huo ni uhuni wa serikali wala hakuna kusema kunawimbi la form VI au graduate wengi mitaani. serikali dhaifu huzaa maamuzi dhaifu wasubiri 2015 kama watawaweka hao graduate waone nini kitatokea maana hawa hawanunuliki au hawahongeki
hili ni somo muhimu sana kwa walimu.hasa ukizingatia kwa miaka kadhaa wamekuwa wakikwamisha juhudi za watanzania kujikomboa.naona uswahiba wa walimu na ccm umeanza kufikia kikomo
Kumekua na tetesi kuwa walimu wengi wamekosa kushirikishwa zoezi la sensa kama ilivyozoeleka kisa ni kujihusisha na mgomo.
Ukweli niliopata kutoka kwa afisa mipango wa wilaya moja ni kwamba kuna ongezeko kubwa la graduates kutoka vyuo mbalimbali na form six leavers kutoka shule mbalimbali ambao wamechukua nafasi za walimu. Wengi wa haya makundi niliyotaja hawana ajira hivyo serikali imeamua kuwapa dili ili wajikimu kimaisha japo kwa muda mfupi.
hili ni somo muhimu sana kwa walimu.hasa ukizingatia kwa miaka kadhaa wamekuwa wakikwamisha juhudi za watanzania kujikomboa.naona uswahiba wa walimu na ccm umeanza kufikia kikomo
Kumekua na tetesi kuwa walimu wengi wamekosa kushirikishwa zoezi la sensa kama ilivyozoeleka kisa ni kujihusisha na mgomo.
Ukweli niliopata kutoka kwa afisa mipango wa wilaya moja ni kwamba kuna ongezeko kubwa la graduates kutoka vyuo mbalimbali na form six leavers kutoka shule mbalimbali ambao wamechukua nafasi za walimu. Wengi wa haya makundi niliyotaja hawana ajira hivyo serikali imeamua kuwapa dili ili wajikimu kimaisha japo kwa muda mfupi.
Ni kweli mkuu dawa yao nikuongeza idadi ya zero tu kwenye kila matokeo vii f4 f6