Sababu za kuvunja uhusiano

Sababu za kuvunja uhusiano

lack of trustworthy
Lack of transparency
Cheating
Careless
Fake smile & Fake Promise
 
Atoto inategemea na uwongo Gani Ila mimi binafsi simpi NAFASI mpenzi wangu ya kunidanganya na kweli uwongo siupendi Ila mimi ni muongo.. Sasa umuache mpenzi kisa uwongo Hapana Kwa kweli.. Usaliti SAWA tunaachana
nami nashangaa eti uongo umuache mtu???
 
Inategemea.kuna wengine hata usaliti sio shida kwao.wengine sababu ndogo tu wanaachana. Nishawahi kuachwa na a lady kisa nina big dick. Haikuniingia kichwani sababu mwanamke ni elastic na baada ya mda pussy huzoea.
 
Inategemea.kuna wengine hata usaliti sio shida kwao.wengine sababu ndogo tu wanaachana. Nishawahi kuachwa na a lady kisa nina big dick. Haikuniingia kichwani sababu mwanamke ni elastic na baada ya mda pussy huzoea.
Ahahahaha.....ulivyoachwa nikawa naye mie. ..eti nimeachwa kisa nina dick small size...anasema mie kibamia.

Nikajitahidi kutafuta dawa ya kuongeza dushe mara kuchanjia dodoki mara tango lakini wapi....sijui hwa viumbe wanapenda nini maskini ya mungu...kweli mungu aliumba waja na maajabu yao ila ya hawa yamezidii.
 
Ukishaanza kufatilia yasiyokuhusu unaaanza kuweka doubts Na ule uaminifu unalika Kila uchwao mwisho inafikia hatua mnagombana Na kuachana kwa mambo ya ajabu wakati ungetulia Bila kumfatilia yasingekukuta tunayaona yapo kushika sim za wenza wenu kufatilia kila msg hupelekea huko
Kufuatilia yasiyokuhusu kama yapi?
 
Back
Top Bottom