabati shule za zamani, imejenga shule mpya, imeongeza nyumba za Walimu na imeweza kuajiri Walimu kwa mara ya kwanza mara baada ya ajira hizi kustishwa toka mwaka 2015. Shule nyingi zilikuwa zimechoka lakini awamu hii zimeboreshwa. Haitoshi zinajengwa shule shikizi ikiwa ni mkakati wa Serikali kuinua elimu nchini na kupunguza changamoto za watoto shuleni.

9. Wanachukizwa sana na uboreshaji wa Afya. Miaka michache iliyopita watu walikuwa wanapishana angani kwenda kutibiwa India. Serikali ya awamu ya sita si tu imeongeza ujenzi wa vituo vya huduma ya Afya kwa maana Hospital, Vituo vya Afya na Zahanati kila mahali, rahasha! Rais Samia ameweza kununua pia vifaa vya hospitali. Tangu tupate Uhuru tulikuwa na MRI 7 TU, lakini Dkt Samia kwa miaka 4 amenunua MRI 6. Sijui unaelewa? Tangu tupate Uhuru tulikuwa na CT scan 13 lakini Dkt Samia kwa miaka minne amenunua CT scan 32. Tunaelewana? Unadhani kwa kasi hii wanakingine cha kusema zaidi ya ajenda ambazo hazina miguu wala vichwa. Hii ni mifano michache ambayo nimeona nikupe tu uelewa mdogo.


10. Wamechukizwa sana utawala bora. Kwa miaka minne tumeona nguzo zote za utawala bora zikifanya kazi. Watu wanafanya siasa, Waandishi wa habari wanafanya kazi zao kwa kuzingatia Sheria za nchi, Watu makazini wanaadhibiwa kwa kufuata Sheria, Mahakama zinafanya majukumu yake n.k Mahali ambapo hakuna utawala bora basi hofu inakuwa ni maisha ya kawaida ya watu. Hawataki utawala bora wanataka monopoly
11. Wamechukizwa sana kushusha kwa riba ya mikopo ya Wanafunzi wa vyuo vikuu ambayo imeshuka kutoka 14% mpaka single digit (7%). Hii ilikuwa ni kero kwa wasomi ambao ni wanufaika wa bodi ya mikopo. Tukumbuke 100% ya wanufaika wa mikopo hii ni watu wanaotoka familia masikini na za kati. Unapomtoza 14% ni kumfanya aendelee kuwa masikini zaidi na kuona kukopa ni adhabu.

12. Wamechukizwa na kukerwa vibaya sana na elimu bure. Serikali ya awamu ya nne ilitangaza elimu bure kutoka chekechea hadi kidato cha sita. Lakini pia iliongeza fedha ya kujikimu kwa Wanafunzi wa vyuo. Hawa wanaona hii ni kete kwa Dkt Samia hivyo wanakwazika sana.

13. Wamechukizwa na Agribusiness, huko nyuma mtu kuitwa mkulima ilikuwa ni aibu. Lakini Serikali ya awamu ya sita imefanya mapinduzi makubwa kwenye kilimo ambapo leo mtu kuitwa mkulima ni fahari. Mwaka 2021 bajeti ya kilimo ilikuwa billion 200± leo hii bajeti ya kilimo ni Trillion 1.2. Lengo la Serikali ni kuona sasa tunaacha kuagiza mafuta ya kula nje lakini pia sukari maeneo ambayo Serikali ilikuwa inatumia fedha nyingi. Wenzetu wanakerwa na mradi wa BBT uliojiri vijana wengi na tunaona matokeo ya kilimo wanachofanya Chinangali na maeneo mengine nchini. Mbolea ya ruzuku imechangia kwa kiasi kikubwa uzalishaji mkubwa na wenye tija. Haya ndiyo yanawachukiza wenzetu.

14. Wanachukizwa na miradi ya kimkakati 901 yenye thamani ya Dola 127 ambapo mwaka 2021 tulikuwa na miradi ya kimkakati 93 TU yenye thamani ya Dola 1.6 bilioni TU. Hatuoni mapinduzi haya? Urasimu umepungua ndio maana watu wengi wanakimbilia TIC kutafuta fursa.

15. Wanachukizwa na ujenzi wa Daraja la TANZANITE walitaka lisijengwe.

16. Wanakwazika na makusanyo yaliyoongezeka pale bandarini fedha zinazosaidia kwenye miradi ya kimkakati na kuongeza mishahara kwa watumishi.

Pamoja na mengine mengi yanayowakera na kuwachukiza, haya ni machache kati ya mengi ambayo mahasimu wa Samia wanakwazika. Hakuna jambo jingine, wanateswa na mafanikio ya Dkt Samia. Walishajipanga kuwa atakwama. Walijaribu kumkwamisha lakini walishindwa. Kete iliyobaki ni hii wanayohangaika nayo ambayo nayo wamekwama.

October tunatiki.

Utekaji, utesaji na kupotezwa kwa watu (hasa wakosoaji au wanaotoa hoja tofauti na watawala) ni mojawapo ya masuala ambayo hao unaosema wanachuki na rais wanayakemea kwa sababu wanasema yanamharibia rais sifa ndani na nje ya nchi, je hilo nalo ni chuki?
 
KWA NINI DKT SAMIA ANACHUKIWA?

Na Elius Ndabila
0768239284


Hivi sasa, wakati mchakato wa uchaguzi unakaribia wamejitokeza baadhi ya Watanzania ambao ni WanaCCM na wengine Wanachama wa vyama vingine vya siasa kupeleka shutuma kadhaa kwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Dkt Samia Suluhu Hassan. Shutuma zao hazina maana na msingi wa shutuma, lawama, hila na husda hizi zilianza kusukwa mwaka 2021 baada tu ya Dkt Magufuli kufariki. Kuna watu wachafu ambao hawastahili kuwa na legality wala legitimacy ya kukosoa utawala huu wamejitokeza front kukosoa. Yaani shetani kupata bahati ya kuwa kwenye kundi la Malaika anataka kujibatiza kuwa yeye pia ni malaika.

Leo nitakupitisha kidogo juu mkakati wa mwaka 2021ambao ndo vita hii ambayo leo watu wanahaha kujitakatisha kuwa wao ni wasafi na mwisho nitakueleza sababu ambazo zinasababisha hawa watu kumchukia Dkt Samia na wengine wakisema asingeweza hata kuchukua fomu ya kugombea. Kwa ufupi hii ni vita yetu sisi WanaCCM na hawa waliopata bahati ya kupitia CCM. Akiguswa Mwenyekiti wa CCM imeguswa ni CCM. Hakuna mtu mwema anayeweza kukusema mbele ya watu, ukiona mtu anakusema mbele ya watu huyo si rafiki yako ni adui Yako ambaye na wewe unataki ukabiliane naye kwa njia yoyote unayodhani ni sahihi kumkabili. Hawa waliotaka kuvunja katiba mwaka 2021 walikwama, hata leo tunatakiwa kuwaonyesha kuwa wamekwama kwa vitendo.

Baada ya Rais wa awamu ya tano Dkt John Magufuli kufariki aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo Dkt Samia Suluhu Hassan aliapishwa tarehe 19/3/2021. Msingi wa uapisho huo unatokana na Ibara ya 36(5) ya Katibu ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania ya mwaka 1977 pamoja na marekebisho yake ya mara kwa mara. Hivyo uwepo wake ni takwa la kisheria na siyo vinginevyo.

Ninaomba nikupitishe kidogo juu ya kelele unazozisikia leo kuhusu Dkt Samia. Nitarejea juu ya minong'ono ya mtaani na minong'ono iliyotawala pale uwanja wa Taifa wakati wa kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli. Mimi ni sehemu ya Watanzania wachache tuliohudhuria kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli Uwanja wa Uhuru Dar es salaam. Nimesema ni sehemu ya Watanzania wachache kwani Watanzania zidi ya milioni 60 hawakupata neema hii.

Wakati wa kuaga mwili kulikuwa na minong'ono mingi pale uwanjani hata nje ya uwanja kuwa kuna viongozi walikuwa hawataki Dkt Samia aapishwe kuwa Rais. Walitaka watumie mbinu bandia/ kinyume na katiba ili watafute Rais wanayemtaka wao. Tetesi zilisema hao watu walijipanga kugawana madaraka.Haya ni maneno yalikuwa yakisemwa. Mimi niliamini ni uzushi hasa ukizingatia kukiwa na msiba kwenye jamii zetu maneno hayakosekani. Hivyo nilihisi ni uvumi wa uongo. Nimeanza kuamini kuwa tetesi hizo zilikuwa na ukweli kwa kuwa wengine ambao tetesi hizo zilikuwa zinawahusu leo hii wameibuka kusema kuwa Dkt Samia hastahili kuchukua fomu ya kugombea Urais. Kwa mantiki hii hizi hazikuwa tetesi tena kuna nadharia ya ukweli. Ninadhani waliokuwa wakinong'onezana uwanjani walikuwa wameoteshwa ukweli huo.

Lakini baada ya Mhe Rais kuapishwa yalianza tena kuzagaa maneno mtaani kuwa eti Rais hafiki December, sikufahamu hafiki kwa mantiki ipi? Lakini alifika December na sasa tunazungumza miaka minne. Tafsiri yake ni kuwa hili kundi lilijipanga lakini hawakujua kuwa wao wanapanga na Mungu anaamua. Ninaamini Watanzania wengine waliosikia hii minong'ono walifunga na kuomba ndio maana Taifa limevuka na Mama amevuka salama mpaka leo. Kinachotokea saizi ingekuwa ni nyumbani Ileje tungesema Mungu anawaadhibu sasa waliyokuwa wanafanya gizani wanafanya hadharani. Mungu anawaumbua...

Kundi hili baada ya kukwama kukanyaga katiba na Rais akaapishwa pia baada ya kukwama mbinu zao zingine yakiwepo madarasa ya siasa leo wamekuja na mkakati mpya ikiwa ni azma yao ile ile ya awali ambayo Mungu alilivusha Taifa salama.

Mhe Rais pamoja na mawimbi makubwa, dhoruba, hila, husda na njama nyingi za kumkwamisha bado amelifanya Taifa kuwa imara, tulivu na kuweka rekodi ya miradi mikubwa kutekelezwa na maendeleo kuonekana kwa macho. Nani asiyefahamu kuwa sasa kiwango Cha furaha kimeongezeka nchini?

Walidhani atakwama, lakini ameweza. Sababu ambazo zinawafanya hawa watu washinde kwenye vyombo vya habari kumshambulia Mhe Rais na Serikali yake yaani kujaribu kuonesha wao ni wema ni sababu zifuatazo:-

1. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa baada ya kuapishwa aliondoa tozo 232 ambazo zilikuwa zinawakwaza Wafanyabiashara na wengine walikuwa wamehamishia biashara zao nje ya nchi. Serikali ya awamu ya sita imejenga mazingira rafiki kwa Wafanyabiashara, mazingira ambayo yamechochea kuongezeka makusanyo ya kodi.

2. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa amefanikiwa kukuza Diplomasia na mataifa ya nje zikiwepo nchi za AFRIKA mashariki ambazo kuna wakati mahusiano yaliyumba. Rais Samia amefanikiwa kuifungua Tanzania katika Diplomasia ya kimataifa ambayo imechochea kuimalisha uchumi wa Taifa. Watalii wanakuja Tanzania sasa ni wengi sana ambao wanaongeza kuingiza fedha za kigeni.

3. Wanamchukia Rais Dkt Samia kwa kufanikiwa kumaliza ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere(JNHPP) ambalo wakati anaapishwa ujenzi wake ulikuwa umefikia 33%. Walidhani Mhe Rais ataachana na mradi huo mkubwa wa kimkakati. Kitendo cha Serikali ya awamu ya sita kumaliza ujenzi wa Bwawa hilo na kuanza kufanya kazi kimewachukiza sana hawa waliotaka nchi Iendelee kuwa gizani. Rais Samia akihutubia bunge kwa mara ya kwanza alisema atatekeleza miradi yote iliyoanzishwa na JPM. Watanzania aina hii hawakuelewa walisema hawezi, leo wanamchukia kwa kuwa ameweza.

4. Wamechukizwa sana Serikali ya awamu ya sita kukamilisha ujenzi wa Daraja la Magufuli (Kigogo-Busisi) ambalo mtangulizi wake aliliacha likiwa limefikia 16%. Leo Daraja limekwisha na kazi inaendelea. Hili jambo limewachukiza hawataki Dkt Samia achukue fomu wachukue wao ambao historia zao hazijulikani ndani ya Chama na Serikali. Walitaka lisijengwe ili wafurahie kuwa amekwama.

5. Wamechukizwa sana Rais Samia kuendelea kusimamia maono ya hayati JPM ya kufufua na kuimarisha shirika la ndege la ATCL kwa kununua ndege zingine tano ikiwepo ndege ya mizigo aina ya Boing 767-300F. Kuendelea kujenga na kuboresha viwanja vya ndege hapa nchini. Hili ni kero kubwa kwao na kuongeza uhasama kwa Rais wa nchi. Rais Samia aliposema Mimi na JPM tulikuwa kitu kimoja hawakuelewa.

6. Wamechukizwa sana na Mhe Rais kufufua mradi wa NHC kote nchini kwa mfano ule wa Morocco Square ulioanzishwa na kukwama mwaka 2018 yeye ameufufua na kuumaliza. Mradi wa Kawe, Mradi wa Samia Housing wa nyumba 5000 katika maeneo mbalimbali nchini. NHC ilianzishwa mwaka 1962 kwa Sheria ya Bunge namba 45 kwa kuhakikisha Watanzania wanapata makazi bora. Mageuzi makubwa ya kihistoria yalifanyika mwaka 1990 na 2008, Mhe Rais Samia amekuja kulisimamia hili kwa vitendo. Hii imekuwa karaha kwa ndugu zetu hawa waliojipanga mwaka 2021.


7. Wanamchukia Rais Samia kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya barabara. Ukipita Wilaya zote Tanzania ardhi inaomboleza kwa namna Mitambo inavyoendelea kuitindua ardhi na kujenga barabara nzuri za rami na changarawe. Kwa mara ya kwanza Tangu Tanzania ipate Uhuru, Serikali ya awamu ya sita ilitoa milioni 500 katika kila halmashauri kwa ajili ya barabara za vijijini. Wamechukia kuona fedha hizi zinaenda kuwasaidia Wananchi wanyonge kwa kurahisisha usafiri na usafirishaji.

8. Wamechukizwa na Mhe Rais kwa kuboresha miundombinu ya shule. Serikali ya awamu ya sita imekarabati shule za zamani, imejenga shule mpya, imeongeza nyumba za Walimu na imeweza kuajiri Walimu kwa mara ya kwanza mara baada ya ajira hizi kustishwa toka mwaka 2015. Shule nyingi zilikuwa zimechoka lakini awamu hii zimeboreshwa. Haitoshi zinajengwa shule shikizi ikiwa ni mkakati wa Serikali kuinua elimu nchini na kupunguza changamoto za watoto shuleni.

9. Wanachukizwa sana na uboreshaji wa Afya. Miaka michache iliyopita watu walikuwa wanapishana angani kwenda kutibiwa India. Serikali ya awamu ya sita si tu imeongeza ujenzi wa vituo vya huduma ya Afya kwa maana Hospital, Vituo vya Afya na Zahanati kila mahali, rahasha! Rais Samia ameweza kununua pia vifaa vya hospitali. Tangu tupate Uhuru tulikuwa na MRI 7 TU, lakini Dkt Samia kwa miaka 4 amenunua MRI 6. Sijui unaelewa? Tangu tupate Uhuru tulikuwa na CT scan 13 lakini Dkt Samia kwa miaka minne amenunua CT scan 32. Tunaelewana? Unadhani kwa kasi hii wanakingine cha kusema zaidi ya ajenda ambazo hazina miguu wala vichwa. Hii ni mifano michache ambayo nimeona nikupe tu uelewa mdogo.


10. Wamechukizwa sana utawala bora. Kwa miaka minne tumeona nguzo zote za utawala bora zikifanya kazi. Watu wanafanya siasa, Waandishi wa habari wanafanya kazi zao kwa kuzingatia Sheria za nchi, Watu makazini wanaadhibiwa kwa kufuata Sheria, Mahakama zinafanya majukumu yake n.k Mahali ambapo hakuna utawala bora basi hofu inakuwa ni maisha ya kawaida ya watu. Hawataki utawala bora wanataka monopoly
11. Wamechukizwa sana kushusha kwa riba ya mikopo ya Wanafunzi wa vyuo vikuu ambayo imeshuka kutoka 14% mpaka single digit (7%). Hii ilikuwa ni kero kwa wasomi ambao ni wanufaika wa bodi ya mikopo. Tukumbuke 100% ya wanufaika wa mikopo hii ni watu wanaotoka familia masikini na za kati. Unapomtoza 14% ni kumfanya aendelee kuwa masikini zaidi na kuona kukopa ni adhabu.

12. Wamechukizwa na kukerwa vibaya sana na elimu bure. Serikali ya awamu ya nne ilitangaza elimu bure kutoka chekechea hadi kidato cha sita. Lakini pia iliongeza fedha ya kujikimu kwa Wanafunzi wa vyuo. Hawa wanaona hii ni kete kwa Dkt Samia hivyo wanakwazika sana.

13. Wamechukizwa na Agribusiness, huko nyuma mtu kuitwa mkulima ilikuwa ni aibu. Lakini Serikali ya awamu ya sita imefanya mapinduzi makubwa kwenye kilimo ambapo leo mtu kuitwa mkulima ni fahari. Mwaka 2021 bajeti ya kilimo ilikuwa billion 200± leo hii bajeti ya kilimo ni Trillion 1.2. Lengo la Serikali ni kuona sasa tunaacha kuagiza mafuta ya kula nje lakini pia sukari maeneo ambayo Serikali ilikuwa inatumia fedha nyingi. Wenzetu wanakerwa na mradi wa BBT uliojiri vijana wengi na tunaona matokeo ya kilimo wanachofanya Chinangali na maeneo mengine nchini. Mbolea ya ruzuku imechangia kwa kiasi kikubwa uzalishaji mkubwa na wenye tija. Haya ndiyo yanawachukiza wenzetu.

14. Wanachukizwa na miradi ya kimkakati 901 yenye thamani ya Dola 127 ambapo mwaka 2021 tulikuwa na miradi ya kimkakati 93 TU yenye thamani ya Dola 1.6 bilioni TU. Hatuoni mapinduzi haya? Urasimu umepungua ndio maana watu wengi wanakimbilia TIC kutafuta fursa.

15. Wanachukizwa na ujenzi wa Daraja la TANZANITE walitaka lisijengwe.

16. Wanakwazika na makusanyo yaliyoongezeka pale bandarini fedha zinazosaidia kwenye miradi ya kimkakati na kuongeza mishahara kwa watumishi.

Pamoja na mengine mengi yanayowakera na kuwachukiza, haya ni machache kati ya mengi ambayo mahasimu wa Samia wanakwazika. Hakuna jambo jingine, wanateswa na mafanikio ya Dkt Samia. Walishajipanga kuwa atakwama. Walijaribu kumkwamisha lakini walishindwa. Kete iliyobaki ni hii wanayohangaika nayo ambayo nayo wamekwama.

October tunatiki.
Repeating same stupid bullshit as always nothing new.
 
idara za usalama zinatakiwa kupewa mafunzo maalum, yasiwe uzendo tu,ila viapo vyao viangalie zaidi udhibiti wa makundi kwenye siaza na uongozi.

makundi yamekua mengi,na yote yananguvu na yanaweza pia kutafuta nguvu hata kwingine ilimladi kuhasimiana na kupingana. huu ugonjwa wa makundi unaendelea kukua siku hadi siku na ni hatari kwa kizazi kinachokuja kwenye nchi yetu.

wakiendelea kushangaa itafikia hata idara za usalama nazo zitajenga makundi na mwisho nchi haitakalika.
 
KWA NINI DKT SAMIA ANACHUKIWA?

Na Elius Ndabila
0768239284


Hivi sasa, wakati mchakato wa uchaguzi unakaribia wamejitokeza baadhi ya Watanzania ambao ni WanaCCM na wengine Wanachama wa vyama vingine vya siasa kupeleka shutuma kadhaa kwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Dkt Samia Suluhu Hassan. Shutuma zao hazina maana na msingi wa shutuma, lawama, hila na husda hizi zilianza kusukwa mwaka 2021 baada tu ya Dkt Magufuli kufariki. Kuna watu wachafu ambao hawastahili kuwa na legality wala legitimacy ya kukosoa utawala huu wamejitokeza front kukosoa. Yaani shetani kupata bahati ya kuwa kwenye kundi la Malaika anataka kujibatiza kuwa yeye pia ni malaika.

Leo nitakupitisha kidogo juu mkakati wa mwaka 2021ambao ndo vita hii ambayo leo watu wanahaha kujitakatisha kuwa wao ni wasafi na mwisho nitakueleza sababu ambazo zinasababisha hawa watu kumchukia Dkt Samia na wengine wakisema asingeweza hata kuchukua fomu ya kugombea. Kwa ufupi hii ni vita yetu sisi WanaCCM na hawa waliopata bahati ya kupitia CCM. Akiguswa Mwenyekiti wa CCM imeguswa ni CCM. Hakuna mtu mwema anayeweza kukusema mbele ya watu, ukiona mtu anakusema mbele ya watu huyo si rafiki yako ni adui Yako ambaye na wewe unataki ukabiliane naye kwa njia yoyote unayodhani ni sahihi kumkabili. Hawa waliotaka kuvunja katiba mwaka 2021 walikwama, hata leo tunatakiwa kuwaonyesha kuwa wamekwama kwa vitendo.

Baada ya Rais wa awamu ya tano Dkt John Magufuli kufariki aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo Dkt Samia Suluhu Hassan aliapishwa tarehe 19/3/2021. Msingi wa uapisho huo unatokana na Ibara ya 36(5) ya Katibu ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania ya mwaka 1977 pamoja na marekebisho yake ya mara kwa mara. Hivyo uwepo wake ni takwa la kisheria na siyo vinginevyo.

Ninaomba nikupitishe kidogo juu ya kelele unazozisikia leo kuhusu Dkt Samia. Nitarejea juu ya minong'ono ya mtaani na minong'ono iliyotawala pale uwanja wa Taifa wakati wa kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli. Mimi ni sehemu ya Watanzania wachache tuliohudhuria kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli Uwanja wa Uhuru Dar es salaam. Nimesema ni sehemu ya Watanzania wachache kwani Watanzania zidi ya milioni 60 hawakupata neema hii.

Wakati wa kuaga mwili kulikuwa na minong'ono mingi pale uwanjani hata nje ya uwanja kuwa kuna viongozi walikuwa hawataki Dkt Samia aapishwe kuwa Rais. Walitaka watumie mbinu bandia/ kinyume na katiba ili watafute Rais wanayemtaka wao. Tetesi zilisema hao watu walijipanga kugawana madaraka.Haya ni maneno yalikuwa yakisemwa. Mimi niliamini ni uzushi hasa ukizingatia kukiwa na msiba kwenye jamii zetu maneno hayakosekani. Hivyo nilihisi ni uvumi wa uongo. Nimeanza kuamini kuwa tetesi hizo zilikuwa na ukweli kwa kuwa wengine ambao tetesi hizo zilikuwa zinawahusu leo hii wameibuka kusema kuwa Dkt Samia hastahili kuchukua fomu ya kugombea Urais. Kwa mantiki hii hizi hazikuwa tetesi tena kuna nadharia ya ukweli. Ninadhani waliokuwa wakinong'onezana uwanjani walikuwa wameoteshwa ukweli huo.

Lakini baada ya Mhe Rais kuapishwa yalianza tena kuzagaa maneno mtaani kuwa eti Rais hafiki December, sikufahamu hafiki kwa mantiki ipi? Lakini alifika December na sasa tunazungumza miaka minne. Tafsiri yake ni kuwa hili kundi lilijipanga lakini hawakujua kuwa wao wanapanga na Mungu anaamua. Ninaamini Watanzania wengine waliosikia hii minong'ono walifunga na kuomba ndio maana Taifa limevuka na Mama amevuka salama mpaka leo. Kinachotokea saizi ingekuwa ni nyumbani Ileje tungesema Mungu anawaadhibu sasa waliyokuwa wanafanya gizani wanafanya hadharani. Mungu anawaumbua...

Kundi hili baada ya kukwama kukanyaga katiba na Rais akaapishwa pia baada ya kukwama mbinu zao zingine yakiwepo madarasa ya siasa leo wamekuja na mkakati mpya ikiwa ni azma yao ile ile ya awali ambayo Mungu alilivusha Taifa salama.

Mhe Rais pamoja na mawimbi makubwa, dhoruba, hila, husda na njama nyingi za kumkwamisha bado amelifanya Taifa kuwa imara, tulivu na kuweka rekodi ya miradi mikubwa kutekelezwa na maendeleo kuonekana kwa macho. Nani asiyefahamu kuwa sasa kiwango Cha furaha kimeongezeka nchini?

Walidhani atakwama, lakini ameweza. Sababu ambazo zinawafanya hawa watu washinde kwenye vyombo vya habari kumshambulia Mhe Rais na Serikali yake yaani kujaribu kuonesha wao ni wema ni sababu zifuatazo:-

1. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa baada ya kuapishwa aliondoa tozo 232 ambazo zilikuwa zinawakwaza Wafanyabiashara na wengine walikuwa wamehamishia biashara zao nje ya nchi. Serikali ya awamu ya sita imejenga mazingira rafiki kwa Wafanyabiashara, mazingira ambayo yamechochea kuongezeka makusanyo ya kodi.

2. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa amefanikiwa kukuza Diplomasia na mataifa ya nje zikiwepo nchi za AFRIKA mashariki ambazo kuna wakati mahusiano yaliyumba. Rais Samia amefanikiwa kuifungua Tanzania katika Diplomasia ya kimataifa ambayo imechochea kuimalisha uchumi wa Taifa. Watalii wanakuja Tanzania sasa ni wengi sana ambao wanaongeza kuingiza fedha za kigeni.

3. Wanamchukia Rais Dkt Samia kwa kufanikiwa kumaliza ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere(JNHPP) ambalo wakati anaapishwa ujenzi wake ulikuwa umefikia 33%. Walidhani Mhe Rais ataachana na mradi huo mkubwa wa kimkakati. Kitendo cha Serikali ya awamu ya sita kumaliza ujenzi wa Bwawa hilo na kuanza kufanya kazi kimewachukiza sana hawa waliotaka nchi Iendelee kuwa gizani. Rais Samia akihutubia bunge kwa mara ya kwanza alisema atatekeleza miradi yote iliyoanzishwa na JPM. Watanzania aina hii hawakuelewa walisema hawezi, leo wanamchukia kwa kuwa ameweza.

4. Wamechukizwa sana Serikali ya awamu ya sita kukamilisha ujenzi wa Daraja la Magufuli (Kigogo-Busisi) ambalo mtangulizi wake aliliacha likiwa limefikia 16%. Leo Daraja limekwisha na kazi inaendelea. Hili jambo limewachukiza hawataki Dkt Samia achukue fomu wachukue wao ambao historia zao hazijulikani ndani ya Chama na Serikali. Walitaka lisijengwe ili wafurahie kuwa amekwama.

5. Wamechukizwa sana Rais Samia kuendelea kusimamia maono ya hayati JPM ya kufufua na kuimarisha shirika la ndege la ATCL kwa kununua ndege zingine tano ikiwepo ndege ya mizigo aina ya Boing 767-300F. Kuendelea kujenga na kuboresha viwanja vya ndege hapa nchini. Hili ni kero kubwa kwao na kuongeza uhasama kwa Rais wa nchi. Rais Samia aliposema Mimi na JPM tulikuwa kitu kimoja hawakuelewa.

6. Wamechukizwa sana na Mhe Rais kufufua mradi wa NHC kote nchini kwa mfano ule wa Morocco Square ulioanzishwa na kukwama mwaka 2018 yeye ameufufua na kuumaliza. Mradi wa Kawe, Mradi wa Samia Housing wa nyumba 5000 katika maeneo mbalimbali nchini. NHC ilianzishwa mwaka 1962 kwa Sheria ya Bunge namba 45 kwa kuhakikisha Watanzania wanapata makazi bora. Mageuzi makubwa ya kihistoria yalifanyika mwaka 1990 na 2008, Mhe Rais Samia amekuja kulisimamia hili kwa vitendo. Hii imekuwa karaha kwa ndugu zetu hawa waliojipanga mwaka 2021.


7. Wanamchukia Rais Samia kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya barabara. Ukipita Wilaya zote Tanzania ardhi inaomboleza kwa namna Mitambo inavyoendelea kuitindua ardhi na kujenga barabara nzuri za rami na changarawe. Kwa mara ya kwanza Tangu Tanzania ipate Uhuru, Serikali ya awamu ya sita ilitoa milioni 500 katika kila halmashauri kwa ajili ya barabara za vijijini. Wamechukia kuona fedha hizi zinaenda kuwasaidia Wananchi wanyonge kwa kurahisisha usafiri na usafirishaji.

8. Wamechukizwa na Mhe Rais kwa kuboresha miundombinu ya shule. Serikali ya awamu ya sita imekarabati shule za zamani, imejenga shule mpya, imeongeza nyumba za Walimu na imeweza kuajiri Walimu kwa mara ya kwanza mara baada ya ajira hizi kustishwa toka mwaka 2015. Shule nyingi zilikuwa zimechoka lakini awamu hii zimeboreshwa. Haitoshi zinajengwa shule shikizi ikiwa ni mkakati wa Serikali kuinua elimu nchini na kupunguza changamoto za watoto shuleni.

9. Wanachukizwa sana na uboreshaji wa Afya. Miaka michache iliyopita watu walikuwa wanapishana angani kwenda kutibiwa India. Serikali ya awamu ya sita si tu imeongeza ujenzi wa vituo vya huduma ya Afya kwa maana Hospital, Vituo vya Afya na Zahanati kila mahali, rahasha! Rais Samia ameweza kununua pia vifaa vya hospitali. Tangu tupate Uhuru tulikuwa na MRI 7 TU, lakini Dkt Samia kwa miaka 4 amenunua MRI 6. Sijui unaelewa? Tangu tupate Uhuru tulikuwa na CT scan 13 lakini Dkt Samia kwa miaka minne amenunua CT scan 32. Tunaelewana? Unadhani kwa kasi hii wanakingine cha kusema zaidi ya ajenda ambazo hazina miguu wala vichwa. Hii ni mifano michache ambayo nimeona nikupe tu uelewa mdogo.


10. Wamechukizwa sana utawala bora. Kwa miaka minne tumeona nguzo zote za utawala bora zikifanya kazi. Watu wanafanya siasa, Waandishi wa habari wanafanya kazi zao kwa kuzingatia Sheria za nchi, Watu makazini wanaadhibiwa kwa kufuata Sheria, Mahakama zinafanya majukumu yake n.k Mahali ambapo hakuna utawala bora basi hofu inakuwa ni maisha ya kawaida ya watu. Hawataki utawala bora wanataka monopoly
11. Wamechukizwa sana kushusha kwa riba ya mikopo ya Wanafunzi wa vyuo vikuu ambayo imeshuka kutoka 14% mpaka single digit (7%). Hii ilikuwa ni kero kwa wasomi ambao ni wanufaika wa bodi ya mikopo. Tukumbuke 100% ya wanufaika wa mikopo hii ni watu wanaotoka familia masikini na za kati. Unapomtoza 14% ni kumfanya aendelee kuwa masikini zaidi na kuona kukopa ni adhabu.

12. Wamechukizwa na kukerwa vibaya sana na elimu bure. Serikali ya awamu ya nne ilitangaza elimu bure kutoka chekechea hadi kidato cha sita. Lakini pia iliongeza fedha ya kujikimu kwa Wanafunzi wa vyuo. Hawa wanaona hii ni kete kwa Dkt Samia hivyo wanakwazika sana.

13. Wamechukizwa na Agribusiness, huko nyuma mtu kuitwa mkulima ilikuwa ni aibu. Lakini Serikali ya awamu ya sita imefanya mapinduzi makubwa kwenye kilimo ambapo leo mtu kuitwa mkulima ni fahari. Mwaka 2021 bajeti ya kilimo ilikuwa billion 200± leo hii bajeti ya kilimo ni Trillion 1.2. Lengo la Serikali ni kuona sasa tunaacha kuagiza mafuta ya kula nje lakini pia sukari maeneo ambayo Serikali ilikuwa inatumia fedha nyingi. Wenzetu wanakerwa na mradi wa BBT uliojiri vijana wengi na tunaona matokeo ya kilimo wanachofanya Chinangali na maeneo mengine nchini. Mbolea ya ruzuku imechangia kwa kiasi kikubwa uzalishaji mkubwa na wenye tija. Haya ndiyo yanawachukiza wenzetu.

14. Wanachukizwa na miradi ya kimkakati 901 yenye thamani ya Dola 127 ambapo mwaka 2021 tulikuwa na miradi ya kimkakati 93 TU yenye thamani ya Dola 1.6 bilioni TU. Hatuoni mapinduzi haya? Urasimu umepungua ndio maana watu wengi wanakimbilia TIC kutafuta fursa.

15. Wanachukizwa na ujenzi wa Daraja la TANZANITE walitaka lisijengwe.

16. Wanakwazika na makusanyo yaliyoongezeka pale bandarini fedha zinazosaidia kwenye miradi ya kimkakati na kuongeza mishahara kwa watumishi.

Pamoja na mengine mengi yanayowakera na kuwachukiza, haya ni machache kati ya mengi ambayo mahasimu wa Samia wanakwazika. Hakuna jambo jingine, wanateswa na mafanikio ya Dkt Samia. Walishajipanga kuwa atakwama. Walijaribu kumkwamisha lakini walishindwa. Kete iliyobaki ni hii wanayohangaika nayo ambayo nayo wamekwama.

October tunatiki.
Hata sijasoma
 
Hii nchi yawezekana ina vichaa wengi kuliko tunaowaona mtaani
Ok nipe utofauti uliopo baada ya ujenzi wa bwawa kukamilika na kabla
Leo hii huku kwetu kila siku tupo gizan
 
Back
Top Bottom