Mr Alola
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 473
- 675
Kufuatiilia nyendo za mpenzi wako ni kawaida ila isipite kiasi na si dhambi hasa pale unapoona viashiria ambavyo siyo, nisimfuatilie ili NIKUTE NDEGE KAPULULIWA MANYOYA?Ukishaanza kufatilia yasiyokuhusu unaaanza kuweka doubts Na ule uaminifu unalika Kila uchwao mwisho inafikia hatua mnagombana Na kuachana kwa mambo ya ajabu wakati ungetulia Bila kumfatilia yasingekukuta tunayaona yapo kushika sim za wenza wenu kufatilia kila msg hupelekea huko