GE2025 Sababu za wanaompinga Dkt. Samia

GE2025 Sababu za wanaompinga Dkt. Samia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
KWA NINI DKT SAMIA ANACHUKIWA?

Na Elius Ndabila
0768239284


Hivi sasa, wakati mchakato wa uchaguzi unakaribia wamejitokeza baadhi ya Watanzania ambao ni WanaCCM na wengine Wanachama wa vyama vingine vya siasa kupeleka shutuma kadhaa kwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Dkt Samia Suluhu Hassan. Shutuma zao hazina maana na msingi wa shutuma, lawama, hila na husda hizi zilianza kusukwa mwaka 2021 baada tu ya Dkt Magufuli kufariki. Kuna watu wachafu ambao hawastahili kuwa na legality wala legitimacy ya kukosoa utawala huu wamejitokeza front kukosoa. Yaani shetani kupata bahati ya kuwa kwenye kundi la Malaika anataka kujibatiza kuwa yeye pia ni malaika.

Leo nitakupitisha kidogo juu mkakati wa mwaka 2021ambao ndo vita hii ambayo leo watu wanahaha kujitakatisha kuwa wao ni wasafi na mwisho nitakueleza sababu ambazo zinasababisha hawa watu kumchukia Dkt Samia na wengine wakisema asingeweza hata kuchukua fomu ya kugombea. Kwa ufupi hii ni vita yetu sisi WanaCCM na hawa waliopata bahati ya kupitia CCM. Akiguswa Mwenyekiti wa CCM imeguswa ni CCM. Hakuna mtu mwema anayeweza kukusema mbele ya watu, ukiona mtu anakusema mbele ya watu huyo si rafiki yako ni adui Yako ambaye na wewe unataki ukabiliane naye kwa njia yoyote unayodhani ni sahihi kumkabili. Hawa waliotaka kuvunja katiba mwaka 2021 walikwama, hata leo tunatakiwa kuwaonyesha kuwa wamekwama kwa vitendo.

Baada ya Rais wa awamu ya tano Dkt John Magufuli kufariki aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo Dkt Samia Suluhu Hassan aliapishwa tarehe 19/3/2021. Msingi wa uapisho huo unatokana na Ibara ya 36(5) ya Katibu ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania ya mwaka 1977 pamoja na marekebisho yake ya mara kwa mara. Hivyo uwepo wake ni takwa la kisheria na siyo vinginevyo.

Ninaomba nikupitishe kidogo juu ya kelele unazozisikia leo kuhusu Dkt Samia. Nitarejea juu ya minong'ono ya mtaani na minong'ono iliyotawala pale uwanja wa Taifa wakati wa kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli. Mimi ni sehemu ya Watanzania wachache tuliohudhuria kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli Uwanja wa Uhuru Dar es salaam. Nimesema ni sehemu ya Watanzania wachache kwani Watanzania zidi ya milioni 60 hawakupata neema hii.

Wakati wa kuaga mwili kulikuwa na minong'ono mingi pale uwanjani hata nje ya uwanja kuwa kuna viongozi walikuwa hawataki Dkt Samia aapishwe kuwa Rais. Walitaka watumie mbinu bandia/ kinyume na katiba ili watafute Rais wanayemtaka wao. Tetesi zilisema hao watu walijipanga kugawana madaraka.Haya ni maneno yalikuwa yakisemwa. Mimi niliamini ni uzushi hasa ukizingatia kukiwa na msiba kwenye jamii zetu maneno hayakosekani. Hivyo nilihisi ni uvumi wa uongo. Nimeanza kuamini kuwa tetesi hizo zilikuwa na ukweli kwa kuwa wengine ambao tetesi hizo zilikuwa zinawahusu leo hii wameibuka kusema kuwa Dkt Samia hastahili kuchukua fomu ya kugombea Urais. Kwa mantiki hii hizi hazikuwa tetesi tena kuna nadharia ya ukweli. Ninadhani waliokuwa wakinong'onezana uwanjani walikuwa wameoteshwa ukweli huo.

Lakini baada ya Mhe Rais kuapishwa yalianza tena kuzagaa maneno mtaani kuwa eti Rais hafiki December, sikufahamu hafiki kwa mantiki ipi? Lakini alifika December na sasa tunazungumza miaka minne. Tafsiri yake ni kuwa hili kundi lilijipanga lakini hawakujua kuwa wao wanapanga na Mungu anaamua. Ninaamini Watanzania wengine waliosikia hii minong'ono walifunga na kuomba ndio maana Taifa limevuka na Mama amevuka salama mpaka leo. Kinachotokea saizi ingekuwa ni nyumbani Ileje tungesema Mungu anawaadhibu sasa waliyokuwa wanafanya gizani wanafanya hadharani. Mungu anawaumbua...

Kundi hili baada ya kukwama kukanyaga katiba na Rais akaapishwa pia baada ya kukwama mbinu zao zingine yakiwepo madarasa ya siasa leo wamekuja na mkakati mpya ikiwa ni azma yao ile ile ya awali ambayo Mungu alilivusha Taifa salama.

Mhe Rais pamoja na mawimbi makubwa, dhoruba, hila, husda na njama nyingi za kumkwamisha bado amelifanya Taifa kuwa imara, tulivu na kuweka rekodi ya miradi mikubwa kutekelezwa na maendeleo kuonekana kwa macho. Nani asiyefahamu kuwa sasa kiwango Cha furaha kimeongezeka nchini?

Walidhani atakwama, lakini ameweza. Sababu ambazo zinawafanya hawa watu washinde kwenye vyombo vya habari kumshambulia Mhe Rais na Serikali yake yaani kujaribu kuonesha wao ni wema ni sababu zifuatazo:-

1. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa baada ya kuapishwa aliondoa tozo 232 ambazo zilikuwa zinawakwaza Wafanyabiashara na wengine walikuwa wamehamishia biashara zao nje ya nchi. Serikali ya awamu ya sita imejenga mazingira rafiki kwa Wafanyabiashara, mazingira ambayo yamechochea kuongezeka makusanyo ya kodi.

2. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa amefanikiwa kukuza Diplomasia na mataifa ya nje zikiwepo nchi za AFRIKA mashariki ambazo kuna wakati mahusiano yaliyumba. Rais Samia amefanikiwa kuifungua Tanzania katika Diplomasia ya kimataifa ambayo imechochea kuimalisha uchumi wa Taifa. Watalii wanakuja Tanzania sasa ni wengi sana ambao wanaongeza kuingiza fedha za kigeni.

3. Wanamchukia Rais Dkt Samia kwa kufanikiwa kumaliza ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere(JNHPP) ambalo wakati anaapishwa ujenzi wake ulikuwa umefikia 33%. Walidhani Mhe Rais ataachana na mradi huo mkubwa wa kimkakati. Kitendo cha Serikali ya awamu ya sita kumaliza ujenzi wa Bwawa hilo na kuanza kufanya kazi kimewachukiza sana hawa waliotaka nchi Iendelee kuwa gizani. Rais Samia akihutubia bunge kwa mara ya kwanza alisema atatekeleza miradi yote iliyoanzishwa na JPM. Watanzania aina hii hawakuelewa walisema hawezi, leo wanamchukia kwa kuwa ameweza.

4. Wamechukizwa sana Serikali ya awamu ya sita kukamilisha ujenzi wa Daraja la Magufuli (Kigogo-Busisi) ambalo mtangulizi wake aliliacha likiwa limefikia 16%. Leo Daraja limekwisha na kazi inaendelea. Hili jambo limewachukiza hawataki Dkt Samia achukue fomu wachukue wao ambao historia zao hazijulikani ndani ya Chama na Serikali. Walitaka lisijengwe ili wafurahie kuwa amekwama.

5. Wamechukizwa sana Rais Samia kuendelea kusimamia maono ya hayati JPM ya kufufua na kuimarisha shirika la ndege la ATCL kwa kununua ndege zingine tano ikiwepo ndege ya mizigo aina ya Boing 767-300F. Kuendelea kujenga na kuboresha viwanja vya ndege hapa nchini. Hili ni kero kubwa kwao na kuongeza uhasama kwa Rais wa nchi. Rais Samia aliposema Mimi na JPM tulikuwa kitu kimoja hawakuelewa.

6. Wamechukizwa sana na Mhe Rais kufufua mradi wa NHC kote nchini kwa mfano ule wa Morocco Square ulioanzishwa na kukwama mwaka 2018 yeye ameufufua na kuumaliza. Mradi wa Kawe, Mradi wa Samia Housing wa nyumba 5000 katika maeneo mbalimbali nchini. NHC ilianzishwa mwaka 1962 kwa Sheria ya Bunge namba 45 kwa kuhakikisha Watanzania wanapata makazi bora. Mageuzi makubwa ya kihistoria yalifanyika mwaka 1990 na 2008, Mhe Rais Samia amekuja kulisimamia hili kwa vitendo. Hii imekuwa karaha kwa ndugu zetu hawa waliojipanga mwaka 2021.


7. Wanamchukia Rais Samia kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya barabara. Ukipita Wilaya zote Tanzania ardhi inaomboleza kwa namna Mitambo inavyoendelea kuitindua ardhi na kujenga barabara nzuri za rami na changarawe. Kwa mara ya kwanza Tangu Tanzania ipate Uhuru, Serikali ya awamu ya sita ilitoa milioni 500 katika kila halmashauri kwa ajili ya barabara za vijijini. Wamechukia kuona fedha hizi zinaenda kuwasaidia Wananchi wanyonge kwa kurahisisha usafiri na usafirishaji.

8. Wamechukizwa na Mhe Rais kwa kuboresha miundombinu ya shule. Serikali ya awamu ya sita imekarabati shule za zamani, imejenga shule mpya, imeongeza nyumba za Walimu na imeweza kuajiri Walimu kwa mara ya kwanza mara baada ya ajira hizi kustishwa toka mwaka 2015. Shule nyingi zilikuwa zimechoka lakini awamu hii zimeboreshwa. Haitoshi zinajengwa shule shikizi ikiwa ni mkakati wa Serikali kuinua elimu nchini na kupunguza changamoto za watoto shuleni.

9. Wanachukizwa sana na uboreshaji wa Afya. Miaka michache iliyopita watu walikuwa wanapishana angani kwenda kutibiwa India. Serikali ya awamu ya sita si tu imeongeza ujenzi wa vituo vya huduma ya Afya kwa maana Hospital, Vituo vya Afya na Zahanati kila mahali, rahasha! Rais Samia ameweza kununua pia vifaa vya hospitali. Tangu tupate Uhuru tulikuwa na MRI 7 TU, lakini Dkt Samia kwa miaka 4 amenunua MRI 6. Sijui unaelewa? Tangu tupate Uhuru tulikuwa na CT scan 13 lakini Dkt Samia kwa miaka minne amenunua CT scan 32. Tunaelewana? Unadhani kwa kasi hii wanakingine cha kusema zaidi ya ajenda ambazo hazina miguu wala vichwa. Hii ni mifano michache ambayo nimeona nikupe tu uelewa mdogo.


10. Wamechukizwa sana utawala bora. Kwa miaka minne tumeona nguzo zote za utawala bora zikifanya kazi. Watu wanafanya siasa, Waandishi wa habari wanafanya kazi zao kwa kuzingatia Sheria za nchi, Watu makazini wanaadhibiwa kwa kufuata Sheria, Mahakama zinafanya majukumu yake n.k Mahali ambapo hakuna utawala bora basi hofu inakuwa ni maisha ya kawaida ya watu. Hawataki utawala bora wanataka monopoly
11. Wamechukizwa sana kushusha kwa riba ya mikopo ya Wanafunzi wa vyuo vikuu ambayo imeshuka kutoka 14% mpaka single digit (7%). Hii ilikuwa ni kero kwa wasomi ambao ni wanufaika wa bodi ya mikopo. Tukumbuke 100% ya wanufaika wa mikopo hii ni watu wanaotoka familia masikini na za kati. Unapomtoza 14% ni kumfanya aendelee kuwa masikini zaidi na kuona kukopa ni adhabu.

12. Wamechukizwa na kukerwa vibaya sana na elimu bure. Serikali ya awamu ya nne ilitangaza elimu bure kutoka chekechea hadi kidato cha sita. Lakini pia iliongeza fedha ya kujikimu kwa Wanafunzi wa vyuo. Hawa wanaona hii ni kete kwa Dkt Samia hivyo wanakwazika sana.

13. Wamechukizwa na Agribusiness, huko nyuma mtu kuitwa mkulima ilikuwa ni aibu. Lakini Serikali ya awamu ya sita imefanya mapinduzi makubwa kwenye kilimo ambapo leo mtu kuitwa mkulima ni fahari. Mwaka 2021 bajeti ya kilimo ilikuwa billion 200± leo hii bajeti ya kilimo ni Trillion 1.2. Lengo la Serikali ni kuona sasa tunaacha kuagiza mafuta ya kula nje lakini pia sukari maeneo ambayo Serikali ilikuwa inatumia fedha nyingi. Wenzetu wanakerwa na mradi wa BBT uliojiri vijana wengi na tunaona matokeo ya kilimo wanachofanya Chinangali na maeneo mengine nchini. Mbolea ya ruzuku imechangia kwa kiasi kikubwa uzalishaji mkubwa na wenye tija. Haya ndiyo yanawachukiza wenzetu.

14. Wanachukizwa na miradi ya kimkakati 901 yenye thamani ya Dola 127 ambapo mwaka 2021 tulikuwa na miradi ya kimkakati 93 TU yenye thamani ya Dola 1.6 bilioni TU. Hatuoni mapinduzi haya? Urasimu umepungua ndio maana watu wengi wanakimbilia TIC kutafuta fursa.

15. Wanachukizwa na ujenzi wa Daraja la TANZANITE walitaka lisijengwe.

16. Wanakwazika na makusanyo yaliyoongezeka pale bandarini fedha zinazosaidia kwenye miradi ya kimkakati na kuongeza mishahara kwa watumishi.

Pamoja na mengine mengi yanayowakera na kuwachukiza, haya ni machache kati ya mengi ambayo mahasimu wa Samia wanakwazika. Hakuna jambo jingine, wanateswa na mafanikio ya Dkt Samia. Walishajipanga kuwa atakwama. Walijaribu kumkwamisha lakini walishindwa. Kete iliyobaki ni hii wanayohangaika nayo ambayo nayo wamekwama.

October tunatiki.
Hakika, umenena mkuu.
Wapo ambao hawakutarajia kama angeweza kumudu kufanya mambo hayo kikamilifu.
Wapo walio mbeza na kumdhihaki eti kisa ni mwanamke tena wa kislamu tena mzanzibari.....lakini sasa wanafukuto la unafiki.
Kinacho wakera sasa ni wivu tu hakuna kingine.
 
KWA NINI DKT SAMIA ANACHUKIWA?

Na Elius Ndabila
0768239284


Hivi sasa, wakati mchakato wa uchaguzi unakaribia wamejitokeza baadhi ya Watanzania ambao ni WanaCCM na wengine Wanachama wa vyama vingine vya siasa kupeleka shutuma kadhaa kwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Dkt Samia Suluhu Hassan. Shutuma zao hazina maana na msingi wa shutuma, lawama, hila na husda hizi zilianza kusukwa mwaka 2021 baada tu ya Dkt Magufuli kufariki. Kuna watu wachafu ambao hawastahili kuwa na legality wala legitimacy ya kukosoa utawala huu wamejitokeza front kukosoa. Yaani shetani kupata bahati ya kuwa kwenye kundi la Malaika anataka kujibatiza kuwa yeye pia ni malaika.

Leo nitakupitisha kidogo juu mkakati wa mwaka 2021ambao ndo vita hii ambayo leo watu wanahaha kujitakatisha kuwa wao ni wasafi na mwisho nitakueleza sababu ambazo zinasababisha hawa watu kumchukia Dkt Samia na wengine wakisema asingeweza hata kuchukua fomu ya kugombea. Kwa ufupi hii ni vita yetu sisi WanaCCM na hawa waliopata bahati ya kupitia CCM. Akiguswa Mwenyekiti wa CCM imeguswa ni CCM. Hakuna mtu mwema anayeweza kukusema mbele ya watu, ukiona mtu anakusema mbele ya watu huyo si rafiki yako ni adui Yako ambaye na wewe unataki ukabiliane naye kwa njia yoyote unayodhani ni sahihi kumkabili. Hawa waliotaka kuvunja katiba mwaka 2021 walikwama, hata leo tunatakiwa kuwaonyesha kuwa wamekwama kwa vitendo.

Baada ya Rais wa awamu ya tano Dkt John Magufuli kufariki aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo Dkt Samia Suluhu Hassan aliapishwa tarehe 19/3/2021. Msingi wa uapisho huo unatokana na Ibara ya 36(5) ya Katibu ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania ya mwaka 1977 pamoja na marekebisho yake ya mara kwa mara. Hivyo uwepo wake ni takwa la kisheria na siyo vinginevyo.

Ninaomba nikupitishe kidogo juu ya kelele unazozisikia leo kuhusu Dkt Samia. Nitarejea juu ya minong'ono ya mtaani na minong'ono iliyotawala pale uwanja wa Taifa wakati wa kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli. Mimi ni sehemu ya Watanzania wachache tuliohudhuria kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli Uwanja wa Uhuru Dar es salaam. Nimesema ni sehemu ya Watanzania wachache kwani Watanzania zidi ya milioni 60 hawakupata neema hii.

Wakati wa kuaga mwili kulikuwa na minong'ono mingi pale uwanjani hata nje ya uwanja kuwa kuna viongozi walikuwa hawataki Dkt Samia aapishwe kuwa Rais. Walitaka watumie mbinu bandia/ kinyume na katiba ili watafute Rais wanayemtaka wao. Tetesi zilisema hao watu walijipanga kugawana madaraka.Haya ni maneno yalikuwa yakisemwa. Mimi niliamini ni uzushi hasa ukizingatia kukiwa na msiba kwenye jamii zetu maneno hayakosekani. Hivyo nilihisi ni uvumi wa uongo. Nimeanza kuamini kuwa tetesi hizo zilikuwa na ukweli kwa kuwa wengine ambao tetesi hizo zilikuwa zinawahusu leo hii wameibuka kusema kuwa Dkt Samia hastahili kuchukua fomu ya kugombea Urais. Kwa mantiki hii hizi hazikuwa tetesi tena kuna nadharia ya ukweli. Ninadhani waliokuwa wakinong'onezana uwanjani walikuwa wameoteshwa ukweli huo.

Lakini baada ya Mhe Rais kuapishwa yalianza tena kuzagaa maneno mtaani kuwa eti Rais hafiki December, sikufahamu hafiki kwa mantiki ipi? Lakini alifika December na sasa tunazungumza miaka minne. Tafsiri yake ni kuwa hili kundi lilijipanga lakini hawakujua kuwa wao wanapanga na Mungu anaamua. Ninaamini Watanzania wengine waliosikia hii minong'ono walifunga na kuomba ndio maana Taifa limevuka na Mama amevuka salama mpaka leo. Kinachotokea saizi ingekuwa ni nyumbani Ileje tungesema Mungu anawaadhibu sasa waliyokuwa wanafanya gizani wanafanya hadharani. Mungu anawaumbua...

Kundi hili baada ya kukwama kukanyaga katiba na Rais akaapishwa pia baada ya kukwama mbinu zao zingine yakiwepo madarasa ya siasa leo wamekuja na mkakati mpya ikiwa ni azma yao ile ile ya awali ambayo Mungu alilivusha Taifa salama.

Mhe Rais pamoja na mawimbi makubwa, dhoruba, hila, husda na njama nyingi za kumkwamisha bado amelifanya Taifa kuwa imara, tulivu na kuweka rekodi ya miradi mikubwa kutekelezwa na maendeleo kuonekana kwa macho. Nani asiyefahamu kuwa sasa kiwango Cha furaha kimeongezeka nchini?

Walidhani atakwama, lakini ameweza. Sababu ambazo zinawafanya hawa watu washinde kwenye vyombo vya habari kumshambulia Mhe Rais na Serikali yake yaani kujaribu kuonesha wao ni wema ni sababu zifuatazo:-

1. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa baada ya kuapishwa aliondoa tozo 232 ambazo zilikuwa zinawakwaza Wafanyabiashara na wengine walikuwa wamehamishia biashara zao nje ya nchi. Serikali ya awamu ya sita imejenga mazingira rafiki kwa Wafanyabiashara, mazingira ambayo yamechochea kuongezeka makusanyo ya kodi.

2. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa amefanikiwa kukuza Diplomasia na mataifa ya nje zikiwepo nchi za AFRIKA mashariki ambazo kuna wakati mahusiano yaliyumba. Rais Samia amefanikiwa kuifungua Tanzania katika Diplomasia ya kimataifa ambayo imechochea kuimalisha uchumi wa Taifa. Watalii wanakuja Tanzania sasa ni wengi sana ambao wanaongeza kuingiza fedha za kigeni.

3. Wanamchukia Rais Dkt Samia kwa kufanikiwa kumaliza ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere(JNHPP) ambalo wakati anaapishwa ujenzi wake ulikuwa umefikia 33%. Walidhani Mhe Rais ataachana na mradi huo mkubwa wa kimkakati. Kitendo cha Serikali ya awamu ya sita kumaliza ujenzi wa Bwawa hilo na kuanza kufanya kazi kimewachukiza sana hawa waliotaka nchi Iendelee kuwa gizani. Rais Samia akihutubia bunge kwa mara ya kwanza alisema atatekeleza miradi yote iliyoanzishwa na JPM. Watanzania aina hii hawakuelewa walisema hawezi, leo wanamchukia kwa kuwa ameweza.

4. Wamechukizwa sana Serikali ya awamu ya sita kukamilisha ujenzi wa Daraja la Magufuli (Kigogo-Busisi) ambalo mtangulizi wake aliliacha likiwa limefikia 16%. Leo Daraja limekwisha na kazi inaendelea. Hili jambo limewachukiza hawataki Dkt Samia achukue fomu wachukue wao ambao historia zao hazijulikani ndani ya Chama na Serikali. Walitaka lisijengwe ili wafurahie kuwa amekwama.

5. Wamechukizwa sana Rais Samia kuendelea kusimamia maono ya hayati JPM ya kufufua na kuimarisha shirika la ndege la ATCL kwa kununua ndege zingine tano ikiwepo ndege ya mizigo aina ya Boing 767-300F. Kuendelea kujenga na kuboresha viwanja vya ndege hapa nchini. Hili ni kero kubwa kwao na kuongeza uhasama kwa Rais wa nchi. Rais Samia aliposema Mimi na JPM tulikuwa kitu kimoja hawakuelewa.

6. Wamechukizwa sana na Mhe Rais kufufua mradi wa NHC kote nchini kwa mfano ule wa Morocco Square ulioanzishwa na kukwama mwaka 2018 yeye ameufufua na kuumaliza. Mradi wa Kawe, Mradi wa Samia Housing wa nyumba 5000 katika maeneo mbalimbali nchini. NHC ilianzishwa mwaka 1962 kwa Sheria ya Bunge namba 45 kwa kuhakikisha Watanzania wanapata makazi bora. Mageuzi makubwa ya kihistoria yalifanyika mwaka 1990 na 2008, Mhe Rais Samia amekuja kulisimamia hili kwa vitendo. Hii imekuwa karaha kwa ndugu zetu hawa waliojipanga mwaka 2021.


7. Wanamchukia Rais Samia kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya barabara. Ukipita Wilaya zote Tanzania ardhi inaomboleza kwa namna Mitambo inavyoendelea kuitindua ardhi na kujenga barabara nzuri za rami na changarawe. Kwa mara ya kwanza Tangu Tanzania ipate Uhuru, Serikali ya awamu ya sita ilitoa milioni 500 katika kila halmashauri kwa ajili ya barabara za vijijini. Wamechukia kuona fedha hizi zinaenda kuwasaidia Wananchi wanyonge kwa kurahisisha usafiri na usafirishaji.

8. Wamechukizwa na Mhe Rais kwa kuboresha miundombinu ya shule. Serikali ya awamu ya sita imekarabati shule za zamani, imejenga shule mpya, imeongeza nyumba za Walimu na imeweza kuajiri Walimu kwa mara ya kwanza mara baada ya ajira hizi kustishwa toka mwaka 2015. Shule nyingi zilikuwa zimechoka lakini awamu hii zimeboreshwa. Haitoshi zinajengwa shule shikizi ikiwa ni mkakati wa Serikali kuinua elimu nchini na kupunguza changamoto za watoto shuleni.

9. Wanachukizwa sana na uboreshaji wa Afya. Miaka michache iliyopita watu walikuwa wanapishana angani kwenda kutibiwa India. Serikali ya awamu ya sita si tu imeongeza ujenzi wa vituo vya huduma ya Afya kwa maana Hospital, Vituo vya Afya na Zahanati kila mahali, rahasha! Rais Samia ameweza kununua pia vifaa vya hospitali. Tangu tupate Uhuru tulikuwa na MRI 7 TU, lakini Dkt Samia kwa miaka 4 amenunua MRI 6. Sijui unaelewa? Tangu tupate Uhuru tulikuwa na CT scan 13 lakini Dkt Samia kwa miaka minne amenunua CT scan 32. Tunaelewana? Unadhani kwa kasi hii wanakingine cha kusema zaidi ya ajenda ambazo hazina miguu wala vichwa. Hii ni mifano michache ambayo nimeona nikupe tu uelewa mdogo.


10. Wamechukizwa sana utawala bora. Kwa miaka minne tumeona nguzo zote za utawala bora zikifanya kazi. Watu wanafanya siasa, Waandishi wa habari wanafanya kazi zao kwa kuzingatia Sheria za nchi, Watu makazini wanaadhibiwa kwa kufuata Sheria, Mahakama zinafanya majukumu yake n.k Mahali ambapo hakuna utawala bora basi hofu inakuwa ni maisha ya kawaida ya watu. Hawataki utawala bora wanataka monopoly
11. Wamechukizwa sana kushusha kwa riba ya mikopo ya Wanafunzi wa vyuo vikuu ambayo imeshuka kutoka 14% mpaka single digit (7%). Hii ilikuwa ni kero kwa wasomi ambao ni wanufaika wa bodi ya mikopo. Tukumbuke 100% ya wanufaika wa mikopo hii ni watu wanaotoka familia masikini na za kati. Unapomtoza 14% ni kumfanya aendelee kuwa masikini zaidi na kuona kukopa ni adhabu.

12. Wamechukizwa na kukerwa vibaya sana na elimu bure. Serikali ya awamu ya nne ilitangaza elimu bure kutoka chekechea hadi kidato cha sita. Lakini pia iliongeza fedha ya kujikimu kwa Wanafunzi wa vyuo. Hawa wanaona hii ni kete kwa Dkt Samia hivyo wanakwazika sana.

13. Wamechukizwa na Agribusiness, huko nyuma mtu kuitwa mkulima ilikuwa ni aibu. Lakini Serikali ya awamu ya sita imefanya mapinduzi makubwa kwenye kilimo ambapo leo mtu kuitwa mkulima ni fahari. Mwaka 2021 bajeti ya kilimo ilikuwa billion 200± leo hii bajeti ya kilimo ni Trillion 1.2. Lengo la Serikali ni kuona sasa tunaacha kuagiza mafuta ya kula nje lakini pia sukari maeneo ambayo Serikali ilikuwa inatumia fedha nyingi. Wenzetu wanakerwa na mradi wa BBT uliojiri vijana wengi na tunaona matokeo ya kilimo wanachofanya Chinangali na maeneo mengine nchini. Mbolea ya ruzuku imechangia kwa kiasi kikubwa uzalishaji mkubwa na wenye tija. Haya ndiyo yanawachukiza wenzetu.

14. Wanachukizwa na miradi ya kimkakati 901 yenye thamani ya Dola 127 ambapo mwaka 2021 tulikuwa na miradi ya kimkakati 93 TU yenye thamani ya Dola 1.6 bilioni TU. Hatuoni mapinduzi haya? Urasimu umepungua ndio maana watu wengi wanakimbilia TIC kutafuta fursa.

15. Wanachukizwa na ujenzi wa Daraja la TANZANITE walitaka lisijengwe.

16. Wanakwazika na makusanyo yaliyoongezeka pale bandarini fedha zinazosaidia kwenye miradi ya kimkakati na kuongeza mishahara kwa watumishi.

Pamoja na mengine mengi yanayowakera na kuwachukiza, haya ni machache kati ya mengi ambayo mahasimu wa Samia wanakwazika. Hakuna jambo jingine, wanateswa na mafanikio ya Dkt Samia. Walishajipanga kuwa atakwama. Walijaribu kumkwamisha lakini walishindwa. Kete iliyobaki ni hii wanayohangaika nayo ambayo nayo wamekwama.

October tunatiki.
Ukweli uko waziwazi,samia kafanya makubwa,ila ni kawaida ya siasa za dunia kuwa upinzani,kupingana na kuzushiana uongo kupontu.Hata hao ambao wanamuunga mkono Lissu na akishika nchi haitachukua hata siku 100 watampinga vibaya sana.
 
KWA NINI DKT SAMIA ANACHUKIWA?

Na Elius Ndabila
0768239284


Hivi sasa, wakati mchakato wa uchaguzi unakaribia wamejitokeza baadhi ya Watanzania ambao ni WanaCCM na wengine Wanachama wa vyama vingine vya siasa kupeleka shutuma kadhaa kwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Dkt Samia Suluhu Hassan. Shutuma zao hazina maana na msingi wa shutuma, lawama, hila na husda hizi zilianza kusukwa mwaka 2021 baada tu ya Dkt Magufuli kufariki. Kuna watu wachafu ambao hawastahili kuwa na legality wala legitimacy ya kukosoa utawala huu wamejitokeza front kukosoa. Yaani shetani kupata bahati ya kuwa kwenye kundi la Malaika anataka kujibatiza kuwa yeye pia ni malaika.

Leo nitakupitisha kidogo juu mkakati wa mwaka 2021ambao ndo vita hii ambayo leo watu wanahaha kujitakatisha kuwa wao ni wasafi na mwisho nitakueleza sababu ambazo zinasababisha hawa watu kumchukia Dkt Samia na wengine wakisema asingeweza hata kuchukua fomu ya kugombea. Kwa ufupi hii ni vita yetu sisi WanaCCM na hawa waliopata bahati ya kupitia CCM. Akiguswa Mwenyekiti wa CCM imeguswa ni CCM. Hakuna mtu mwema anayeweza kukusema mbele ya watu, ukiona mtu anakusema mbele ya watu huyo si rafiki yako ni adui Yako ambaye na wewe unataki ukabiliane naye kwa njia yoyote unayodhani ni sahihi kumkabili. Hawa waliotaka kuvunja katiba mwaka 2021 walikwama, hata leo tunatakiwa kuwaonyesha kuwa wamekwama kwa vitendo.

Baada ya Rais wa awamu ya tano Dkt John Magufuli kufariki aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo Dkt Samia Suluhu Hassan aliapishwa tarehe 19/3/2021. Msingi wa uapisho huo unatokana na Ibara ya 36(5) ya Katibu ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania ya mwaka 1977 pamoja na marekebisho yake ya mara kwa mara. Hivyo uwepo wake ni takwa la kisheria na siyo vinginevyo.

Ninaomba nikupitishe kidogo juu ya kelele unazozisikia leo kuhusu Dkt Samia. Nitarejea juu ya minong'ono ya mtaani na minong'ono iliyotawala pale uwanja wa Taifa wakati wa kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli. Mimi ni sehemu ya Watanzania wachache tuliohudhuria kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli Uwanja wa Uhuru Dar es salaam. Nimesema ni sehemu ya Watanzania wachache kwani Watanzania zidi ya milioni 60 hawakupata neema hii.

Wakati wa kuaga mwili kulikuwa na minong'ono mingi pale uwanjani hata nje ya uwanja kuwa kuna viongozi walikuwa hawataki Dkt Samia aapishwe kuwa Rais. Walitaka watumie mbinu bandia/ kinyume na katiba ili watafute Rais wanayemtaka wao. Tetesi zilisema hao watu walijipanga kugawana madaraka.Haya ni maneno yalikuwa yakisemwa. Mimi niliamini ni uzushi hasa ukizingatia kukiwa na msiba kwenye jamii zetu maneno hayakosekani. Hivyo nilihisi ni uvumi wa uongo. Nimeanza kuamini kuwa tetesi hizo zilikuwa na ukweli kwa kuwa wengine ambao tetesi hizo zilikuwa zinawahusu leo hii wameibuka kusema kuwa Dkt Samia hastahili kuchukua fomu ya kugombea Urais. Kwa mantiki hii hizi hazikuwa tetesi tena kuna nadharia ya ukweli. Ninadhani waliokuwa wakinong'onezana uwanjani walikuwa wameoteshwa ukweli huo.

Lakini baada ya Mhe Rais kuapishwa yalianza tena kuzagaa maneno mtaani kuwa eti Rais hafiki December, sikufahamu hafiki kwa mantiki ipi? Lakini alifika December na sasa tunazungumza miaka minne. Tafsiri yake ni kuwa hili kundi lilijipanga lakini hawakujua kuwa wao wanapanga na Mungu anaamua. Ninaamini Watanzania wengine waliosikia hii minong'ono walifunga na kuomba ndio maana Taifa limevuka na Mama amevuka salama mpaka leo. Kinachotokea saizi ingekuwa ni nyumbani Ileje tungesema Mungu anawaadhibu sasa waliyokuwa wanafanya gizani wanafanya hadharani. Mungu anawaumbua...

Kundi hili baada ya kukwama kukanyaga katiba na Rais akaapishwa pia baada ya kukwama mbinu zao zingine yakiwepo madarasa ya siasa leo wamekuja na mkakati mpya ikiwa ni azma yao ile ile ya awali ambayo Mungu alilivusha Taifa salama.

Mhe Rais pamoja na mawimbi makubwa, dhoruba, hila, husda na njama nyingi za kumkwamisha bado amelifanya Taifa kuwa imara, tulivu na kuweka rekodi ya miradi mikubwa kutekelezwa na maendeleo kuonekana kwa macho. Nani asiyefahamu kuwa sasa kiwango Cha furaha kimeongezeka nchini?

Walidhani atakwama, lakini ameweza. Sababu ambazo zinawafanya hawa watu washinde kwenye vyombo vya habari kumshambulia Mhe Rais na Serikali yake yaani kujaribu kuonesha wao ni wema ni sababu zifuatazo:-

1. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa baada ya kuapishwa aliondoa tozo 232 ambazo zilikuwa zinawakwaza Wafanyabiashara na wengine walikuwa wamehamishia biashara zao nje ya nchi. Serikali ya awamu ya sita imejenga mazingira rafiki kwa Wafanyabiashara, mazingira ambayo yamechochea kuongezeka makusanyo ya kodi.

2. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa amefanikiwa kukuza Diplomasia na mataifa ya nje zikiwepo nchi za AFRIKA mashariki ambazo kuna wakati mahusiano yaliyumba. Rais Samia amefanikiwa kuifungua Tanzania katika Diplomasia ya kimataifa ambayo imechochea kuimalisha uchumi wa Taifa. Watalii wanakuja Tanzania sasa ni wengi sana ambao wanaongeza kuingiza fedha za kigeni.

3. Wanamchukia Rais Dkt Samia kwa kufanikiwa kumaliza ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere(JNHPP) ambalo wakati anaapishwa ujenzi wake ulikuwa umefikia 33%. Walidhani Mhe Rais ataachana na mradi huo mkubwa wa kimkakati. Kitendo cha Serikali ya awamu ya sita kumaliza ujenzi wa Bwawa hilo na kuanza kufanya kazi kimewachukiza sana hawa waliotaka nchi Iendelee kuwa gizani. Rais Samia akihutubia bunge kwa mara ya kwanza alisema atatekeleza miradi yote iliyoanzishwa na JPM. Watanzania aina hii hawakuelewa walisema hawezi, leo wanamchukia kwa kuwa ameweza.

4. Wamechukizwa sana Serikali ya awamu ya sita kukamilisha ujenzi wa Daraja la Magufuli (Kigogo-Busisi) ambalo mtangulizi wake aliliacha likiwa limefikia 16%. Leo Daraja limekwisha na kazi inaendelea. Hili jambo limewachukiza hawataki Dkt Samia achukue fomu wachukue wao ambao historia zao hazijulikani ndani ya Chama na Serikali. Walitaka lisijengwe ili wafurahie kuwa amekwama.

5. Wamechukizwa sana Rais Samia kuendelea kusimamia maono ya hayati JPM ya kufufua na kuimarisha shirika la ndege la ATCL kwa kununua ndege zingine tano ikiwepo ndege ya mizigo aina ya Boing 767-300F. Kuendelea kujenga na kuboresha viwanja vya ndege hapa nchini. Hili ni kero kubwa kwao na kuongeza uhasama kwa Rais wa nchi. Rais Samia aliposema Mimi na JPM tulikuwa kitu kimoja hawakuelewa.

6. Wamechukizwa sana na Mhe Rais kufufua mradi wa NHC kote nchini kwa mfano ule wa Morocco Square ulioanzishwa na kukwama mwaka 2018 yeye ameufufua na kuumaliza. Mradi wa Kawe, Mradi wa Samia Housing wa nyumba 5000 katika maeneo mbalimbali nchini. NHC ilianzishwa mwaka 1962 kwa Sheria ya Bunge namba 45 kwa kuhakikisha Watanzania wanapata makazi bora. Mageuzi makubwa ya kihistoria yalifanyika mwaka 1990 na 2008, Mhe Rais Samia amekuja kulisimamia hili kwa vitendo. Hii imekuwa karaha kwa ndugu zetu hawa waliojipanga mwaka 2021.


7. Wanamchukia Rais Samia kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya barabara. Ukipita Wilaya zote Tanzania ardhi inaomboleza kwa namna Mitambo inavyoendelea kuitindua ardhi na kujenga barabara nzuri za rami na changarawe. Kwa mara ya kwanza Tangu Tanzania ipate Uhuru, Serikali ya awamu ya sita ilitoa milioni 500 katika kila halmashauri kwa ajili ya barabara za vijijini. Wamechukia kuona fedha hizi zinaenda kuwasaidia Wananchi wanyonge kwa kurahisisha usafiri na usafirishaji.

8. Wamechukizwa na Mhe Rais kwa kuboresha miundombinu ya shule. Serikali ya awamu ya sita imekarabati shule za zamani, imejenga shule mpya, imeongeza nyumba za Walimu na imeweza kuajiri Walimu kwa mara ya kwanza mara baada ya ajira hizi kustishwa toka mwaka 2015. Shule nyingi zilikuwa zimechoka lakini awamu hii zimeboreshwa. Haitoshi zinajengwa shule shikizi ikiwa ni mkakati wa Serikali kuinua elimu nchini na kupunguza changamoto za watoto shuleni.

9. Wanachukizwa sana na uboreshaji wa Afya. Miaka michache iliyopita watu walikuwa wanapishana angani kwenda kutibiwa India. Serikali ya awamu ya sita si tu imeongeza ujenzi wa vituo vya huduma ya Afya kwa maana Hospital, Vituo vya Afya na Zahanati kila mahali, rahasha! Rais Samia ameweza kununua pia vifaa vya hospitali. Tangu tupate Uhuru tulikuwa na MRI 7 TU, lakini Dkt Samia kwa miaka 4 amenunua MRI 6. Sijui unaelewa? Tangu tupate Uhuru tulikuwa na CT scan 13 lakini Dkt Samia kwa miaka minne amenunua CT scan 32. Tunaelewana? Unadhani kwa kasi hii wanakingine cha kusema zaidi ya ajenda ambazo hazina miguu wala vichwa. Hii ni mifano michache ambayo nimeona nikupe tu uelewa mdogo.


10. Wamechukizwa sana utawala bora. Kwa miaka minne tumeona nguzo zote za utawala bora zikifanya kazi. Watu wanafanya siasa, Waandishi wa habari wanafanya kazi zao kwa kuzingatia Sheria za nchi, Watu makazini wanaadhibiwa kwa kufuata Sheria, Mahakama zinafanya majukumu yake n.k Mahali ambapo hakuna utawala bora basi hofu inakuwa ni maisha ya kawaida ya watu. Hawataki utawala bora wanataka monopoly
11. Wamechukizwa sana kushusha kwa riba ya mikopo ya Wanafunzi wa vyuo vikuu ambayo imeshuka kutoka 14% mpaka single digit (7%). Hii ilikuwa ni kero kwa wasomi ambao ni wanufaika wa bodi ya mikopo. Tukumbuke 100% ya wanufaika wa mikopo hii ni watu wanaotoka familia masikini na za kati. Unapomtoza 14% ni kumfanya aendelee kuwa masikini zaidi na kuona kukopa ni adhabu.

12. Wamechukizwa na kukerwa vibaya sana na elimu bure. Serikali ya awamu ya nne ilitangaza elimu bure kutoka chekechea hadi kidato cha sita. Lakini pia iliongeza fedha ya kujikimu kwa Wanafunzi wa vyuo. Hawa wanaona hii ni kete kwa Dkt Samia hivyo wanakwazika sana.

13. Wamechukizwa na Agribusiness, huko nyuma mtu kuitwa mkulima ilikuwa ni aibu. Lakini Serikali ya awamu ya sita imefanya mapinduzi makubwa kwenye kilimo ambapo leo mtu kuitwa mkulima ni fahari. Mwaka 2021 bajeti ya kilimo ilikuwa billion 200± leo hii bajeti ya kilimo ni Trillion 1.2. Lengo la Serikali ni kuona sasa tunaacha kuagiza mafuta ya kula nje lakini pia sukari maeneo ambayo Serikali ilikuwa inatumia fedha nyingi. Wenzetu wanakerwa na mradi wa BBT uliojiri vijana wengi na tunaona matokeo ya kilimo wanachofanya Chinangali na maeneo mengine nchini. Mbolea ya ruzuku imechangia kwa kiasi kikubwa uzalishaji mkubwa na wenye tija. Haya ndiyo yanawachukiza wenzetu.

14. Wanachukizwa na miradi ya kimkakati 901 yenye thamani ya Dola 127 ambapo mwaka 2021 tulikuwa na miradi ya kimkakati 93 TU yenye thamani ya Dola 1.6 bilioni TU. Hatuoni mapinduzi haya? Urasimu umepungua ndio maana watu wengi wanakimbilia TIC kutafuta fursa.

15. Wanachukizwa na ujenzi wa Daraja la TANZANITE walitaka lisijengwe.

16. Wanakwazika na makusanyo yaliyoongezeka pale bandarini fedha zinazosaidia kwenye miradi ya kimkakati na kuongeza mishahara kwa watumishi.

Pamoja na mengine mengi yanayowakera na kuwachukiza, haya ni machache kati ya mengi ambayo mahasimu wa Samia wanakwazika. Hakuna jambo jingine, wanateswa na mafanikio ya Dkt Samia. Walishajipanga kuwa atakwama. Walijaribu kumkwamisha lakini walishindwa. Kete iliyobaki ni hii wanayohangaika nayo ambayo nayo wamekwama.

October tunatiki.
Nimekomea Para ya kwanza tu nikajua kitakachoendelea ni UGOLO mtupu.
 
I
KWA NINI DKT SAMIA ANACHUKIWA?

Na Elius Ndabila
0768239284


Hivi sasa, wakati mchakato wa uchaguzi unakaribia wamejitokeza baadhi ya Watanzania ambao ni WanaCCM na wengine Wanachama wa vyama vingine vya siasa kupeleka shutuma kadhaa kwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Dkt Samia Suluhu Hassan. Shutuma zao hazina maana na msingi wa shutuma, lawama, hila na husda hizi zilianza kusukwa mwaka 2021 baada tu ya Dkt Magufuli kufariki. Kuna watu wachafu ambao hawastahili kuwa na legality wala legitimacy ya kukosoa utawala huu wamejitokeza front kukosoa. Yaani shetani kupata bahati ya kuwa kwenye kundi la Malaika anataka kujibatiza kuwa yeye pia ni malaika.

Leo nitakupitisha kidogo juu mkakati wa mwaka 2021ambao ndo vita hii ambayo leo watu wanahaha kujitakatisha kuwa wao ni wasafi na mwisho nitakueleza sababu ambazo zinasababisha hawa watu kumchukia Dkt Samia na wengine wakisema asingeweza hata kuchukua fomu ya kugombea. Kwa ufupi hii ni vita yetu sisi WanaCCM na hawa waliopata bahati ya kupitia CCM. Akiguswa Mwenyekiti wa CCM imeguswa ni CCM. Hakuna mtu mwema anayeweza kukusema mbele ya watu, ukiona mtu anakusema mbele ya watu huyo si rafiki yako ni adui Yako ambaye na wewe unataki ukabiliane naye kwa njia yoyote unayodhani ni sahihi kumkabili. Hawa waliotaka kuvunja katiba mwaka 2021 walikwama, hata leo tunatakiwa kuwaonyesha kuwa wamekwama kwa vitendo.

Baada ya Rais wa awamu ya tano Dkt John Magufuli kufariki aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo Dkt Samia Suluhu Hassan aliapishwa tarehe 19/3/2021. Msingi wa uapisho huo unatokana na Ibara ya 36(5) ya Katibu ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania ya mwaka 1977 pamoja na marekebisho yake ya mara kwa mara. Hivyo uwepo wake ni takwa la kisheria na siyo vinginevyo.

Ninaomba nikupitishe kidogo juu ya kelele unazozisikia leo kuhusu Dkt Samia. Nitarejea juu ya minong'ono ya mtaani na minong'ono iliyotawala pale uwanja wa Taifa wakati wa kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli. Mimi ni sehemu ya Watanzania wachache tuliohudhuria kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli Uwanja wa Uhuru Dar es salaam. Nimesema ni sehemu ya Watanzania wachache kwani Watanzania zidi ya milioni 60 hawakupata neema hii.

Wakati wa kuaga mwili kulikuwa na minong'ono mingi pale uwanjani hata nje ya uwanja kuwa kuna viongozi walikuwa hawataki Dkt Samia aapishwe kuwa Rais. Walitaka watumie mbinu bandia/ kinyume na katiba ili watafute Rais wanayemtaka wao. Tetesi zilisema hao watu walijipanga kugawana madaraka.Haya ni maneno yalikuwa yakisemwa. Mimi niliamini ni uzushi hasa ukizingatia kukiwa na msiba kwenye jamii zetu maneno hayakosekani. Hivyo nilihisi ni uvumi wa uongo. Nimeanza kuamini kuwa tetesi hizo zilikuwa na ukweli kwa kuwa wengine ambao tetesi hizo zilikuwa zinawahusu leo hii wameibuka kusema kuwa Dkt Samia hastahili kuchukua fomu ya kugombea Urais. Kwa mantiki hii hizi hazikuwa tetesi tena kuna nadharia ya ukweli. Ninadhani waliokuwa wakinong'onezana uwanjani walikuwa wameoteshwa ukweli huo.

Lakini baada ya Mhe Rais kuapishwa yalianza tena kuzagaa maneno mtaani kuwa eti Rais hafiki December, sikufahamu hafiki kwa mantiki ipi? Lakini alifika December na sasa tunazungumza miaka minne. Tafsiri yake ni kuwa hili kundi lilijipanga lakini hawakujua kuwa wao wanapanga na Mungu anaamua. Ninaamini Watanzania wengine waliosikia hii minong'ono walifunga na kuomba ndio maana Taifa limevuka na Mama amevuka salama mpaka leo. Kinachotokea saizi ingekuwa ni nyumbani Ileje tungesema Mungu anawaadhibu sasa waliyokuwa wanafanya gizani wanafanya hadharani. Mungu anawaumbua...

Kundi hili baada ya kukwama kukanyaga katiba na Rais akaapishwa pia baada ya kukwama mbinu zao zingine yakiwepo madarasa ya siasa leo wamekuja na mkakati mpya ikiwa ni azma yao ile ile ya awali ambayo Mungu alilivusha Taifa salama.

Mhe Rais pamoja na mawimbi makubwa, dhoruba, hila, husda na njama nyingi za kumkwamisha bado amelifanya Taifa kuwa imara, tulivu na kuweka rekodi ya miradi mikubwa kutekelezwa na maendeleo kuonekana kwa macho. Nani asiyefahamu kuwa sasa kiwango Cha furaha kimeongezeka nchini?

Walidhani atakwama, lakini ameweza. Sababu ambazo zinawafanya hawa watu washinde kwenye vyombo vya habari kumshambulia Mhe Rais na Serikali yake yaani kujaribu kuonesha wao ni wema ni sababu zifuatazo:-

1. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa baada ya kuapishwa aliondoa tozo 232 ambazo zilikuwa zinawakwaza Wafanyabiashara na wengine walikuwa wamehamishia biashara zao nje ya nchi. Serikali ya awamu ya sita imejenga mazingira rafiki kwa Wafanyabiashara, mazingira ambayo yamechochea kuongezeka makusanyo ya kodi.

2. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa amefanikiwa kukuza Diplomasia na mataifa ya nje zikiwepo nchi za AFRIKA mashariki ambazo kuna wakati mahusiano yaliyumba. Rais Samia amefanikiwa kuifungua Tanzania katika Diplomasia ya kimataifa ambayo imechochea kuimalisha uchumi wa Taifa. Watalii wanakuja Tanzania sasa ni wengi sana ambao wanaongeza kuingiza fedha za kigeni.

3. Wanamchukia Rais Dkt Samia kwa kufanikiwa kumaliza ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere(JNHPP) ambalo wakati anaapishwa ujenzi wake ulikuwa umefikia 33%. Walidhani Mhe Rais ataachana na mradi huo mkubwa wa kimkakati. Kitendo cha Serikali ya awamu ya sita kumaliza ujenzi wa Bwawa hilo na kuanza kufanya kazi kimewachukiza sana hawa waliotaka nchi Iendelee kuwa gizani. Rais Samia akihutubia bunge kwa mara ya kwanza alisema atatekeleza miradi yote iliyoanzishwa na JPM. Watanzania aina hii hawakuelewa walisema hawezi, leo wanamchukia kwa kuwa ameweza.

4. Wamechukizwa sana Serikali ya awamu ya sita kukamilisha ujenzi wa Daraja la Magufuli (Kigogo-Busisi) ambalo mtangulizi wake aliliacha likiwa limefikia 16%. Leo Daraja limekwisha na kazi inaendelea. Hili jambo limewachukiza hawataki Dkt Samia achukue fomu wachukue wao ambao historia zao hazijulikani ndani ya Chama na Serikali. Walitaka lisijengwe ili wafurahie kuwa amekwama.

5. Wamechukizwa sana Rais Samia kuendelea kusimamia maono ya hayati JPM ya kufufua na kuimarisha shirika la ndege la ATCL kwa kununua ndege zingine tano ikiwepo ndege ya mizigo aina ya Boing 767-300F. Kuendelea kujenga na kuboresha viwanja vya ndege hapa nchini. Hili ni kero kubwa kwao na kuongeza uhasama kwa Rais wa nchi. Rais Samia aliposema Mimi na JPM tulikuwa kitu kimoja hawakuelewa.

6. Wamechukizwa sana na Mhe Rais kufufua mradi wa NHC kote nchini kwa mfano ule wa Morocco Square ulioanzishwa na kukwama mwaka 2018 yeye ameufufua na kuumaliza. Mradi wa Kawe, Mradi wa Samia Housing wa nyumba 5000 katika maeneo mbalimbali nchini. NHC ilianzishwa mwaka 1962 kwa Sheria ya Bunge namba 45 kwa kuhakikisha Watanzania wanapata makazi bora. Mageuzi makubwa ya kihistoria yalifanyika mwaka 1990 na 2008, Mhe Rais Samia amekuja kulisimamia hili kwa vitendo. Hii imekuwa karaha kwa ndugu zetu hawa waliojipanga mwaka 2021.


7. Wanamchukia Rais Samia kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya barabara. Ukipita Wilaya zote Tanzania ardhi inaomboleza kwa namna Mitambo inavyoendelea kuitindua ardhi na kujenga barabara nzuri za rami na changarawe. Kwa mara ya kwanza Tangu Tanzania ipate Uhuru, Serikali ya awamu ya sita ilitoa milioni 500 katika kila halmashauri kwa ajili ya barabara za vijijini. Wamechukia kuona fedha hizi zinaenda kuwasaidia Wananchi wanyonge kwa kurahisisha usafiri na usafirishaji.

8. Wamechukizwa na Mhe Rais kwa kuboresha miundombinu ya shule. Serikali ya awamu ya sita imekarabati shule za zamani, imejenga shule mpya, imeongeza nyumba za Walimu na imeweza kuajiri Walimu kwa mara ya kwanza mara baada ya ajira hizi kustishwa toka mwaka 2015. Shule nyingi zilikuwa zimechoka lakini awamu hii zimeboreshwa. Haitoshi zinajengwa shule shikizi ikiwa ni mkakati wa Serikali kuinua elimu nchini na kupunguza changamoto za watoto shuleni.

9. Wanachukizwa sana na uboreshaji wa Afya. Miaka michache iliyopita watu walikuwa wanapishana angani kwenda kutibiwa India. Serikali ya awamu ya sita si tu imeongeza ujenzi wa vituo vya huduma ya Afya kwa maana Hospital, Vituo vya Afya na Zahanati kila mahali, rahasha! Rais Samia ameweza kununua pia vifaa vya hospitali. Tangu tupate Uhuru tulikuwa na MRI 7 TU, lakini Dkt Samia kwa miaka 4 amenunua MRI 6. Sijui unaelewa? Tangu tupate Uhuru tulikuwa na CT scan 13 lakini Dkt Samia kwa miaka minne amenunua CT scan 32. Tunaelewana? Unadhani kwa kasi hii wanakingine cha kusema zaidi ya ajenda ambazo hazina miguu wala vichwa. Hii ni mifano michache ambayo nimeona nikupe tu uelewa mdogo.


10. Wamechukizwa sana utawala bora. Kwa miaka minne tumeona nguzo zote za utawala bora zikifanya kazi. Watu wanafanya siasa, Waandishi wa habari wanafanya kazi zao kwa kuzingatia Sheria za nchi, Watu makazini wanaadhibiwa kwa kufuata Sheria, Mahakama zinafanya majukumu yake n.k Mahali ambapo hakuna utawala bora basi hofu inakuwa ni maisha ya kawaida ya watu. Hawataki utawala bora wanataka monopoly
11. Wamechukizwa sana kushusha kwa riba ya mikopo ya Wanafunzi wa vyuo vikuu ambayo imeshuka kutoka 14% mpaka single digit (7%). Hii ilikuwa ni kero kwa wasomi ambao ni wanufaika wa bodi ya mikopo. Tukumbuke 100% ya wanufaika wa mikopo hii ni watu wanaotoka familia masikini na za kati. Unapomtoza 14% ni kumfanya aendelee kuwa masikini zaidi na kuona kukopa ni adhabu.

12. Wamechukizwa na kukerwa vibaya sana na elimu bure. Serikali ya awamu ya nne ilitangaza elimu bure kutoka chekechea hadi kidato cha sita. Lakini pia iliongeza fedha ya kujikimu kwa Wanafunzi wa vyuo. Hawa wanaona hii ni kete kwa Dkt Samia hivyo wanakwazika sana.

13. Wamechukizwa na Agribusiness, huko nyuma mtu kuitwa mkulima ilikuwa ni aibu. Lakini Serikali ya awamu ya sita imefanya mapinduzi makubwa kwenye kilimo ambapo leo mtu kuitwa mkulima ni fahari. Mwaka 2021 bajeti ya kilimo ilikuwa billion 200± leo hii bajeti ya kilimo ni Trillion 1.2. Lengo la Serikali ni kuona sasa tunaacha kuagiza mafuta ya kula nje lakini pia sukari maeneo ambayo Serikali ilikuwa inatumia fedha nyingi. Wenzetu wanakerwa na mradi wa BBT uliojiri vijana wengi na tunaona matokeo ya kilimo wanachofanya Chinangali na maeneo mengine nchini. Mbolea ya ruzuku imechangia kwa kiasi kikubwa uzalishaji mkubwa na wenye tija. Haya ndiyo yanawachukiza wenzetu.

14. Wanachukizwa na miradi ya kimkakati 901 yenye thamani ya Dola 127 ambapo mwaka 2021 tulikuwa na miradi ya kimkakati 93 TU yenye thamani ya Dola 1.6 bilioni TU. Hatuoni mapinduzi haya? Urasimu umepungua ndio maana watu wengi wanakimbilia TIC kutafuta fursa.

15. Wanachukizwa na ujenzi wa Daraja la TANZANITE walitaka lisijengwe.

16. Wanakwazika na makusanyo yaliyoongezeka pale bandarini fedha zinazosaidia kwenye miradi ya kimkakati na kuongeza mishahara kwa watumishi.

Pamoja na mengine mengi yanayowakera na kuwachukiza, haya ni machache kati ya mengi ambayo mahasimu wa Samia wanakwazika. Hakuna jambo jingine, wanateswa na mafanikio ya Dkt Samia. Walishajipanga kuwa atakwama. Walijaribu kumkwamisha lakini walishindwa. Kete iliyobaki ni hii wanayohangaika nayo ambayo nayo wamekwama.

October tunatiki.
You are insane
 
Machawa mataifa kama ya Sudan, Somalia,Mashariki ya Kati huwa hayadumu.

Yani jirani yako anaombeleza msiba wa Mzee Kibao we unasifu anaupiga mwingi.
 
Watu huwa hawajifunzi, mchungaji Msigwa pamoja na uchungaji wake wamemtumia sana mwishowe wamemtupa kwenye ndoo ya taka.
Msigwa atakuja kupewa position kama ukuu wa mkoa, wilaya au ubalozi. Ila kwa siasa za muda mrefu, hapo kuna karata tatu.
 
KWA NINI DKT SAMIA ANACHUKIWA?

Na Elius Ndabila
0768239284


Hivi sasa, wakati mchakato wa uchaguzi unakaribia wamejitokeza baadhi ya Watanzania ambao ni WanaCCM na wengine Wanachama wa vyama vingine vya siasa kupeleka shutuma kadhaa kwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Dkt Samia Suluhu Hassan. Shutuma zao hazina maana na msingi wa shutuma, lawama, hila na husda hizi zilianza kusukwa mwaka 2021 baada tu ya Dkt Magufuli kufariki. Kuna watu wachafu ambao hawastahili kuwa na legality wala legitimacy ya kukosoa utawala huu wamejitokeza front kukosoa. Yaani shetani kupata bahati ya kuwa kwenye kundi la Malaika anataka kujibatiza kuwa yeye pia ni malaika.

Leo nitakupitisha kidogo juu mkakati wa mwaka 2021ambao ndo vita hii ambayo leo watu wanahaha kujitakatisha kuwa wao ni wasafi na mwisho nitakueleza sababu ambazo zinasababisha hawa watu kumchukia Dkt Samia na wengine wakisema asingeweza hata kuchukua fomu ya kugombea. Kwa ufupi hii ni vita yetu sisi WanaCCM na hawa waliopata bahati ya kupitia CCM. Akiguswa Mwenyekiti wa CCM imeguswa ni CCM. Hakuna mtu mwema anayeweza kukusema mbele ya watu, ukiona mtu anakusema mbele ya watu huyo si rafiki yako ni adui Yako ambaye na wewe unataki ukabiliane naye kwa njia yoyote unayodhani ni sahihi kumkabili. Hawa waliotaka kuvunja katiba mwaka 2021 walikwama, hata leo tunatakiwa kuwaonyesha kuwa wamekwama kwa vitendo.

Baada ya Rais wa awamu ya tano Dkt John Magufuli kufariki aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo Dkt Samia Suluhu Hassan aliapishwa tarehe 19/3/2021. Msingi wa uapisho huo unatokana na Ibara ya 36(5) ya Katibu ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania ya mwaka 1977 pamoja na marekebisho yake ya mara kwa mara. Hivyo uwepo wake ni takwa la kisheria na siyo vinginevyo.

Ninaomba nikupitishe kidogo juu ya kelele unazozisikia leo kuhusu Dkt Samia. Nitarejea juu ya minong'ono ya mtaani na minong'ono iliyotawala pale uwanja wa Taifa wakati wa kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli. Mimi ni sehemu ya Watanzania wachache tuliohudhuria kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli Uwanja wa Uhuru Dar es salaam. Nimesema ni sehemu ya Watanzania wachache kwani Watanzania zidi ya milioni 60 hawakupata neema hii.

Wakati wa kuaga mwili kulikuwa na minong'ono mingi pale uwanjani hata nje ya uwanja kuwa kuna viongozi walikuwa hawataki Dkt Samia aapishwe kuwa Rais. Walitaka watumie mbinu bandia/ kinyume na katiba ili watafute Rais wanayemtaka wao. Tetesi zilisema hao watu walijipanga kugawana madaraka.Haya ni maneno yalikuwa yakisemwa. Mimi niliamini ni uzushi hasa ukizingatia kukiwa na msiba kwenye jamii zetu maneno hayakosekani. Hivyo nilihisi ni uvumi wa uongo. Nimeanza kuamini kuwa tetesi hizo zilikuwa na ukweli kwa kuwa wengine ambao tetesi hizo zilikuwa zinawahusu leo hii wameibuka kusema kuwa Dkt Samia hastahili kuchukua fomu ya kugombea Urais. Kwa mantiki hii hizi hazikuwa tetesi tena kuna nadharia ya ukweli. Ninadhani waliokuwa wakinong'onezana uwanjani walikuwa wameoteshwa ukweli huo.

Lakini baada ya Mhe Rais kuapishwa yalianza tena kuzagaa maneno mtaani kuwa eti Rais hafiki December, sikufahamu hafiki kwa mantiki ipi? Lakini alifika December na sasa tunazungumza miaka minne. Tafsiri yake ni kuwa hili kundi lilijipanga lakini hawakujua kuwa wao wanapanga na Mungu anaamua. Ninaamini Watanzania wengine waliosikia hii minong'ono walifunga na kuomba ndio maana Taifa limevuka na Mama amevuka salama mpaka leo. Kinachotokea saizi ingekuwa ni nyumbani Ileje tungesema Mungu anawaadhibu sasa waliyokuwa wanafanya gizani wanafanya hadharani. Mungu anawaumbua...

Kundi hili baada ya kukwama kukanyaga katiba na Rais akaapishwa pia baada ya kukwama mbinu zao zingine yakiwepo madarasa ya siasa leo wamekuja na mkakati mpya ikiwa ni azma yao ile ile ya awali ambayo Mungu alilivusha Taifa salama.

Mhe Rais pamoja na mawimbi makubwa, dhoruba, hila, husda na njama nyingi za kumkwamisha bado amelifanya Taifa kuwa imara, tulivu na kuweka rekodi ya miradi mikubwa kutekelezwa na maendeleo kuonekana kwa macho. Nani asiyefahamu kuwa sasa kiwango Cha furaha kimeongezeka nchini?

Walidhani atakwama, lakini ameweza. Sababu ambazo zinawafanya hawa watu washinde kwenye vyombo vya habari kumshambulia Mhe Rais na Serikali yake yaani kujaribu kuonesha wao ni wema ni sababu zifuatazo:-

1. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa baada ya kuapishwa aliondoa tozo 232 ambazo zilikuwa zinawakwaza Wafanyabiashara na wengine walikuwa wamehamishia biashara zao nje ya nchi. Serikali ya awamu ya sita imejenga mazingira rafiki kwa Wafanyabiashara, mazingira ambayo yamechochea kuongezeka makusanyo ya kodi.

2. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa amefanikiwa kukuza Diplomasia na mataifa ya nje zikiwepo nchi za AFRIKA mashariki ambazo kuna wakati mahusiano yaliyumba. Rais Samia amefanikiwa kuifungua Tanzania katika Diplomasia ya kimataifa ambayo imechochea kuimalisha uchumi wa Taifa. Watalii wanakuja Tanzania sasa ni wengi sana ambao wanaongeza kuingiza fedha za kigeni.

3. Wanamchukia Rais Dkt Samia kwa kufanikiwa kumaliza ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere(JNHPP) ambalo wakati anaapishwa ujenzi wake ulikuwa umefikia 33%. Walidhani Mhe Rais ataachana na mradi huo mkubwa wa kimkakati. Kitendo cha Serikali ya awamu ya sita kumaliza ujenzi wa Bwawa hilo na kuanza kufanya kazi kimewachukiza sana hawa waliotaka nchi Iendelee kuwa gizani. Rais Samia akihutubia bunge kwa mara ya kwanza alisema atatekeleza miradi yote iliyoanzishwa na JPM. Watanzania aina hii hawakuelewa walisema hawezi, leo wanamchukia kwa kuwa ameweza.

4. Wamechukizwa sana Serikali ya awamu ya sita kukamilisha ujenzi wa Daraja la Magufuli (Kigogo-Busisi) ambalo mtangulizi wake aliliacha likiwa limefikia 16%. Leo Daraja limekwisha na kazi inaendelea. Hili jambo limewachukiza hawataki Dkt Samia achukue fomu wachukue wao ambao historia zao hazijulikani ndani ya Chama na Serikali. Walitaka lisijengwe ili wafurahie kuwa amekwama.

5. Wamechukizwa sana Rais Samia kuendelea kusimamia maono ya hayati JPM ya kufufua na kuimarisha shirika la ndege la ATCL kwa kununua ndege zingine tano ikiwepo ndege ya mizigo aina ya Boing 767-300F. Kuendelea kujenga na kuboresha viwanja vya ndege hapa nchini. Hili ni kero kubwa kwao na kuongeza uhasama kwa Rais wa nchi. Rais Samia aliposema Mimi na JPM tulikuwa kitu kimoja hawakuelewa.

6. Wamechukizwa sana na Mhe Rais kufufua mradi wa NHC kote nchini kwa mfano ule wa Morocco Square ulioanzishwa na kukwama mwaka 2018 yeye ameufufua na kuumaliza. Mradi wa Kawe, Mradi wa Samia Housing wa nyumba 5000 katika maeneo mbalimbali nchini. NHC ilianzishwa mwaka 1962 kwa Sheria ya Bunge namba 45 kwa kuhakikisha Watanzania wanapata makazi bora. Mageuzi makubwa ya kihistoria yalifanyika mwaka 1990 na 2008, Mhe Rais Samia amekuja kulisimamia hili kwa vitendo. Hii imekuwa karaha kwa ndugu zetu hawa waliojipanga mwaka 2021.


7. Wanamchukia Rais Samia kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya barabara. Ukipita Wilaya zote Tanzania ardhi inaomboleza kwa namna Mitambo inavyoendelea kuitindua ardhi na kujenga barabara nzuri za rami na changarawe. Kwa mara ya kwanza Tangu Tanzania ipate Uhuru, Serikali ya awamu ya sita ilitoa milioni 500 katika kila halmashauri kwa ajili ya barabara za vijijini. Wamechukia kuona fedha hizi zinaenda kuwasaidia Wananchi wanyonge kwa kurahisisha usafiri na usafirishaji.

8. Wamechukizwa na Mhe Rais kwa kuboresha miundombinu ya shule. Serikali ya awamu ya sita imekarabati shule za zamani, imejenga shule mpya, imeongeza nyumba za Walimu na imeweza kuajiri Walimu kwa mara ya kwanza mara baada ya ajira hizi kustishwa toka mwaka 2015. Shule nyingi zilikuwa zimechoka lakini awamu hii zimeboreshwa. Haitoshi zinajengwa shule shikizi ikiwa ni mkakati wa Serikali kuinua elimu nchini na kupunguza changamoto za watoto shuleni.

9. Wanachukizwa sana na uboreshaji wa Afya. Miaka michache iliyopita watu walikuwa wanapishana angani kwenda kutibiwa India. Serikali ya awamu ya sita si tu imeongeza ujenzi wa vituo vya huduma ya Afya kwa maana Hospital, Vituo vya Afya na Zahanati kila mahali, rahasha! Rais Samia ameweza kununua pia vifaa vya hospitali. Tangu tupate Uhuru tulikuwa na MRI 7 TU, lakini Dkt Samia kwa miaka 4 amenunua MRI 6. Sijui unaelewa? Tangu tupate Uhuru tulikuwa na CT scan 13 lakini Dkt Samia kwa miaka minne amenunua CT scan 32. Tunaelewana? Unadhani kwa kasi hii wanakingine cha kusema zaidi ya ajenda ambazo hazina miguu wala vichwa. Hii ni mifano michache ambayo nimeona nikupe tu uelewa mdogo.


10. Wamechukizwa sana utawala bora. Kwa miaka minne tumeona nguzo zote za utawala bora zikifanya kazi. Watu wanafanya siasa, Waandishi wa habari wanafanya kazi zao kwa kuzingatia Sheria za nchi, Watu makazini wanaadhibiwa kwa kufuata Sheria, Mahakama zinafanya majukumu yake n.k Mahali ambapo hakuna utawala bora basi hofu inakuwa ni maisha ya kawaida ya watu. Hawataki utawala bora wanataka monopoly
11. Wamechukizwa sana kushusha kwa riba ya mikopo ya Wanafunzi wa vyuo vikuu ambayo imeshuka kutoka 14% mpaka single digit (7%). Hii ilikuwa ni kero kwa wasomi ambao ni wanufaika wa bodi ya mikopo. Tukumbuke 100% ya wanufaika wa mikopo hii ni watu wanaotoka familia masikini na za kati. Unapomtoza 14% ni kumfanya aendelee kuwa masikini zaidi na kuona kukopa ni adhabu.

12. Wamechukizwa na kukerwa vibaya sana na elimu bure. Serikali ya awamu ya nne ilitangaza elimu bure kutoka chekechea hadi kidato cha sita. Lakini pia iliongeza fedha ya kujikimu kwa Wanafunzi wa vyuo. Hawa wanaona hii ni kete kwa Dkt Samia hivyo wanakwazika sana.

13. Wamechukizwa na Agribusiness, huko nyuma mtu kuitwa mkulima ilikuwa ni aibu. Lakini Serikali ya awamu ya sita imefanya mapinduzi makubwa kwenye kilimo ambapo leo mtu kuitwa mkulima ni fahari. Mwaka 2021 bajeti ya kilimo ilikuwa billion 200± leo hii bajeti ya kilimo ni Trillion 1.2. Lengo la Serikali ni kuona sasa tunaacha kuagiza mafuta ya kula nje lakini pia sukari maeneo ambayo Serikali ilikuwa inatumia fedha nyingi. Wenzetu wanakerwa na mradi wa BBT uliojiri vijana wengi na tunaona matokeo ya kilimo wanachofanya Chinangali na maeneo mengine nchini. Mbolea ya ruzuku imechangia kwa kiasi kikubwa uzalishaji mkubwa na wenye tija. Haya ndiyo yanawachukiza wenzetu.

14. Wanachukizwa na miradi ya kimkakati 901 yenye thamani ya Dola 127 ambapo mwaka 2021 tulikuwa na miradi ya kimkakati 93 TU yenye thamani ya Dola 1.6 bilioni TU. Hatuoni mapinduzi haya? Urasimu umepungua ndio maana watu wengi wanakimbilia TIC kutafuta fursa.

15. Wanachukizwa na ujenzi wa Daraja la TANZANITE walitaka lisijengwe.

16. Wanakwazika na makusanyo yaliyoongezeka pale bandarini fedha zinazosaidia kwenye miradi ya kimkakati na kuongeza mishahara kwa watumishi.

Pamoja na mengine mengi yanayowakera na kuwachukiza, haya ni machache kati ya mengi ambayo mahasimu wa Samia wanakwazika. Hakuna jambo jingine, wanateswa na mafanikio ya Dkt Samia. Walishajipanga kuwa atakwama. Walijaribu kumkwamisha lakini walishindwa. Kete iliyobaki ni hii wanayohangaika nayo ambayo nayo wamekwama.

October tunatiki.
Watu kama, wewe ndio wanafanya, wa bongo tuonekanehatuna means wala akili,
Unasema mihimili ya, serikali inafanya, kazi,?
We, kenge kinachoendelea, pale kisutu,ndio, utawala, Bora!?
Mauaji,ya kada wa, chadema, made kibao, ndio utawala Bora?
Mdude, soka,waliopotezwa, ndio, utawala, Bora!
Kuonesha rais wako, hafai,hajawahi kusomea, udokta, wala sio Medical doctor, ana udokta wa, heshima tu, lakini mpaka kesho anatumia cheo DR kabla ya jina lake, Hilo ni kosa kubwa, inajulikanq duniani, kote,
Kama, ameshindwa kuheshimu sheria za, kimataifa, hataweza, kufata za, ndani?
 
Nimekutumia chochote kitu hapo kijana wangu upoze njaa na maji kwa kazi nzuri, umeiona?
 
KWA NINI DKT SAMIA ANACHUKIWA?

Na Elius Ndabila
0768239284


Hivi sasa, wakati mchakato wa uchaguzi unakaribia wamejitokeza baadhi ya Watanzania ambao ni WanaCCM na wengine Wanachama wa vyama vingine vya siasa kupeleka shutuma kadhaa kwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Dkt Samia Suluhu Hassan. Shutuma zao hazina maana na msingi wa shutuma, lawama, hila na husda hizi zilianza kusukwa mwaka 2021 baada tu ya Dkt Magufuli kufariki. Kuna watu wachafu ambao hawastahili kuwa na legality wala legitimacy ya kukosoa utawala huu wamejitokeza front kukosoa. Yaani shetani kupata bahati ya kuwa kwenye kundi la Malaika anataka kujibatiza kuwa yeye pia ni malaika.

Leo nitakupitisha kidogo juu mkakati wa mwaka 2021ambao ndo vita hii ambayo leo watu wanahaha kujitakatisha kuwa wao ni wasafi na mwisho nitakueleza sababu ambazo zinasababisha hawa watu kumchukia Dkt Samia na wengine wakisema asingeweza hata kuchukua fomu ya kugombea. Kwa ufupi hii ni vita yetu sisi WanaCCM na hawa waliopata bahati ya kupitia CCM. Akiguswa Mwenyekiti wa CCM imeguswa ni CCM. Hakuna mtu mwema anayeweza kukusema mbele ya watu, ukiona mtu anakusema mbele ya watu huyo si rafiki yako ni adui Yako ambaye na wewe unataki ukabiliane naye kwa njia yoyote unayodhani ni sahihi kumkabili. Hawa waliotaka kuvunja katiba mwaka 2021 walikwama, hata leo tunatakiwa kuwaonyesha kuwa wamekwama kwa vitendo.

Baada ya Rais wa awamu ya tano Dkt John Magufuli kufariki aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo Dkt Samia Suluhu Hassan aliapishwa tarehe 19/3/2021. Msingi wa uapisho huo unatokana na Ibara ya 36(5) ya Katibu ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania ya mwaka 1977 pamoja na marekebisho yake ya mara kwa mara. Hivyo uwepo wake ni takwa la kisheria na siyo vinginevyo.

Ninaomba nikupitishe kidogo juu ya kelele unazozisikia leo kuhusu Dkt Samia. Nitarejea juu ya minong'ono ya mtaani na minong'ono iliyotawala pale uwanja wa Taifa wakati wa kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli. Mimi ni sehemu ya Watanzania wachache tuliohudhuria kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli Uwanja wa Uhuru Dar es salaam. Nimesema ni sehemu ya Watanzania wachache kwani Watanzania zidi ya milioni 60 hawakupata neema hii.

Wakati wa kuaga mwili kulikuwa na minong'ono mingi pale uwanjani hata nje ya uwanja kuwa kuna viongozi walikuwa hawataki Dkt Samia aapishwe kuwa Rais. Walitaka watumie mbinu bandia/ kinyume na katiba ili watafute Rais wanayemtaka wao. Tetesi zilisema hao watu walijipanga kugawana madaraka.Haya ni maneno yalikuwa yakisemwa. Mimi niliamini ni uzushi hasa ukizingatia kukiwa na msiba kwenye jamii zetu maneno hayakosekani. Hivyo nilihisi ni uvumi wa uongo. Nimeanza kuamini kuwa tetesi hizo zilikuwa na ukweli kwa kuwa wengine ambao tetesi hizo zilikuwa zinawahusu leo hii wameibuka kusema kuwa Dkt Samia hastahili kuchukua fomu ya kugombea Urais. Kwa mantiki hii hizi hazikuwa tetesi tena kuna nadharia ya ukweli. Ninadhani waliokuwa wakinong'onezana uwanjani walikuwa wameoteshwa ukweli huo.

Lakini baada ya Mhe Rais kuapishwa yalianza tena kuzagaa maneno mtaani kuwa eti Rais hafiki December, sikufahamu hafiki kwa mantiki ipi? Lakini alifika December na sasa tunazungumza miaka minne. Tafsiri yake ni kuwa hili kundi lilijipanga lakini hawakujua kuwa wao wanapanga na Mungu anaamua. Ninaamini Watanzania wengine waliosikia hii minong'ono walifunga na kuomba ndio maana Taifa limevuka na Mama amevuka salama mpaka leo. Kinachotokea saizi ingekuwa ni nyumbani Ileje tungesema Mungu anawaadhibu sasa waliyokuwa wanafanya gizani wanafanya hadharani. Mungu anawaumbua...

Kundi hili baada ya kukwama kukanyaga katiba na Rais akaapishwa pia baada ya kukwama mbinu zao zingine yakiwepo madarasa ya siasa leo wamekuja na mkakati mpya ikiwa ni azma yao ile ile ya awali ambayo Mungu alilivusha Taifa salama.

Mhe Rais pamoja na mawimbi makubwa, dhoruba, hila, husda na njama nyingi za kumkwamisha bado amelifanya Taifa kuwa imara, tulivu na kuweka rekodi ya miradi mikubwa kutekelezwa na maendeleo kuonekana kwa macho. Nani asiyefahamu kuwa sasa kiwango Cha furaha kimeongezeka nchini?

Walidhani atakwama, lakini ameweza. Sababu ambazo zinawafanya hawa watu washinde kwenye vyombo vya habari kumshambulia Mhe Rais na Serikali yake yaani kujaribu kuonesha wao ni wema ni sababu zifuatazo:-

1. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa baada ya kuapishwa aliondoa tozo 232 ambazo zilikuwa zinawakwaza Wafanyabiashara na wengine walikuwa wamehamishia biashara zao nje ya nchi. Serikali ya awamu ya sita imejenga mazingira rafiki kwa Wafanyabiashara, mazingira ambayo yamechochea kuongezeka makusanyo ya kodi.

2. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa amefanikiwa kukuza Diplomasia na mataifa ya nje zikiwepo nchi za AFRIKA mashariki ambazo kuna wakati mahusiano yaliyumba. Rais Samia amefanikiwa kuifungua Tanzania katika Diplomasia ya kimataifa ambayo imechochea kuimalisha uchumi wa Taifa. Watalii wanakuja Tanzania sasa ni wengi sana ambao wanaongeza kuingiza fedha za kigeni.

3. Wanamchukia Rais Dkt Samia kwa kufanikiwa kumaliza ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere(JNHPP) ambalo wakati anaapishwa ujenzi wake ulikuwa umefikia 33%. Walidhani Mhe Rais ataachana na mradi huo mkubwa wa kimkakati. Kitendo cha Serikali ya awamu ya sita kumaliza ujenzi wa Bwawa hilo na kuanza kufanya kazi kimewachukiza sana hawa waliotaka nchi Iendelee kuwa gizani. Rais Samia akihutubia bunge kwa mara ya kwanza alisema atatekeleza miradi yote iliyoanzishwa na JPM. Watanzania aina hii hawakuelewa walisema hawezi, leo wanamchukia kwa kuwa ameweza.

4. Wamechukizwa sana Serikali ya awamu ya sita kukamilisha ujenzi wa Daraja la Magufuli (Kigogo-Busisi) ambalo mtangulizi wake aliliacha likiwa limefikia 16%. Leo Daraja limekwisha na kazi inaendelea. Hili jambo limewachukiza hawataki Dkt Samia achukue fomu wachukue wao ambao historia zao hazijulikani ndani ya Chama na Serikali. Walitaka lisijengwe ili wafurahie kuwa amekwama.

5. Wamechukizwa sana Rais Samia kuendelea kusimamia maono ya hayati JPM ya kufufua na kuimarisha shirika la ndege la ATCL kwa kununua ndege zingine tano ikiwepo ndege ya mizigo aina ya Boing 767-300F. Kuendelea kujenga na kuboresha viwanja vya ndege hapa nchini. Hili ni kero kubwa kwao na kuongeza uhasama kwa Rais wa nchi. Rais Samia aliposema Mimi na JPM tulikuwa kitu kimoja hawakuelewa.

6. Wamechukizwa sana na Mhe Rais kufufua mradi wa NHC kote nchini kwa mfano ule wa Morocco Square ulioanzishwa na kukwama mwaka 2018 yeye ameufufua na kuumaliza. Mradi wa Kawe, Mradi wa Samia Housing wa nyumba 5000 katika maeneo mbalimbali nchini. NHC ilianzishwa mwaka 1962 kwa Sheria ya Bunge namba 45 kwa kuhakikisha Watanzania wanapata makazi bora. Mageuzi makubwa ya kihistoria yalifanyika mwaka 1990 na 2008, Mhe Rais Samia amekuja kulisimamia hili kwa vitendo. Hii imekuwa karaha kwa ndugu zetu hawa waliojipanga mwaka 2021.


7. Wanamchukia Rais Samia kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya barabara. Ukipita Wilaya zote Tanzania ardhi inaomboleza kwa namna Mitambo inavyoendelea kuitindua ardhi na kujenga barabara nzuri za rami na changarawe. Kwa mara ya kwanza Tangu Tanzania ipate Uhuru, Serikali ya awamu ya sita ilitoa milioni 500 katika kila halmashauri kwa ajili ya barabara za vijijini. Wamechukia kuona fedha hizi zinaenda kuwasaidia Wananchi wanyonge kwa kurahisisha usafiri na usafirishaji.

8. Wamechukizwa na Mhe Rais kwa kuboresha miundombinu ya shule. Serikali ya awamu ya sita imekarabati shule za zamani, imejenga shule mpya, imeongeza nyumba za Walimu na imeweza kuajiri Walimu kwa mara ya kwanza mara baada ya ajira hizi kustishwa toka mwaka 2015. Shule nyingi zilikuwa zimechoka lakini awamu hii zimeboreshwa. Haitoshi zinajengwa shule shikizi ikiwa ni mkakati wa Serikali kuinua elimu nchini na kupunguza changamoto za watoto shuleni.

9. Wanachukizwa sana na uboreshaji wa Afya. Miaka michache iliyopita watu walikuwa wanapishana angani kwenda kutibiwa India. Serikali ya awamu ya sita si tu imeongeza ujenzi wa vituo vya huduma ya Afya kwa maana Hospital, Vituo vya Afya na Zahanati kila mahali, rahasha! Rais Samia ameweza kununua pia vifaa vya hospitali. Tangu tupate Uhuru tulikuwa na MRI 7 TU, lakini Dkt Samia kwa miaka 4 amenunua MRI 6. Sijui unaelewa? Tangu tupate Uhuru tulikuwa na CT scan 13 lakini Dkt Samia kwa miaka minne amenunua CT scan 32. Tunaelewana? Unadhani kwa kasi hii wanakingine cha kusema zaidi ya ajenda ambazo hazina miguu wala vichwa. Hii ni mifano michache ambayo nimeona nikupe tu uelewa mdogo.


10. Wamechukizwa sana utawala bora. Kwa miaka minne tumeona nguzo zote za utawala bora zikifanya kazi. Watu wanafanya siasa, Waandishi wa habari wanafanya kazi zao kwa kuzingatia Sheria za nchi, Watu makazini wanaadhibiwa kwa kufuata Sheria, Mahakama zinafanya majukumu yake n.k Mahali ambapo hakuna utawala bora basi hofu inakuwa ni maisha ya kawaida ya watu. Hawataki utawala bora wanataka monopoly
11. Wamechukizwa sana kushusha kwa riba ya mikopo ya Wanafunzi wa vyuo vikuu ambayo imeshuka kutoka 14% mpaka single digit (7%). Hii ilikuwa ni kero kwa wasomi ambao ni wanufaika wa bodi ya mikopo. Tukumbuke 100% ya wanufaika wa mikopo hii ni watu wanaotoka familia masikini na za kati. Unapomtoza 14% ni kumfanya aendelee kuwa masikini zaidi na kuona kukopa ni adhabu.

12. Wamechukizwa na kukerwa vibaya sana na elimu bure. Serikali ya awamu ya nne ilitangaza elimu bure kutoka chekechea hadi kidato cha sita. Lakini pia iliongeza fedha ya kujikimu kwa Wanafunzi wa vyuo. Hawa wanaona hii ni kete kwa Dkt Samia hivyo wanakwazika sana.

13. Wamechukizwa na Agribusiness, huko nyuma mtu kuitwa mkulima ilikuwa ni aibu. Lakini Serikali ya awamu ya sita imefanya mapinduzi makubwa kwenye kilimo ambapo leo mtu kuitwa mkulima ni fahari. Mwaka 2021 bajeti ya kilimo ilikuwa billion 200± leo hii bajeti ya kilimo ni Trillion 1.2. Lengo la Serikali ni kuona sasa tunaacha kuagiza mafuta ya kula nje lakini pia sukari maeneo ambayo Serikali ilikuwa inatumia fedha nyingi. Wenzetu wanakerwa na mradi wa BBT uliojiri vijana wengi na tunaona matokeo ya kilimo wanachofanya Chinangali na maeneo mengine nchini. Mbolea ya ruzuku imechangia kwa kiasi kikubwa uzalishaji mkubwa na wenye tija. Haya ndiyo yanawachukiza wenzetu.

14. Wanachukizwa na miradi ya kimkakati 901 yenye thamani ya Dola 127 ambapo mwaka 2021 tulikuwa na miradi ya kimkakati 93 TU yenye thamani ya Dola 1.6 bilioni TU. Hatuoni mapinduzi haya? Urasimu umepungua ndio maana watu wengi wanakimbilia TIC kutafuta fursa.

15. Wanachukizwa na ujenzi wa Daraja la TANZANITE walitaka lisijengwe.

16. Wanakwazika na makusanyo yaliyoongezeka pale bandarini fedha zinazosaidia kwenye miradi ya kimkakati na kuongeza mishahara kwa watumishi.

Pamoja na mengine mengi yanayowakera na kuwachukiza, haya ni machache kati ya mengi ambayo mahasimu wa Samia wanakwazika. Hakuna jambo jingine, wanateswa na mafanikio ya Dkt Samia. Walishajipanga kuwa atakwama. Walijaribu kumkwamisha lakini walishindwa. Kete iliyobaki ni hii wanayohangaika nayo ambayo nayo wamekwama.

October tunatiki.
Shenzi kabisa umetumia Maneno mengi ya kujirudiarudia ili Uzi uonekane mrefuuuuuuu , ila umeandika pumba pumba tu .
 
KWA NINI DKT SAMIA ANACHUKIWA?

Na Elius Ndabila
0768239284


Hivi sasa, wakati mchakato wa uchaguzi unakaribia wamejitokeza baadhi ya Watanzania ambao ni WanaCCM na wengine Wanachama wa vyama vingine vya siasa kupeleka shutuma kadhaa kwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Dkt Samia Suluhu Hassan. Shutuma zao hazina maana na msingi wa shutuma, lawama, hila na husda hizi zilianza kusukwa mwaka 2021 baada tu ya Dkt Magufuli kufariki. Kuna watu wachafu ambao hawastahili kuwa na legality wala legitimacy ya kukosoa utawala huu wamejitokeza front kukosoa. Yaani shetani kupata bahati ya kuwa kwenye kundi la Malaika anataka kujibatiza kuwa yeye pia ni malaika.

Leo nitakupitisha kidogo juu mkakati wa mwaka 2021ambao ndo vita hii ambayo leo watu wanahaha kujitakatisha kuwa wao ni wasafi na mwisho nitakueleza sababu ambazo zinasababisha hawa watu kumchukia Dkt Samia na wengine wakisema asingeweza hata kuchukua fomu ya kugombea. Kwa ufupi hii ni vita yetu sisi WanaCCM na hawa waliopata bahati ya kupitia CCM. Akiguswa Mwenyekiti wa CCM imeguswa ni CCM. Hakuna mtu mwema anayeweza kukusema mbele ya watu, ukiona mtu anakusema mbele ya watu huyo si rafiki yako ni adui Yako ambaye na wewe unataki ukabiliane naye kwa njia yoyote unayodhani ni sahihi kumkabili. Hawa waliotaka kuvunja katiba mwaka 2021 walikwama, hata leo tunatakiwa kuwaonyesha kuwa wamekwama kwa vitendo.

Baada ya Rais wa awamu ya tano Dkt John Magufuli kufariki aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo Dkt Samia Suluhu Hassan aliapishwa tarehe 19/3/2021. Msingi wa uapisho huo unatokana na Ibara ya 36(5) ya Katibu ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania ya mwaka 1977 pamoja na marekebisho yake ya mara kwa mara. Hivyo uwepo wake ni takwa la kisheria na siyo vinginevyo.

Ninaomba nikupitishe kidogo juu ya kelele unazozisikia leo kuhusu Dkt Samia. Nitarejea juu ya minong'ono ya mtaani na minong'ono iliyotawala pale uwanja wa Taifa wakati wa kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli. Mimi ni sehemu ya Watanzania wachache tuliohudhuria kuaga mwili wa hayati Dkt Magufuli Uwanja wa Uhuru Dar es salaam. Nimesema ni sehemu ya Watanzania wachache kwani Watanzania zidi ya milioni 60 hawakupata neema hii.

Wakati wa kuaga mwili kulikuwa na minong'ono mingi pale uwanjani hata nje ya uwanja kuwa kuna viongozi walikuwa hawataki Dkt Samia aapishwe kuwa Rais. Walitaka watumie mbinu bandia/ kinyume na katiba ili watafute Rais wanayemtaka wao. Tetesi zilisema hao watu walijipanga kugawana madaraka.Haya ni maneno yalikuwa yakisemwa. Mimi niliamini ni uzushi hasa ukizingatia kukiwa na msiba kwenye jamii zetu maneno hayakosekani. Hivyo nilihisi ni uvumi wa uongo. Nimeanza kuamini kuwa tetesi hizo zilikuwa na ukweli kwa kuwa wengine ambao tetesi hizo zilikuwa zinawahusu leo hii wameibuka kusema kuwa Dkt Samia hastahili kuchukua fomu ya kugombea Urais. Kwa mantiki hii hizi hazikuwa tetesi tena kuna nadharia ya ukweli. Ninadhani waliokuwa wakinong'onezana uwanjani walikuwa wameoteshwa ukweli huo.

Lakini baada ya Mhe Rais kuapishwa yalianza tena kuzagaa maneno mtaani kuwa eti Rais hafiki December, sikufahamu hafiki kwa mantiki ipi? Lakini alifika December na sasa tunazungumza miaka minne. Tafsiri yake ni kuwa hili kundi lilijipanga lakini hawakujua kuwa wao wanapanga na Mungu anaamua. Ninaamini Watanzania wengine waliosikia hii minong'ono walifunga na kuomba ndio maana Taifa limevuka na Mama amevuka salama mpaka leo. Kinachotokea saizi ingekuwa ni nyumbani Ileje tungesema Mungu anawaadhibu sasa waliyokuwa wanafanya gizani wanafanya hadharani. Mungu anawaumbua...

Kundi hili baada ya kukwama kukanyaga katiba na Rais akaapishwa pia baada ya kukwama mbinu zao zingine yakiwepo madarasa ya siasa leo wamekuja na mkakati mpya ikiwa ni azma yao ile ile ya awali ambayo Mungu alilivusha Taifa salama.

Mhe Rais pamoja na mawimbi makubwa, dhoruba, hila, husda na njama nyingi za kumkwamisha bado amelifanya Taifa kuwa imara, tulivu na kuweka rekodi ya miradi mikubwa kutekelezwa na maendeleo kuonekana kwa macho. Nani asiyefahamu kuwa sasa kiwango Cha furaha kimeongezeka nchini?

Walidhani atakwama, lakini ameweza. Sababu ambazo zinawafanya hawa watu washinde kwenye vyombo vya habari kumshambulia Mhe Rais na Serikali yake yaani kujaribu kuonesha wao ni wema ni sababu zifuatazo:-

1. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa baada ya kuapishwa aliondoa tozo 232 ambazo zilikuwa zinawakwaza Wafanyabiashara na wengine walikuwa wamehamishia biashara zao nje ya nchi. Serikali ya awamu ya sita imejenga mazingira rafiki kwa Wafanyabiashara, mazingira ambayo yamechochea kuongezeka makusanyo ya kodi.

2. Wanamchukia Rais Samia kwa kuwa amefanikiwa kukuza Diplomasia na mataifa ya nje zikiwepo nchi za AFRIKA mashariki ambazo kuna wakati mahusiano yaliyumba. Rais Samia amefanikiwa kuifungua Tanzania katika Diplomasia ya kimataifa ambayo imechochea kuimalisha uchumi wa Taifa. Watalii wanakuja Tanzania sasa ni wengi sana ambao wanaongeza kuingiza fedha za kigeni.

3. Wanamchukia Rais Dkt Samia kwa kufanikiwa kumaliza ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere(JNHPP) ambalo wakati anaapishwa ujenzi wake ulikuwa umefikia 33%. Walidhani Mhe Rais ataachana na mradi huo mkubwa wa kimkakati. Kitendo cha Serikali ya awamu ya sita kumaliza ujenzi wa Bwawa hilo na kuanza kufanya kazi kimewachukiza sana hawa waliotaka nchi Iendelee kuwa gizani. Rais Samia akihutubia bunge kwa mara ya kwanza alisema atatekeleza miradi yote iliyoanzishwa na JPM. Watanzania aina hii hawakuelewa walisema hawezi, leo wanamchukia kwa kuwa ameweza.

4. Wamechukizwa sana Serikali ya awamu ya sita kukamilisha ujenzi wa Daraja la Magufuli (Kigogo-Busisi) ambalo mtangulizi wake aliliacha likiwa limefikia 16%. Leo Daraja limekwisha na kazi inaendelea. Hili jambo limewachukiza hawataki Dkt Samia achukue fomu wachukue wao ambao historia zao hazijulikani ndani ya Chama na Serikali. Walitaka lisijengwe ili wafurahie kuwa amekwama.

5. Wamechukizwa sana Rais Samia kuendelea kusimamia maono ya hayati JPM ya kufufua na kuimarisha shirika la ndege la ATCL kwa kununua ndege zingine tano ikiwepo ndege ya mizigo aina ya Boing 767-300F. Kuendelea kujenga na kuboresha viwanja vya ndege hapa nchini. Hili ni kero kubwa kwao na kuongeza uhasama kwa Rais wa nchi. Rais Samia aliposema Mimi na JPM tulikuwa kitu kimoja hawakuelewa.

6. Wamechukizwa sana na Mhe Rais kufufua mradi wa NHC kote nchini kwa mfano ule wa Morocco Square ulioanzishwa na kukwama mwaka 2018 yeye ameufufua na kuumaliza. Mradi wa Kawe, Mradi wa Samia Housing wa nyumba 5000 katika maeneo mbalimbali nchini. NHC ilianzishwa mwaka 1962 kwa Sheria ya Bunge namba 45 kwa kuhakikisha Watanzania wanapata makazi bora. Mageuzi makubwa ya kihistoria yalifanyika mwaka 1990 na 2008, Mhe Rais Samia amekuja kulisimamia hili kwa vitendo. Hii imekuwa karaha kwa ndugu zetu hawa waliojipanga mwaka 2021.


7. Wanamchukia Rais Samia kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya barabara. Ukipita Wilaya zote Tanzania ardhi inaomboleza kwa namna Mitambo inavyoendelea kuitindua ardhi na kujenga barabara nzuri za rami na changarawe. Kwa mara ya kwanza Tangu Tanzania ipate Uhuru, Serikali ya awamu ya sita ilitoa milioni 500 katika kila halmashauri kwa ajili ya barabara za vijijini. Wamechukia kuona fedha hizi zinaenda kuwasaidia Wananchi wanyonge kwa kurahisisha usafiri na usafirishaji.

8. Wamechukizwa na Mhe Rais kwa kuboresha miundombinu ya shule. Serikali ya awamu ya sita imekarabati shule za zamani, imejenga shule mpya, imeongeza nyumba za Walimu na imeweza kuajiri Walimu kwa mara ya kwanza mara baada ya ajira hizi kustishwa toka mwaka 2015. Shule nyingi zilikuwa zimechoka lakini awamu hii zimeboreshwa. Haitoshi zinajengwa shule shikizi ikiwa ni mkakati wa Serikali kuinua elimu nchini na kupunguza changamoto za watoto shuleni.

9. Wanachukizwa sana na uboreshaji wa Afya. Miaka michache iliyopita watu walikuwa wanapishana angani kwenda kutibiwa India. Serikali ya awamu ya sita si tu imeongeza ujenzi wa vituo vya huduma ya Afya kwa maana Hospital, Vituo vya Afya na Zahanati kila mahali, rahasha! Rais Samia ameweza kununua pia vifaa vya hospitali. Tangu tupate Uhuru tulikuwa na MRI 7 TU, lakini Dkt Samia kwa miaka 4 amenunua MRI 6. Sijui unaelewa? Tangu tupate Uhuru tulikuwa na CT scan 13 lakini Dkt Samia kwa miaka minne amenunua CT scan 32. Tunaelewana? Unadhani kwa kasi hii wanakingine cha kusema zaidi ya ajenda ambazo hazina miguu wala vichwa. Hii ni mifano michache ambayo nimeona nikupe tu uelewa mdogo.


10. Wamechukizwa sana utawala bora. Kwa miaka minne tumeona nguzo zote za utawala bora zikifanya kazi. Watu wanafanya siasa, Waandishi wa habari wanafanya kazi zao kwa kuzingatia Sheria za nchi, Watu makazini wanaadhibiwa kwa kufuata Sheria, Mahakama zinafanya majukumu yake n.k Mahali ambapo hakuna utawala bora basi hofu inakuwa ni maisha ya kawaida ya watu. Hawataki utawala bora wanataka monopoly
11. Wamechukizwa sana kushusha kwa riba ya mikopo ya Wanafunzi wa vyuo vikuu ambayo imeshuka kutoka 14% mpaka single digit (7%). Hii ilikuwa ni kero kwa wasomi ambao ni wanufaika wa bodi ya mikopo. Tukumbuke 100% ya wanufaika wa mikopo hii ni watu wanaotoka familia masikini na za kati. Unapomtoza 14% ni kumfanya aendelee kuwa masikini zaidi na kuona kukopa ni adhabu.

12. Wamechukizwa na kukerwa vibaya sana na elimu bure. Serikali ya awamu ya nne ilitangaza elimu bure kutoka chekechea hadi kidato cha sita. Lakini pia iliongeza fedha ya kujikimu kwa Wanafunzi wa vyuo. Hawa wanaona hii ni kete kwa Dkt Samia hivyo wanakwazika sana.

13. Wamechukizwa na Agribusiness, huko nyuma mtu kuitwa mkulima ilikuwa ni aibu. Lakini Serikali ya awamu ya sita imefanya mapinduzi makubwa kwenye kilimo ambapo leo mtu kuitwa mkulima ni fahari. Mwaka 2021 bajeti ya kilimo ilikuwa billion 200± leo hii bajeti ya kilimo ni Trillion 1.2. Lengo la Serikali ni kuona sasa tunaacha kuagiza mafuta ya kula nje lakini pia sukari maeneo ambayo Serikali ilikuwa inatumia fedha nyingi. Wenzetu wanakerwa na mradi wa BBT uliojiri vijana wengi na tunaona matokeo ya kilimo wanachofanya Chinangali na maeneo mengine nchini. Mbolea ya ruzuku imechangia kwa kiasi kikubwa uzalishaji mkubwa na wenye tija. Haya ndiyo yanawachukiza wenzetu.

14. Wanachukizwa na miradi ya kimkakati 901 yenye thamani ya Dola 127 ambapo mwaka 2021 tulikuwa na miradi ya kimkakati 93 TU yenye thamani ya Dola 1.6 bilioni TU. Hatuoni mapinduzi haya? Urasimu umepungua ndio maana watu wengi wanakimbilia TIC kutafuta fursa.

15. Wanachukizwa na ujenzi wa Daraja la TANZANITE walitaka lisijengwe.

16. Wanakwazika na makusanyo yaliyoongezeka pale bandarini fedha zinazosaidia kwenye miradi ya kimkakati na kuongeza mishahara kwa watumishi.

Pamoja na mengine mengi yanayowakera na kuwachukiza, haya ni machache kati ya mengi ambayo mahasimu wa Samia wanakwazika. Hakuna jambo jingine, wanateswa na mafanikio ya Dkt Samia. Walishajipanga kuwa atakwama. Walijaribu kumkwamisha lakini walishindwa. Kete iliyobaki ni hii wanayohangaika nayo ambayo nayo wamekwama.

October tunatiki.
sasa dugu jaribu kuandika vizuri basi. kwanza umeshajaribu kujibu hata hoja moja ya hao naowaita wanamchukia Dkt samia? au umekuja tu na hoja zako?
 
Back
Top Bottom