Sababu za kuvunja uhusiano

Mim ndo mleta uzi, mim nmeachwa sababu nlmwambia kuna hela naitgmea kuipata sku ikitoka ntaiweka mezan tupange tjue tunaifanyia nn, akaulza unaitoa wapi nkamwambia nmeomba mkopo bank, same point akamind vibaya et why sjamshriksha b4 (tulkuw bdo level ya uchumba) kwa hyo sababu kabrokeUP.
Lbd ungemshrksha b4 angekupa yy hyo pesa
 
Umbeaumbea siupendi kabisa, naona hadi kichefuchefu, utasikia tu nikuambie mr leo mtu fulani kafanya hivi..... Yaani shida mtupu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom