Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,792
- 6,768
Kuwasiliana na x wako bora mngeendelea naye
Uongo ni uongo tu, mie mtu muongo muongo hapana aisee!!uongo kivipi unaweza fafanua kidogo
au ndio maana mie wanawake wananikimbia baada ya muda mfupi manake naongea ukweli only 10%.Uongo ni uongo tu, mie mtu muongo muongo hapana aisee!!
Hata sijui, wao ndio wanajua.au ndio maana mie wanawake wananikimbia baada ya muda mfupi manake naongea ukweli only 10%.
Alaaaaaaaaa kumbe?We pekua tu ndio Yale ya ukitafta lisilokuhusu utakumbana Na likalokukera zaidi
Usaliti,usaliti,usalitiHabari wana jamvi, naomba kushare na nyie hiv ni sababu zip za msingi zinazoweza pelekea kuvunja uhusiano eidha muwe kwny level ya upenz/uchumba/ndoa.
Mtu anasalitiwa sababu ya pesa/money/fedha/mkwanja.Hiyo ipo humo kwenye hivyo viwili.
Me too brother cpend ujinga huo.. Nilikapigachini kadem flan Kwa tabia hizousaliti, kuwa msiri kupitiliza na uongo wa mara kwa mara. binafsi siwezi kuendelea kimahusiano na mwanamke mwenye tabia hizo labda abadilike!!
Pesa ndo kila kitu mkuu hahaaaKupenda pesa kupindukia na kufake maisha.
Lbd ungemshrksha b4 angekupa yy hyo pesaMim ndo mleta uzi, mim nmeachwa sababu nlmwambia kuna hela naitgmea kuipata sku ikitoka ntaiweka mezan tupange tjue tunaifanyia nn, akaulza unaitoa wapi nkamwambia nmeomba mkopo bank, same point akamind vibaya et why sjamshriksha b4 (tulkuw bdo level ya uchumba) kwa hyo sababu kabrokeUP.
Eeeeeh! Basi sawaPesa ndo kila kitu mkuu hahaaa
Jua vyote pauloMbona umetaja nyingi hivyo, wenzio tutaje nini sasa?
Jua vyote paulo