chakochetu
Senior Member
- Oct 13, 2012
- 108
- 35
Bado tunaendelea kutafuta sababu za kuongezeka kwa matukio ya ujambazi siku za hivi karibuni:
Hebu tuangalie baadhi ya sababu hizi,na labda kuna zingine sijaweza kuzibaini:
[1].Kuchelewa kwa mishahara ya askari polisi hadi mwezi unaofuata
[2].Maisha kuwa juu,na bado kipato hakiongezeki kulingana na mfumuko wa bei
[3].Wanasiasa na wafanyabiashara kufanya ufisadi,na hakuna hatua yoyote inayochuliwa dhidi yao.
[4].Magenge ya wauhujumu uchumi kupatiwa kinga na viongozi wa ngazi za juu.
[5].Serikali kutojali hali zao za maisha ya kila siku.
Hebu tuangalie baadhi ya sababu hizi,na labda kuna zingine sijaweza kuzibaini:
[1].Kuchelewa kwa mishahara ya askari polisi hadi mwezi unaofuata
[2].Maisha kuwa juu,na bado kipato hakiongezeki kulingana na mfumuko wa bei
[3].Wanasiasa na wafanyabiashara kufanya ufisadi,na hakuna hatua yoyote inayochuliwa dhidi yao.
[4].Magenge ya wauhujumu uchumi kupatiwa kinga na viongozi wa ngazi za juu.
[5].Serikali kutojali hali zao za maisha ya kila siku.