Sababu za Umeme Kukatika ni Wizi wa Transfoma Dar & Pwani Zaibiwa zaidi ya 87

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,076
49,775
Ndio hivyo watu wa Dar ni walalamishi sana ila ndio majizi sana.
---

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema mikoa ya Dar es Salaam na Pwani ina changamoto kubwa ya wizi wa transfoma.

Amesema kwa uchache wa transfoma zilizopo bado zinaibwa na kwa kipindi kifupi r tranafoma 87 zimeibwa jambo linalopelekea pale zinapoibwa Wananchi wengi wanatolewa kwenye huduma ya umeme.

Akizungumza Bungeni, Dodoma Dkt. Biteko amewaonya wale wote wanaojihusisha na vitendo vya wizi wa transfoma huku akisema siku zao zinahesabika.

My Take
Hata Marekani Kwa Biden Kuna Wizi so msimshambulie Waziri 👇👇
Screenshot_20240212-201555.jpg
 
ili kuishusha transformer ( line lazima ipige chini ) .. Kama zimeibiwa 87.. uchunguzi uanzie ndani ya Tanesco.. Mala nyingi TS ikiwa imepewa moto wezi wa kawaida huwa hawa angaiki nazo.. ila ukikuta imepewa moto na inashushwa hao ni wezi sugu.. na wana con na Tanesco
 
Hawa viongozi wapumbavu nini? Nani anajukumu la kulinda miundombinu ya umma kama sio serikali? Mwananchi wa kawaida unaiba transformer kuipeleka wapi? Wanaohujumu Tanesco ni Tanesco wenyewe?

Wanaiba transformer wanaificha au wanaihamishia mkoa mwingine kama transformer mpya alafu wanapiga hela! Mwananchi wa kawaida unaiba transformer kuipeleka wapi?

Hivi hawahawa viongozi walipokuwa chini ya Magufuli mbona walikuwa na akili? Biteko wa sasa sio Biteko wa kipindi cha Magu! Sada hivi utafikiri anaongelea makalio? Mxiuuuuh!
 
Back
Top Bottom